Serikali yaongeza kasi upatikanaji maji
SERIKALI imekamilisha mipango ya kuvuta maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya wakazi wa mjini ya Tabora, Nzega na Igunga katika Mkoa wa Tabora.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV21 Dec
Serikali ya awamu ya tano yajipanga kulitatua Tatizo La Upatikanaji Maji
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali ya awamu ya tano imejipanga kuhakikisha inatatua suala la maji ambalo limekuwa likididimiza nguvu kazi za wananchi kutumia muda mwingi kutafuta maji na kutumia muda mchache katika shughuli za maendeleo.
Waziri Mbarawa ameyasema hayo Mkoani Geita katika ziara yake ya kikazi ambapo amekuta miradi mbalimbali ya maji ikiendelea na baadhi ikiwa na changamoto kama za ukosefu wa fedha za kumalizia miradi hiyo na kuahidi kumaliza...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-GY4IO4JuQ58/XvTMHUavVqI/AAAAAAACOb8/08nUot_Fo-w4fAL9jR77pWrsMFJenQJTQCLcBGAsYHQ/s72-c/3%2B%25282%2529.jpg)
SERIKALI YARAHISISHA UPATIKANAJI WA MAJI BUKOBA, KAYA ZAIDI YA 18,103 SASA KUNUFAIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-GY4IO4JuQ58/XvTMHUavVqI/AAAAAAACOb8/08nUot_Fo-w4fAL9jR77pWrsMFJenQJTQCLcBGAsYHQ/s400/3%2B%25282%2529.jpg)
Na Allawi Kaboyo, Bukoba
Kaya Zaidi ya 18,103 zenye wakazi wapatao 90,517 Manispaa ya Bukoba Mkoani Kagera zinatarajia kunufaika na upanuzi wa mtandao wa maji kutokana na ujenzi wa mradi mkubwa wa maji unaotekelezwa kwa thamani ya shilingi bilioni 2.4 hadi kukamilika kwake.
Taarifa ya utekelezaji wa mradi huo imetolewa na mkurugenzi mtendaji wa mamlaka ya...
10 years ago
Habarileo23 Sep
Zantel yaongeza kasi huduma ya mtandao
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel imesema itaendelea kuboresha huduma zake katika mikoa yote nchini ili wananchi wanufaike zaidi.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Tato yaongeza kasi Jeshi la Polisi
CHAMA cha Waongoza Watalii Tanzania (TATO) kimetoa msaada wa pikipiki 15 kwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za jeshi hilo kupambana na wahalifu...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-m2OfxrXx-_c/U6Cs5lnjlZI/AAAAAAAFrV8/yuXKCk07o30/s72-c/Picture+3840.jpg)
FUATENI TARATIBU SAHIHI ZA UPATIKANAJI HUDUMA ZA MAJI - DAWASCO
Hayo yameelezwa na Afisa Uhusiano wa Dawasco Bi Everlasting Lyaro wakati wa maadhimisho ya wiki ya Utumishi iliyofunguliwa rasmi jana jijini Dar.
Alisema kauli mbiu ya mwaka huu inaendana na dhima nzima ya utumishi uliotukuka unaoainsha misingi ...
10 years ago
Dewji Blog23 Jan
Mtwara yapiga hatua upatikanaji wa maji safi na salama
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Halima Dendegu akiwakaribisha wajumbe wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji iliyowasili mkoani humo kukagua miradi ya maji.
Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi akieleza lengo la ziara ya kamati hiyo mkoani Mtwara.
Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi, akizungumza na wanahabari kuhusu ziara ya kamati hiyo ambayo inahitimishwa leo wilayani Masasi mkoani Mtwara.
Mhandisi wa...
9 years ago
MichuziDAWASCO YAONGEZA USAMABAZAJI WA MAJI SAFI KUPAMBANA NA UGONJWA WA KIPINDUPINDU DAR
9 years ago
StarTV16 Dec
TPDC latoa Sh. Mil. 10 kuwezesha Upatikanaji Maji Safi Njia Nne
Shirika la Maendeleo la Petroli TPDC limetoa shilingi milioni kumi za kuwezesha upatikanaji wa maji safi kwenye kijiji cha Njia Nne kinachopitiwa na bomba la gesi.
Mkuu wa wilaya ya Mkuranga Abdallah Kihato ameagiza mradi huo kutotekelezwa kisiasa akiahidi kuchukua hatua kali dhidi ya matumizi yasiyo ya muhimu ya fedha hizo.
Kijiji cha Niia Nne kinapitiwa na mradi wa bomba la gesi linalotoka Mtwara hadi Dar es Salaam kwa kilomita nne.
Mkuu wa wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani ameonya kuhusiana...
10 years ago
Habarileo08 Jun
Serikali yaongeza mitambo ya kuzalisha umeme
KUTOKANA na kukua kwa kasi ya mahitaji ya umeme, Serikali imeamua kuongeza mitambo mingine ya kuzalisha umeme kwa kiasi cha megawati 185 katika Mradi wa Kinyerezi I uliopo jijini Dar es Salaam.