Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STARS ILIVYOKWENDA SULUHU NA MALAWI SOKOINE JIJINI MBEYA

John Bocco wa Stars akijaribu kuitoka ngome ya Malawi. Frank Domayo akikwaana na Emmanuel Zoya wa Malawi (kulia).…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TAIFA STARS YATOSHANA NGUVU NA MALAWI, JIJINI MWANZA LEO

Viongozi mbali mbali pamoja na Timu zote mbili wakiwa wamesimama kwa dakika chache kumkmbuka Kiongozi wa mpira wa Miguu, Aliyetangulia mbele ya haki, Kocha wa zamani wa Timu ya Taifa Star, Marehemu Sylvester Marsh aliyefariki dunia hivi karibuni katika Hospitali ya Muhimbili na kuzikwa Mjini Mwanza.Wachezaji wa Malawi wakipongezana baada ya kupata bao la mapema dakika ya tatu kupitia kwa Esau Kanyenda kwa kufanya 1-0.Mshambuliaji wa Timu ya Taifa "Taifa Stars", Thomas Ulimwengu akitafuna...

 

11 years ago

Michuzi

MBEYA CITY NA MTIBWA ZAINGIZA MILIONI 25.6 uwanja wa sokoine, mbeya


JUMLA ya shilingi milioni 25,602,000 zimepatikana katika mechi ya Mbeya City na Mtibwa Sugar iliyochezwa katika uwanja wa kumbukumbu wa Sokoine na timu ya Mbeya City ambayo ilishinda kwa goli 2-1 hapo Jumapili Februari 9, 2014. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

TAIFA STARS YAINGIA KAMBINI HUKO TUKUYU,JIJINI MBEYA

Wakati Taifa Stars inaingia kambini Tukuyu mkoani Mbeya kesho (Julai 9 mwaka huu), kocha Mart Nooij amesema kambi ya wiki mbili nchini Botswana imekisaidia kikosi chake kujiandaa kwa ajili ya mechi dhidi ya Msumbiji.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo (Julai 8 mwaka huu) kuhusu maandalizi ya timu hiyo, Nooij amesema timu yake inafanya mazoezi kwenye maeneo ya baridi kwa sababu za kitaalamu, hivyo kambi ya Tukuyu kama ilivyokuwa ya Botswana itawasaidia kwa mechi dhidi ya Msumbiji.
Taifa Stars...

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MATENGENEZO YA UWANJA WA SOKOINE MBEYA

Saleh Kupaza (kulia ) akiwa na mtaalam wa kutengeneza viwanja.…

 

10 years ago

Mwananchi

Mbeya City wakesha kulinda Sokoine

Katika kile kinachoonekana kutokuwa na imani na watu waliojitokeza katika mchezo wa juzi kati ya Prisons na Yanga, baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni mashabiki wa Mbeya City, waliingia lindoni baada ya mchezo huo ili kulinda Uwanja wa Sokoine usiharibiwe.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ukata wasumbua ukarabati Sokoine Mbeya

CHAMA cha soka Mkoa wa Mbeya (MREFA) kimewaomba wadau wa mchezo huo mkoani hapa kujitolea kwa hali na mali katika kufanikisha zoezi la upandaji wa nyasi katika uwanja wa Sokoine...

 

10 years ago

GPL

KIKOSI CHA LEO TIMU YA AZAM FC SOKOINE, MBEYA

Kikosi cha timu ya Azam FC (Picha na Maktaba). Mabingwa wa soka Tanzania Bara, leo jioni ya saa 10:30 wanaingia kwenye Uwanja wa C.C.M Sokoine kupambana na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa mzunguko wa tatu Vodacom Premier League. Wanaowakilisha leo ni hawa
1. AISHI MANULA
2. SHOMARI KAPOMBE
3. GADIEL MICHAEL
4. SAID MORAD
5 . AGGREY MORIS
6. BOLOU MICHAEL
7. HIMIDI MAO
8. SALUM ABUBAKAR
9. GAUDENCE...

 

11 years ago

Michuzi

Mkuu wa mkoa wa Mbeya,Mh Abbas Kandoro afungua mashindano ya Airtel Rising Stars Mbeya

 Mkuu wa Mkoa wa Mbeya  Mh. Abbas Kandoro  akisalimiana na wachezaji wa Timu ya Mbaspo wakati akifungua rasmi mashindano ya Airtel Rising Stars.  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya  Mh. Abbas Kandoro  akisalimiana na wachezaji wa Timu ya Mbozi wakati akifungua rasmi mashindano ya Airtel Rising Stars.  Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro akipiga mpira kuashiria ufunguzi wa mashindano ya Airtel Rising Stars Mbeya 


Kandoro afagilia mashindano ya vijana.
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro amefungua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani