Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBEYA CITY NA MTIBWA ZAINGIZA MILIONI 25.6 uwanja wa sokoine, mbeya


JUMLA ya shilingi milioni 25,602,000 zimepatikana katika mechi ya Mbeya City na Mtibwa Sugar iliyochezwa katika uwanja wa kumbukumbu wa Sokoine na timu ya Mbeya City ambayo ilishinda kwa goli 2-1 hapo Jumapili Februari 9, 2014. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City na Yanga zaingiza Sh175milioni, zaambulia Sh84milioni

Mbeya City na Yanga zaingiza Sh175milioni, zaambulia Sh84milioni

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MATENGENEZO YA UWANJA WA SOKOINE MBEYA

Saleh Kupaza (kulia ) akiwa na mtaalam wa kutengeneza viwanja.…

 

10 years ago

Mwananchi

Mbeya City wakesha kulinda Sokoine

Katika kile kinachoonekana kutokuwa na imani na watu waliojitokeza katika mchezo wa juzi kati ya Prisons na Yanga, baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni mashabiki wa Mbeya City, waliingia lindoni baada ya mchezo huo ili kulinda Uwanja wa Sokoine usiharibiwe.

 

9 years ago

Mwananchi

Mbeya City, Mtibwa Sugar Zajiweka vyema

Timu ya Mbeya City itakuwa kwenye Uwanja wa Mabatini, Mlandizi mkoani Pwani leo kukabiliana na Ruvu Shooting ili kujiweka sawa kwa msimu huu wa ligi.

 

10 years ago

Mwananchi

Safi Mtibwa Sugar, pole Mbeya City

Ligi Kuu Bara iko mapumziko. Itaendelea tena mwezi ujao baada ya kumaliza duru la kwanza lililoacha maajabu ya aina yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani