Serikali ya awamu ya tano yajipanga kulitatua Tatizo La Upatikanaji Maji
Waziri wa Maji na Umwagiliaji Profesa Makame Mbarawa amesema Serikali ya awamu ya tano imejipanga kuhakikisha inatatua suala la maji ambalo limekuwa likididimiza nguvu kazi za wananchi kutumia muda mwingi kutafuta maji na kutumia muda mchache katika shughuli za maendeleo.
Waziri Mbarawa ameyasema hayo Mkoani Geita katika ziara yake ya kikazi ambapo amekuta miradi mbalimbali ya maji ikiendelea na baadhi ikiwa na changamoto kama za ukosefu wa fedha za kumalizia miradi hiyo na kuahidi kumaliza...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziBILIONI 32/- ZA SERIKALI YA AWAMU YA TANO ZILIVYOREJESHA HUDUMA YA MAJI MANISPAA YA LINDI


Sehemu mbalimbali za eneo la Mradi wa Maji Ng’apa katika Manispaa ya Lindi ukiwa katika utekelezaji kama ilivyokutwa na kamera ya Idara ya Habari (MAELEZO) wakati wa ziara ya timu ya Maafisa Habari waliotembelea mradi huo hivi karibuni Mkoani Lindi.
Picha na MAELEZO.
………………………………………………………………………………….
Na Mwandishi Wetu,MAELEZO
DAR ES SALAAM
AZIMIO namba 64/292 la mwaka 2010 la Umoja wa Mataifa linatamka kuwa huduma ya maji na usafi wa mazingira ni haki ya msingi ya binadamu na pia ni hitaji...
9 years ago
CCM Blog
MAWAZIRI WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO WAAPISHWA




10 years ago
Michuzi
SERIKALI YA AWAMU YA TANO ITAKUWA NI YA VIWANDA-MAGUFULI


10 years ago
Mwananchi08 Sep
Magufuli: Serikali ya awamu ya tano itakuwa ya viwanda
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kashfa tano zimeitesa Serikali ya awamu ya nne
10 years ago
Habarileo18 Mar
Serikali yaongeza kasi upatikanaji maji
SERIKALI imekamilisha mipango ya kuvuta maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya wakazi wa mjini ya Tabora, Nzega na Igunga katika Mkoa wa Tabora.
9 years ago
StarTV07 Nov
Serikali awamu ya tano Yashauriwa kutenganisha Wizara ya Michezo.
Serikali ya awamu ya tano, imeshauriwa kuitenganisha Wizara ya Michezo na wizara nyingine, ili kusukuma maendeleo ya michezo nchini. Katika awamu iliyopita, michezo ilikuwa Wizara moja na Habari, Vijana na Utamaduni, na hivyo baadhi ya wadau kudai kwamba waziri husika alikuwa na mzigo wa kushughulikia sekta nne kwa wakati mmoja. Ushauri kwa serikali mpya umetolewa na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Chama cha Soka Wilaya ya Kinondoni (KIFA) mkoani Dar es Salaam, Majaliwa Mbassa,...
9 years ago
MichuziSERIKALI YATOA PICHA RASMI YA RAIS WA AWAMU YA TANO.
9 years ago
Mwananchi05 Nov
DK Magufuli aapishwa rasmi kuongoza serikali ya awamu ya tano