MAWAZIRI WA SERIKALI YA AWAMU YA TANO WAAPISHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-OpZUihWAxXE/VmwEd-fWZhI/AAAAAAAAsKE/mn3V8f8yxY0/s72-c/45.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Dk. Hussein Mwinyi kuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ,Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Ndugu Wiliam Lukuvi kuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli akimuapisha Dkt. Harrison Mwakyembe kuwa Waziri wa Sheria na Katiba.
Rais wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Magufuli: Serikali ya awamu ya tano itakuwa ya viwanda
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s72-c/_MG_5772.jpg)
SERIKALI YA AWAMU YA TANO ITAKUWA NI YA VIWANDA-MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-7c78ShOLyCk/VfWoUjqA6_I/AAAAAAAC_Ds/zbJJ1dXdA68/s640/_MG_5772.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-5zvqvRy_Vb8/VfWoX5TGDII/AAAAAAAC_D0/_MQoApTYw0g/s640/_MG_5783.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Kashfa tano zimeitesa Serikali ya awamu ya nne
9 years ago
MichuziSERIKALI YATOA PICHA RASMI YA RAIS WA AWAMU YA TANO.
9 years ago
Mwananchi05 Nov
DK Magufuli aapishwa rasmi kuongoza serikali ya awamu ya tano
9 years ago
StarTV07 Nov
Serikali awamu ya tano Yashauriwa kutenganisha Wizara ya Michezo.
Serikali ya awamu ya tano, imeshauriwa kuitenganisha Wizara ya Michezo na wizara nyingine, ili kusukuma maendeleo ya michezo nchini. Katika awamu iliyopita, michezo ilikuwa Wizara moja na Habari, Vijana na Utamaduni, na hivyo baadhi ya wadau kudai kwamba waziri husika alikuwa na mzigo wa kushughulikia sekta nne kwa wakati mmoja. Ushauri kwa serikali mpya umetolewa na aliyekuwa Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Chama cha Soka Wilaya ya Kinondoni (KIFA) mkoani Dar es Salaam, Majaliwa Mbassa,...
9 years ago
MichuziSERIKALI YA AWAMU YA TANO YAOMBWA KUREKEBISHA ADHABU YA KIFO
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
TAASISI ya Children Education Society (CHESO) ...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ZvshmacpThA/XvhEdw4u0aI/AAAAAAALvv0/06qDyOgZJUA1ddCktKjihekZSUOG-dwXgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-28%2Bat%2B10.16.01%2BAM.jpeg)
SERIKALI YA AWAMU YA TANO IMELETA MAENDELEO PWANI- MHANDISI NDIKILO
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo amesema ndani ya miaka mitano chini ya serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Dkt John Pombe Magufuli imepata maendeleo makubwa sana.
Ndikilo amesema, toka kupata kwa Uhuru mji wa Kisarawe haujawahi kupata maji safi na kupitia Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA wamefanikisha kukamilika kwa mradi huo.
Mradi wa maji wa Kisarawe umeuzindulia leo na Rais Dkt John Pombe Magufuli, tunafurahi...
9 years ago
StarTV13 Nov
Wakazi Rorya waishukuru Serikali ya awamu ya tano kuwapatia msaada
Wakazi wa vijiji vya Baraki na Kenyamsana wilayani Rorya mkoani Mara waishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuwapatia msaada wa mahindi tani elfu 25 baada ya kukumbwa na maafa ya mvua. Mvua kubwa iliyonyesha ikiambatana na upepo mkali ilisababisha mazao yao kuchukuliwa na maji na nyumba zaidi ya 170 kuezuliwa paa. Wananchi zaidi ya1,080 wa kijiji cha baraki na kenyamsana wilayani rorya wanao hitaji msaada wa chakula zaidi ya tani 50 za mahindi ili kupunguza tatizo la upungufu wa chakula,...