Kikosi cha Azam kupiga kambi Congo
Timu ya Azam ya Tanzania itapiga kambi nchini DR Congo kabla ya mechi zake za kuwania ubingwa wa vilabu barani Afrika
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Tanzania:Azam Fc kuweka Kambi Dr Congo
Mabingwa wa soka Tanzania Bara, Azam FC wanatarajiwa kuweka kambi nchini Jamhuri ya Kongo (DRC) ili kucheza mechi za kirafiki
11 years ago
Habarileo29 Mar
Kikosi cha kupiga vita uhalifu katika utalii kuundwa
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) ipo katika hatua za mwisho za kuunda kikosi cha kupambana na vitendo vya uhalifu katika sekta za Utalii.
10 years ago
GPLKIKOSI CHA AZAM KITAKACHOKWAANA NA SIMBA LEO
1. MWADINI ALI
2. SHOMARI KAPOMBE
3. ERASTO NYONI
4. AGGREY MORIS
5. PASCAL WAWA
6. BOLOU MICHAEL
7. MUDATHIR YAHYA
8. FRANK DOMAYO
9. DIDIER KAVUMBAGU
10. KIPRE…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j6uXC9TYiPs/VX8KFAy7IMI/AAAAAAAHfuU/UC1-XnLVCk8/s72-c/unnamed%2B%252865%2529.jpg)
10 years ago
GPLKIKOSI CHA LEO TIMU YA AZAM FC SOKOINE, MBEYA
Kikosi cha timu ya Azam FC (Picha na Maktaba). Mabingwa wa soka Tanzania Bara, leo jioni ya saa 10:30 wanaingia kwenye Uwanja wa C.C.M Sokoine kupambana na Tanzania Prisons kwenye mchezo wa mzunguko wa tatu Vodacom Premier League. Wanaowakilisha leo ni hawa
1. AISHI MANULA
2. SHOMARI KAPOMBE
3. GADIEL MICHAEL
4. SAID MORAD
5 . AGGREY MORIS
6. BOLOU MICHAEL
7. HIMIDI MAO
8. SALUM ABUBAKAR
9. GAUDENCE...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ubtc23V_qkM/U4nudMkXTVI/AAAAAAAFmwA/gAwMjLh7P6I/s72-c/001.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AZINDUA WIKI YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUPANDA MITI KATIKA KAMBI YA KIKOSI CHA JESHI LA KUJENGA TAIFA RUVU
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ubtc23V_qkM/U4nudMkXTVI/AAAAAAAFmwA/gAwMjLh7P6I/s1600/001.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JuozqqwOTJc/U4nudhZ76RI/AAAAAAAFmv4/tEGX310zyWY/s1600/01.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-wObjwprniHs/U4nues3y6kI/AAAAAAAFmwE/xxppuJD0f3c/s1600/1.jpg)
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Taifa stars kupiga kambi Uturuki
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) itaondoka nchini siku ya jumapili kuelekea Istambul nchini Uturuki
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Kinana kupiga kambi Z’bar kuimarisha CCM
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana amesema ameamua kuweka kambi Zanzibar, lengo likiwa ni kuimarisha chama hicho na kuhakikisha CCM inarejesha majimbo yake yaliyopotea tangu kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1995.
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Chadema sasa yajipanga kupiga kambi jimbo la Sitta
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sitta--Ocxtober7-2014.jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Baraza lake la Vijana Taifa (Bavicha), kimetangaza mkakati wa kwenda kuweka kambi kwenye Jimbo la Urambo Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.
Lengo la chama hicho ni kuwaeleza namna kiongozi huyo alivyochakachua Rasimu ya maoni ya Watanzania.
Mkakati huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Patrobas Katambi na Katibu wa Baraza hilo, Julius...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania