Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Serikali yaongeza kasi upatikanaji maji

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa Mongolandege, Martha Singano baada ya kuzindua mradi wa maji ya kisima katika mtaa huo Manispaa ya Ilala, ikiwa ni uzinduzi wa maadhimisho ya Wiki ya Maji. (Picha na Aron Msigwa, Maelezo).SERIKALI imekamilisha mipango ya kuvuta maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya wakazi wa mjini ya Tabora, Nzega na Igunga katika Mkoa wa Tabora.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Serikali ya awamu ya tano yajipanga kulitatua Tatizo La Upatikanaji Maji

Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali ya awamu ya tano imejipanga kuhakikisha inatatua suala la maji ambalo limekuwa likididimiza nguvu kazi za wananchi kutumia muda mwingi kutafuta maji na kutumia muda mchache katika shughuli za maendeleo.

Waziri Mbarawa ameyasema hayo Mkoani Geita katika ziara yake ya kikazi ambapo amekuta miradi mbalimbali ya maji ikiendelea na baadhi ikiwa na changamoto kama za ukosefu wa fedha za kumalizia miradi hiyo na kuahidi kumaliza...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI YARAHISISHA UPATIKANAJI WA MAJI BUKOBA, KAYA ZAIDI YA 18,103 SASA KUNUFAIKA

Mkuu wa wilaya Bukoba Deodatus Kinawiro akizungumza na wananchi wa mtaa wa Kisindi waliojitokeza katika uzinduzi wa vilula vya maji, leo.

Na Allawi Kaboyo, Bukoba
Kaya Zaidi ya 18,103 zenye wakazi wapatao 90,517 Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera zinatarajia kunufaika na upanuzi wa mtandao wa maji kutokana na ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotekelezwa kwa thamani ya shilingi bilioni 2.4 hadi kukamilika kwake.

Taarifa ya utekelezaji wa mradi huo imetolewa na mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya...

 

10 years ago

Habarileo

Zantel yaongeza kasi huduma ya mtandao

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel imesema itaendelea kuboresha huduma zake katika mikoa yote nchini ili wananchi wanufaike zaidi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tato yaongeza kasi Jeshi la Polisi

CHAMA cha Waongoza Watalii Tanzania (TATO) kimetoa msaada wa pikipiki 15 kwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za jeshi  hilo  kupambana na wahalifu...

 

11 years ago

Michuzi

FUATENI TARATIBU SAHIHI ZA UPATIKANAJI HUDUMA ZA MAJI - DAWASCO

Wananchi wameshauriwa kufuata kanuni na taratibu sahihi za upatikanaji wa huduma za Maji ili kujiepusha na utapeli unaofanywa na baadhi ya wananchi wachache wenye lengo la kuharibu utendaji kazi wa dawasco na kuleta hasara kubwa kwa jamii.
Hayo yameelezwa na Afisa Uhusiano wa Dawasco Bi Everlasting Lyaro wakati wa maadhimisho ya wiki ya Utumishi iliyofunguliwa rasmi jana jijini Dar.
Alisema kauli mbiu ya mwaka huu inaendana na dhima nzima ya utumishi uliotukuka unaoainsha misingi ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtwara yapiga hatua upatikanaji wa maji safi na salama

1

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendegu akiwakaribisha wajumbe wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji iliyowasili mkoani humo kukagua miradi ya maji.

2

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi akieleza lengo la ziara ya kamati hiyo mkoani Mtwara.

3

Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi, akizungumza na wanahabari kuhusu ziara ya kamati hiyo ambayo inahitimishwa leo wilayani Masasi mkoani Mtwara.

4

Mhandisi wa...

 

9 years ago

Michuzi

DAWASCO YAONGEZA USAMABAZAJI WA MAJI SAFI KUPAMBANA NA UGONJWA WA KIPINDUPINDU DAR

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Bw. Said Meck Sadick akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani ofisini kwake leo alipokutana nao kuelezea utekelezaji wa maagizo aliyoyatoa kwa DAWASCO kuhusu usambazaji wa maji safi na salama ili kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu. Afisa Mtendaji Mkuu wa  DAWASCO Mhandisi Cyprian Luhemeja akiongea na waandishi wa habari hawapo pichani Dar es salaam  leo alipokutana nao kuelezea utekelezaji wa maagizo yaliyotolewa na  Serikali kuhusu...

 

9 years ago

StarTV

TPDC latoa Sh. Mil. 10 kuwezesha Upatikanaji Maji Safi Njia Nne

Shirika la Maendeleo la Petroli TPDC limetoa shilingi milioni kumi za kuwezesha upatikanaji wa maji safi kwenye kijiji cha Njia Nne kinachopitiwa na bomba la gesi.

Mkuu wa wilaya ya Mkuranga Abdallah Kihato ameagiza mradi huo kutotekelezwa kisiasa akiahidi kuchukua hatua kali dhidi ya matumizi yasiyo ya muhimu ya fedha hizo.

Kijiji cha Niia Nne kinapitiwa na mradi wa bomba la gesi linalotoka Mtwara hadi Dar es Salaam kwa kilomita nne.

Mkuu wa wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani ameonya kuhusiana...

 

10 years ago

Habarileo

Serikali yaongeza mitambo ya kuzalisha umeme

Waziri wa Nishati na Madini, George SimbachaweneKUTOKANA na kukua kwa kasi ya mahitaji ya umeme, Serikali imeamua kuongeza mitambo mingine ya kuzalisha umeme kwa kiasi cha megawati 185 katika Mradi wa Kinyerezi I uliopo jijini Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani