Serikali yajipanga kukabili Ebola
SERIKALI imesema itahakikisha hakuna mwananchi atakayefariki kutokana na kukosa huduma katika vituo vya afya pindi atakapobanika kuwa na ugonjwa wa Ebola labda achelewe kufika katika vituo hivyo. Kauli hiyo ilitolewa na Naibu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
Serikali yajipanga kukabili mafuriko
SERIKALI imesema imejipanga kuhakikisha inakabiliana na matatizo ya mafuliko yanayojitokeza kipindi cha mvua katika jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam. Kauli hiyo ilitolewa jana bungeni na Waziri wa Ujenzi,...
10 years ago
StarTV17 Oct
Serikali yajipanga kukabili ugonjwa wa Marburg.
Na Projestus Binamungu, Mwanza.
Serikali imesema hakuna mgonjwa yeyote aliyeripotiwa kuwa na kirusi cha homa ya Marburg mpaka hivi sasa na imewataka watanzania kuchukua tahadhali.
Ugonjwa ambao umeibuka tena nchini Uganda tayari imesababisha kifo cha mtu mmoja na wengine kadhaa wakiwa mahututi.
Oktoba, 20 mwaka 2012 Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, ilipokea taarifa kutoka Shirika la Afya Duniani WHO juu ya uwepo wa mripuko wa ugonjwa wa homa ya Marburg katika nchi jirani ya...
11 years ago
Habarileo09 Aug
Serikali yaongeza nguvu kukabili ebola
SERIKALI imeongeza nguvu ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa ebola iwapo utatokea, kwa kuwapima wasafiri na wageni wanaoingia nchini kupitia viwanja vikubwa vitano vya ndege. Vipimo hivyo vitafanywa ili kubaini iwapo wana vimelea vya ugonjwa huo, kwa kutumia mashine za thermoscan zinazotarajiwa kuingia nchini wiki mbili zijazo.
10 years ago
MichuziMamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), yajipanga kuikabili Ebola
10 years ago
Habarileo05 Sep
Tanzania imejipanga kukabili ebola
RAIS Jakaya Kikwete, amesema Tanzania imejipanga vyema kukabiliana na kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa ebola, huku akisisitiza kuwa hadi sasa hakuna mgonjwa aliyebainika kuwa na ugonjwa huo nchini. Akizungumza na wazee wa Dodoma mkoani hapo jana, Rais Kikwete alisema kwa sasa ugonjwa huo umekuwa tishio hasa kwa nchi za Afrika Magharibi, ikiwemo Guinea, Sierra Leone na Liberia na tayari wataalamu wametangaza usipodhibitiwa, huenda ukawashinda na kuwa ugonjwa hatari kama ilivyo kwa ugonjwa...
10 years ago
BBCSwahili23 Aug
WHO:Itachukua mda kukabili Ebola
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
Nigeria yatenga fedha kukabili Ebola
10 years ago
StarTV03 Dec
Obama aomba fedha kukabili Ebola.
Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 kwa lengo la kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa hatari wa Ebola katika nchi za Afrika Magharibi.
Obama amesema hayo muda mfupi baada ya kutembelea taasisi ya taifa afya nchini humo,ambapo aliwapongeza madaktari na wanasayanzi kwa kazi nzuri wanayoifanya kukabiliana na ugonjwa huo.
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/304/amz/worldservice/live/assets/images/2014/11/29/141129163449_ebola_death_304x171__nocredit.jpg)
Inakadiriwa kuwa takriban watu 7,000 wamekufa kutokana na ugonjwa wa Ebola katika nchi za...
10 years ago
BBCSwahili03 Dec
Obama aomba fedha kukabili Ebola