Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yaongeza nguvu kukabili ebola

SERIKALI imeongeza nguvu ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa ebola iwapo utatokea, kwa kuwapima wasafiri na wageni wanaoingia nchini kupitia viwanja vikubwa vitano vya ndege. Vipimo hivyo vitafanywa ili kubaini iwapo wana vimelea vya ugonjwa huo, kwa kutumia mashine za thermoscan zinazotarajiwa kuingia nchini wiki mbili zijazo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali yaongeza nguvu kuikabili Ebola



 Yatenga sh. bilioni 1.8 kupambana nayo 
NA RABIA BAKARI
SERIKALI imeendelea kuchukua tahadhari kutokana na ugonjwa wa Ebola kusambaa kwa kasi kubwa na kubisha hodi katika nchi za Afrika Mashariki.
Ugonjwa huo ambao uliweka mizizi katika nchi za Afrika Magharibi, umeua mamia ya watu na kasi yake imezidi kuyatisha mataifa mbalimbali duniani.
Kutokana na tishio hilo, serikali imefunga vifaa vya kisasa katika viwanja vikubwa vya ndege nchini ili kudhibiti ugonjwa huo kuingia.
Tayari mashine maalumu...

 

10 years ago

Habarileo

Nchi za EAC zaunganisha nguvu kukabili ebola

MAWAZIRI wa Afya wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wameweka mikakati madhubuti ya kupambana na ugonjwa wa ebola ili ugonjwa huo usiweze kuingia kirahisi katika nchi hizo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yajipanga kukabili Ebola

SERIKALI imesema itahakikisha hakuna mwananchi atakayefariki kutokana na kukosa huduma katika vituo vya afya pindi atakapobanika kuwa na ugonjwa wa Ebola labda achelewe kufika katika vituo hivyo. Kauli hiyo ilitolewa na Naibu...

 

11 years ago

Habarileo

EAC kukabili ugaidi kwa nguvu zote

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya, amesema nchi wanachama katika jumuiya hiyo, zitatumia rasilimali zao kukabiliana na ugaidi na uhalifu unaozikabili.

 

10 years ago

Habarileo

Tanzania imejipanga kukabili ebola

RAIS Jakaya Kikwete, amesema Tanzania imejipanga vyema kukabiliana na kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa ebola, huku akisisitiza kuwa hadi sasa hakuna mgonjwa aliyebainika kuwa na ugonjwa huo nchini. Akizungumza na wazee wa Dodoma mkoani hapo jana, Rais Kikwete alisema kwa sasa ugonjwa huo umekuwa tishio hasa kwa nchi za Afrika Magharibi, ikiwemo Guinea, Sierra Leone na Liberia na tayari wataalamu wametangaza usipodhibitiwa, huenda ukawashinda na kuwa ugonjwa hatari kama ilivyo kwa ugonjwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Itachukua mda kukabili Ebola

Shirika la afya duniani limeonya kuwa ueneeaji wa ugonjwa wa Ebola Magharibi mwa Afrika utachukua miezi kadhaa kuudhibiti

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaongeza mitambo ya kuzalisha umeme

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneKUTOKANA na kukua kwa kasi ya mahitaji ya umeme, Serikali imeamua kuongeza mitambo mingine ya kuzalisha umeme kwa kiasi cha megawati 185 katika Mradi wa Kinyerezi I uliopo jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaongeza kasi upatikanaji maji

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa Mongolandege, Martha Singano baada ya kuzindua mradi wa maji ya kisima katika mtaa huo Manispaa ya Ilala, ikiwa ni uzinduzi wa maadhimisho ya Wiki ya Maji. (Picha na Aron Msigwa, Maelezo).SERIKALI imekamilisha mipango ya kuvuta maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya wakazi wa mjini ya Tabora, Nzega na Igunga katika Mkoa wa Tabora.

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama aomba fedha kukabili Ebola

Rais wa Marekani Barack Obama ametoa wito kwa chama cha Congress kupitisha kiasi cha dola bilion 6 ili kuikabili Ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani