SERIKALI YATOA PICHA RASMI YA RAIS WA AWAMU YA TANO.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akiwaonesha waandishi wa Habari picha rasmi ya Rais wa Awamu ya Tano ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli ambayo itakuwa ikitumika katika ofisi za Serikali na Binafsi ambayo inapatikana Idara ya Habari (MAELEZO) kwa gharama ya Shilingi 15,000/.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi05 Nov
DK Magufuli aapishwa rasmi kuongoza serikali ya awamu ya tano
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Mtoto wa Rais wa awamu ya tano Zanzibar kuboresha ofisi ya serikali ya mtaa kata ya Tabata
Mtoto wa Rais Mstaafu wa awamu ya tano Zanzibar, Amin Salmin, akimkabidhi Cheti, Mwenyekiti wa UWT ambaye pia ni Kaimu Katibu wa CCM wa Tabata Relini, Shahani Mtwawa, wakati wa Sherehe maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya kuwashukuru Wapiga Kura wa CCM, waliofanikisha kuchaguliwa kwa Viongozi wa Serikali ya Mtaa huo wa Kata ya Tabata. Sherehe hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki katika Ofisi za Serikali ya Mtaa Kata ya Tabata, jijini Dar es Salaam. Katika hotuba yake mgeni rasmi huyo, aliahidi...
9 years ago
MichuziASKOFU CHARLES GADI AONGOZA UMOJA WA MAKANISA YA DODOMA KUMUOMBEA RAIS DK.JOHN MAGUFULI NA SERIKALI YA AWAMU YA TANO
9 years ago
MichuziSerikali yatoa Ufafanuzi juu ya uzushi wa kifo cha Rais wa Awamu ya Tatu
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Serikali yasitisha matumizi ya picha ya Rais wa awamu ya 5 Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene.
Serikali inapenda kuzitaarifu ofisi za umma na wananchi kwa ujumla kwamba imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Serikali ya Awamu ya Tano, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena.
Awali majira ya saa 6: 00 jana mchana Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi...
9 years ago
CCM Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-OpZUihWAxXE/VmwEd-fWZhI/AAAAAAAAsKE/mn3V8f8yxY0/s72-c/45.jpg)
MAWAZIRI WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO WAAPISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OpZUihWAxXE/VmwEd-fWZhI/AAAAAAAAsKE/mn3V8f8yxY0/s640/45.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y7rYdZjT84E/VmwEh8Jt5GI/AAAAAAAAsKM/b3ViYHZ5E-0/s640/47.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DPnS5gUIpCw/VmwEh7xwiuI/AAAAAAAAsKQ/x9ruphoVuk0/s640/49.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nA-xAF2ydCY/VmwEkwSTjAI/AAAAAAAAsKc/CK8SAfPP7hg/s640/50.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s72-c/_MG_5772.jpg)
SERIKALI YA AWAMU YA TANO ITAKUWA NI YA VIWANDA-MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s640/_MG_5772.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5zvqvRy_Vb8/VfWoX5TGDII/AAAAAAAC_D0/_MQoApTYw0g/s640/_MG_5783.jpg)
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Magufuli: Serikali ya awamu ya tano itakuwa ya viwanda
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kashfa tano zimeitesa Serikali ya awamu ya nne