SIDO, Wajasiriamali Mbeya waanzisha viwanda 48 Mbeya.
Na Amina Saidi,
Mbeya.
Shirika la kuhudumia viwanda vidogo vidogo nchini, SIDO Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na wajasiriamali limefanikiwa kuanzisha viwanda 48 vya kuongeza thamani ya mazao ya Mpunga, Alizeti na usindikaji wa chakula cha mifugo.
Uanzishwaji wa viwanda hivyo ni sehemu ya mkakati wa Taifa wa kuongeza uzalishaji na thamani ya mazao yanayolimwa kwa wingi katika kila wilaya nchini.
Lengo la mkakati huo ni kuwa na kongamano/cluster za mazao ya biashara yatakayopewa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-B3yh97TG6WE/UssHPjl3ONI/AAAAAAAAJ98/Wrf-82jDN90/s1600/IMG_20140105_162428.jpg)
UBOVU WA BARABARA ENEO LA VIWANDA VYA KUSAGA NA KUKAMUA MAFUTA ENEO LA SIDO MBEYA NI KERO KWA WAFANYA BIASHARA ENEO HILO
10 years ago
Vijimambo23 Dec
TPB yaendesha semina kwa wajasiriamali mkoani Mbeya
![Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah (aliyesimama) akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0121.jpg)
![Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mjini, Profesa Norman Sigallah akizungumza akifungua semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0095.jpg)
![Ofisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta, Sabasaba Moshingi akizungumza katika semina kwa ajasiriamali iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_00451.jpg)
![Baadhi ya wajasiriamali wakiwa katika semina hiyo iliyofanyika kwenye ukumbi wa Mtenda Sunset mjini Mbeya.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0019.jpg)
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG_0121.jpg)
TPB YAENDESHA SEMINA KWA WAJASIRIAMALI MKOANI MBEYA
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Wajasiriamali walia kodi kubwa Sido
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
SIDO Iringa yawakopesha wajasiriamali wadogo zaidi ya sh milioni 229.9
Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya.
Na Fredy Mgunda, Iringa
SHIRIKA la kuhudumia viwanda vidogo (SIDO), mkoani Iringa limetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 229.9 kwa wajasiriamali wa mkoa huo, katika kipindi cha July mpaka Desemba mwaka jana.
Akizungumza na mwandishi wa habari hizi, Kaimu meneja wa SIDO mkoani Iringa, Niko Mahinya alisema lengo la mkopo huo ni kuwawezesha wajasiriamali Wadogo kupata mitaji, na kuinua uchumi wao ili waondokane na...
11 years ago
Dewji Blog10 Jun
Magessa Mulongo afungua maonyesho ya wajasiriamali wa SIDO jijini Arusha
Mkuu wa mkoa wa Arusha, Magessa Mulongo akiwa anaangalia bidhaa zinazotengenezwa na kabila la Wahabeshi katika uzinduzi wa maonyesho ya SIDO.
Baadhi ya bidhaa za Shanga zilizopo katika maonyesho ya SIDO.
Mkurugenzi wa Taha, Jacqueline Mkindi akiwa anaangalia na kufurahia bidhaa zinazotengenezwa na Shanga zilizopo katika viwanja vya Makumbusho katika maonyesho ya wajasiriamali toka viwanda vidogo vidogo.
Wahazabe wakiendelea kutengeneza Mikuki yao.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04avzhEoUjpCw-HS579DXn1G8f34OWQZ74OVPNhY*EifLAfoL5DqwYEnVSA3Kto*WjiCcOvCEJG6*nyttvLmrZNgY/AZAMFC2.jpg?width=650)
AZAM FC WAKIPASHA MISULI KABLA YA KUWAKABILI MBEYA CITY JIJINI MBEYA
9 years ago
MichuziMBEYA CITY YABUGIZA JKT RUVU GOLI 3-0 MJINI MBEYA
11 years ago
Michuzi11 Feb
MBEYA CITY NA MTIBWA ZAINGIZA MILIONI 25.6 uwanja wa sokoine, mbeya