Chadema sasa yajipanga kupiga kambi jimbo la Sitta
Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Baraza lake la Vijana Taifa (Bavicha), kimetangaza mkakati wa kwenda kuweka kambi kwenye Jimbo la Urambo Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.
Lengo la chama hicho ni kuwaeleza namna kiongozi huyo alivyochakachua Rasimu ya maoni ya Watanzania.
Mkakati huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Patrobas Katambi na Katibu wa Baraza hilo, Julius...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Jul
Kambi ya Lowassa sasa rasmi Chadema
9 years ago
BBCSwahili21 Aug
Taifa stars kupiga kambi Uturuki
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Kikosi cha Azam kupiga kambi Congo
11 years ago
Mwananchi28 Jan
Kinana kupiga kambi Z’bar kuimarisha CCM
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Majimaji sasa yajipanga upya
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
CHADEMA yajipanga
HUKU Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikijipanga kuweka safu mpya ya uongozi kitaifa ifikapo Agosti 31, imebainika kuwa mafanikio makubwa yaliyopatikana ndani ya chama hicho chini ya Mwenyekiti, Freeman...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jul
CHADEMA yajipanga upya
KATIKA kuhakikisha uchaguzi mkuu wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), unaendeshwa kwa uwazi na umakini ili kuepuka mitego ya kuchomekewa wasaliti, chama hicho kimejipanga upya na kuusogeza...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jan
CHADEMA yajipanga uchaguzi wa udiwani
KATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa, amesema chama hicho kitahakikisha kinawapitisha wagombea wanaokubalika kwenye chaguzi za udiwani na wenyeviti wa serikali za vijiji...
10 years ago
Tanzania Daima05 Oct
CHADEMA Mwanza yajipanga kuikabili CCM
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Mwanza kimeandaa mbinu mbaya za kukiangamiza Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...