Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeya City wakesha kulinda Sokoine

Katika kile kinachoonekana kutokuwa na imani na watu waliojitokeza katika mchezo wa juzi kati ya Prisons na Yanga, baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni mashabiki wa Mbeya City, waliingia lindoni baada ya mchezo huo ili kulinda Uwanja wa Sokoine usiharibiwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MBEYA CITY NA MTIBWA ZAINGIZA MILIONI 25.6 uwanja wa sokoine, mbeya


JUMLA ya shilingi milioni 25,602,000 zimepatikana katika mechi ya Mbeya City na Mtibwa Sugar iliyochezwa katika uwanja wa kumbukumbu wa Sokoine na timu ya Mbeya City ambayo ilishinda kwa goli 2-1 hapo Jumapili Februari 9, 2014. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MATENGENEZO YA UWANJA WA SOKOINE MBEYA

Saleh Kupaza (kulia ) akiwa na mtaalam wa kutengeneza viwanja.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukata wasumbua ukarabati Sokoine Mbeya

CHAMA cha soka Mkoa wa Mbeya (MREFA) kimewaomba wadau wa mchezo huo mkoani hapa kujitolea kwa hali na mali katika kufanikisha zoezi la upandaji wa nyasi katika uwanja wa Sokoine...

 

10 years ago

GPL

KIKOSI CHA LEO TIMU YA AZAM FC SOKOINE, MBEYA

Kikosi cha timu ya Azam FC (Picha na Maktaba). Mabingwa wa soka Tanzania Bara, leo jioni ya saa 10:30 wanaingia kwenye Uwanja wa C.C.M Sokoine kupambana na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa mzunguko wa tatu Vodacom Premier League. Wanaowakilisha leo ni hawa
1. AISHI MANULA
2. SHOMARI KAPOMBE
3. GADIEL MICHAEL
4. SAID MORAD
5 . AGGREY MORIS
6. BOLOU MICHAEL
7. HIMIDI MAO
8. SALUM ABUBAKAR
9. GAUDENCE...

 

11 years ago

GPL

STARS ILIVYOKWENDA SULUHU NA MALAWI SOKOINE JIJINI MBEYA

John Bocco wa Stars akijaribu kuitoka ngome ya Malawi. Frank Domayo akikwaana na Emmanuel Zoya wa Malawi (kulia).…

 

11 years ago

GPL

AZAM FC WAKIPASHA MISULI KABLA YA KUWAKABILI MBEYA CITY JIJINI MBEYA

Wachezaji wa Azam FC wakipasha misuli ndani ya Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya muda mfupi kabla ya kukwaana na Mbeya City leo. (PICHA NA…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani