Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA yajipanga

HUKU Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikijipanga kuweka safu mpya ya uongozi kitaifa ifikapo Agosti 31, imebainika kuwa mafanikio makubwa yaliyopatikana ndani ya chama hicho chini ya Mwenyekiti, Freeman...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yajipanga upya

KATIKA kuhakikisha uchaguzi mkuu wa taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), unaendeshwa kwa uwazi na umakini ili kuepuka mitego ya kuchomekewa wasaliti, chama hicho kimejipanga upya na kuusogeza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yajipanga uchaguzi wa udiwani

KATIBU wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa, amesema chama hicho kitahakikisha kinawapitisha wagombea wanaokubalika kwenye chaguzi za udiwani na wenyeviti wa serikali za vijiji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA Mwanza yajipanga kuikabili CCM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mkoa wa Mwanza kimeandaa mbinu mbaya za kukiangamiza Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

11 years ago

Vijimambo

Chadema sasa yajipanga kupiga kambi jimbo la Sitta

Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Baraza lake la Vijana Taifa (Bavicha), kimetangaza mkakati wa kwenda kuweka kambi kwenye Jimbo la Urambo Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.

Lengo la chama hicho ni kuwaeleza namna kiongozi huyo alivyochakachua Rasimu ya maoni ya Watanzania.

Mkakati huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Patrobas Katambi na Katibu wa Baraza hilo, Julius...

 

10 years ago

Mtanzania

CCM yajipanga 2015

Pg 1Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
JOTO la Uchaguzi Mkuu ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), limezidi kupamba moto, baada ya watendaji wa chama hicho na jumuiya zake ngazi ya mikoa kutakiwa kutoondoka katika vituo vyao vya kazi.
Mbali na hilo pia watendaji wa chama hicho ambao wamekwenda likizo wametakiwa kurejea katikia vituo vyao vya kazi hadi kufikia Februari 28, mwaka huu.
Hatua hiyo ni utekelezaji wa agizo kutoka Ofisi ya Katibu Mkuu wa CCM taifa, Abdulrahman Kinana, ambayo imeshusha...

 

10 years ago

Habarileo

TMF yajipanga kuboresha uandishi

MFUKO wa Vyombo vya Habari nchini (TMF) umejipanga kuongeza uwezo wa mwandishi mmoja mmoja katika kufanya habari za uchunguzi, ili kuongeza idadi ya waandishi wenye uwezo, wa kufanya habari za kiuchunguzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Majimaji sasa yajipanga upya

Baada ya kupoteza mechi mbili mfululizo, timu ya Majimaji imeweka mkakati mpya wa kupata jumla ya pointi nne katika mechi nne zinazofuata.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yajipanga kukabili Ebola

SERIKALI imesema itahakikisha hakuna mwananchi atakayefariki kutokana na kukosa huduma katika vituo vya afya pindi atakapobanika kuwa na ugonjwa wa Ebola labda achelewe kufika katika vituo hivyo. Kauli hiyo ilitolewa na Naibu...

 

11 years ago

Habarileo

SMZ yajipanga kukabiliana na majanga

SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar imejipanga kukabiliana na majanga mbalimbali, ikiwemo matukio ya ajali ya vyombo vya baharini kwa kutoa elimu kwa wananchi na makundi mbalimbali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani