Serikali yaongeza nguvu kuikabili Ebola
Yatenga sh. bilioni 1.8 kupambana nayo
NA RABIA BAKARI
SERIKALI imeendelea kuchukua tahadhari kutokana na ugonjwa wa Ebola kusambaa kwa kasi kubwa na kubisha hodi katika nchi za Afrika Mashariki.
Ugonjwa huo ambao uliweka mizizi katika nchi za Afrika Magharibi, umeua mamia ya watu na kasi yake imezidi kuyatisha mataifa mbalimbali duniani.
Kutokana na tishio hilo, serikali imefunga vifaa vya kisasa katika viwanja vikubwa vya ndege nchini ili kudhibiti ugonjwa huo kuingia.
Tayari mashine maalumu...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo09 Aug
Serikali yaongeza nguvu kukabili ebola
SERIKALI imeongeza nguvu ya kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa ebola iwapo utatokea, kwa kuwapima wasafiri na wageni wanaoingia nchini kupitia viwanja vikubwa vitano vya ndege. Vipimo hivyo vitafanywa ili kubaini iwapo wana vimelea vya ugonjwa huo, kwa kutumia mashine za thermoscan zinazotarajiwa kuingia nchini wiki mbili zijazo.
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Tanzania yajiandaa kuikabili Ebola
KUENEA kwa ugonjwa wa ebola katika mataifa ya Afrika Magharibi, kumeifanya serikali kuchukua tahadhari. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Msemaji wa Wizara ya Afya na...
10 years ago
MichuziMamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), yajipanga kuikabili Ebola
10 years ago
Habarileo08 Jun
Serikali yaongeza mitambo ya kuzalisha umeme
KUTOKANA na kukua kwa kasi ya mahitaji ya umeme, Serikali imeamua kuongeza mitambo mingine ya kuzalisha umeme kwa kiasi cha megawati 185 katika Mradi wa Kinyerezi I uliopo jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Habarileo18 Mar
Serikali yaongeza kasi upatikanaji maji
SERIKALI imekamilisha mipango ya kuvuta maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya wakazi wa mjini ya Tabora, Nzega na Igunga katika Mkoa wa Tabora.
10 years ago
GPLSENSA YA VIWANDA TANZANIA: SERIKALI YAONGEZA MUDA
11 years ago
BBCSwahili10 Aug
Liberia yazidiwa nguvu na ebola
10 years ago
Habarileo20 Oct
Nchi za EAC zaunganisha nguvu kukabili ebola
MAWAZIRI wa Afya wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wameweka mikakati madhubuti ya kupambana na ugonjwa wa ebola ili ugonjwa huo usiweze kuingia kirahisi katika nchi hizo.
9 years ago
MichuziNCHI ZA AFRIKA ZIWEKEZE NGUVU YA PAMOJA KUPAMBANA NA EBOLA
Mkurugenzi wa taasisi ya utafiti wa mambo ya afya ya CORDS ya nchini Ufaransa Professa Nigel Lightfoot akitoa mada kwa...