KIKOSI CHA LEO TIMU YA AZAM FC SOKOINE, MBEYA
Kikosi cha timu ya Azam FC (Picha na Maktaba). Mabingwa wa soka Tanzania Bara, leo jioni ya saa 10:30 wanaingia kwenye Uwanja wa C.C.M Sokoine kupambana na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa mzunguko wa tatu Vodacom Premier League. Wanaowakilisha leo ni hawa 1. AISHI MANULA 2. SHOMARI KAPOMBE 3. GADIEL MICHAEL 4. SAID MORAD 5 . AGGREY MORIS 6. BOLOU MICHAEL 7. HIMIDI MAO 8. SALUM ABUBAKAR 9. GAUDENCE...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKIKOSI CHA AZAM KITAKACHOKWAANA NA SIMBA LEO
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5mEW6opELEA/Vl2ihhDW-WI/AAAAAAAIJh8/qxUxdMD0rBc/s72-c/starskartepe.png)
KIKOSI CHA TIMU YA KILIMANJARO STARS KUREJE KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-5mEW6opELEA/Vl2ihhDW-WI/AAAAAAAIJh8/qxUxdMD0rBc/s640/starskartepe.png)
KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kinatarajiwa kuwasili kesho mchana jijini Dar ess alaam kikitokea nchini Ethiopia kilipokuwa kinashiriki michuano ya Kombe la Chalenji kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati.
Kilimanjaro Stars imetolewa katika hatua ya robo fainali na wenyeji Ethiopia kwa mikwaju ya penati, baada ya kutoka sare ya bao 1-1 katika dakika 90 za mchezo huo, na wenyeji kushinda kwa penati 4-3.
Timu ya Kilimanjaro Stars inayonolewa na kocha Abdallah...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar03 Sep
Kikosi cha timu ya Zanzibar Star Diaspora Nchini Marekani
ZANZIBAR STARS YAINGIA MASHINDANO YA KOMBE LA EAST AFRIKA DIASPORA DMV Thursday, September 3, 2015 Kwamara nyengine tena timu ya Zanzibar Stars Diaspora Nchini Marekani, imejianda rasmi katika mashindano ya Mpira wa Miguu Diaspora Afrika Mashariki […]
The post Kikosi cha timu ya Zanzibar Star Diaspora Nchini Marekani appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Kikosi cha Azam kupiga kambi Congo
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j6uXC9TYiPs/VX8KFAy7IMI/AAAAAAAHfuU/UC1-XnLVCk8/s72-c/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
10 years ago
Vijimambo28 Apr
RAIS KIKWETE AZINDUA MELI VITA MBILI ZA KIKOSI CHA WANAMAJI CHA JWTZ JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-4Fm9Bj1YBOk%2FVT_eqIVEHQI%2FAAAAAAADles%2FnnkciGsQ1qs%2Fs1600%2Fn1.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa amri kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-uo8Nllk4AqQ%2FVT_eqYAa92I%2FAAAAAAADleo%2Fy_RG-XCUw2A%2Fs1600%2Fn2.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua mara baada ya kuzindua rasmi meli vita mbili za doria bahari kuu TNS Msoga na TNS Mwitongo kwenye sherehe zilizofanyika Kamandi ya Jeshi la Maji Kigamboni jijini Dar es salaam leo April 28, 2015
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-KwhSi5MxjhE%2FVT_eqv6C8WI%2FAAAAAAADlew%2Fzck9EKdCM8A%2Fs1600%2Fn3.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F3.bp.blogspot.com%2F-129JWutGlK0%2FVT_esQmufBI%2FAAAAAAADlfA%2FfnOp8nCSkS4%2Fs1600%2Fn4.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
Amiri Jeshi...