Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zantel yaongeza kasi huduma ya mtandao

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Zantel imesema itaendelea kuboresha huduma zake katika mikoa yote nchini ili wananchi wanufaike zaidi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Serikali yaongeza kasi upatikanaji maji

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki akimtwisha ndoo ya maji mkazi wa Mongolandege, Martha Singano baada ya kuzindua mradi wa maji ya kisima katika mtaa huo Manispaa ya Ilala, ikiwa ni uzinduzi wa maadhimisho ya Wiki ya Maji. (Picha na Aron Msigwa, Maelezo).SERIKALI imekamilisha mipango ya kuvuta maji safi na salama kutoka Ziwa Victoria kwa ajili ya wakazi wa mjini ya Tabora, Nzega na Igunga katika Mkoa wa Tabora.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tato yaongeza kasi Jeshi la Polisi

CHAMA cha Waongoza Watalii Tanzania (TATO) kimetoa msaada wa pikipiki 15 kwa Jeshi la Polisi mkoani Arusha ikiwa ni sehemu ya kuunga mkono jitihada za jeshi  hilo  kupambana na wahalifu...

 

11 years ago

Mwananchi

Tigo, Airtel, Zantel zaunganisha huduma

Kampuni za simu za mkononi za Tigo, Airtel na Zantel zimeunganisha huduma zao za kutoa, kutuma na kuweka fedha na sasa mteja anaweza kutuma fedha kutoka mtandao mmoja kupitia mwingine.

 

10 years ago

Michuzi

GEPF YAONGEZA HUDUMA YA MAFAO ZAIDI KWA WANACHAMA WAKE

Meneja Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa GEPF, Aloyce Ntukamazima akitoa mada kwa maofisa na mameneja wa Rasilimali Watu nchini, kuhusu mafao na maendeleo ya mfuko huo, kwa sasa mfuko huo pamoja na mambo mengine wanachama wake wananufaika na Fao la Elimu, Fao la kuanza maisha kwa waajiriwa wapya, Fao la Kujikimu na Fao la Uzazi. Baadhi ya maofisa na mameneja wa Rasilimali Watu nchini, wakimsikiliza Meneja Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa GEPF, Aloyce Ntukamazima , alipokuwa akiwasilisha...

 

9 years ago

Dewji Blog

Zantel yaingia ubia na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) kutoa huduma za kibenki kupitia simu za mkononi

1

Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Mheshimiwa Omari Yusuf Mzee, akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa huduma ya Benki yako Kiganjani ya Zantel pamoja na benki ya PBZ. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose, akifuatiwa na Mwenyekiti wa bodi ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania, Salmin Senga, na mwisho kulia ni Mkurugenzi wa benki ya PBZ, Juma Mohammed.

3

Mkurugenzi wa Zantel, Pratap Ghose akizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma mpya kati ya kampuni yake na benki ya PBZ, Benki Yako...

 

10 years ago

Dewji Blog

Wateja wa Tigo na ZANTEL sasa kufurahia huduma salama na uhakika ya kutumiana fedha kwenye Mitandao yao kwa 100%

2

Meneja Chapa wa Tigo William Mpinga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) mjini Zanzibar mapema leo kuhusu ushirikiano kati ya TigoPesa na EzyPesa ambapo sasa wateja kutoka mitandao hiyo miwili wataweza kutuma na kupokea pesa kutoka mtandao hiyo moja kwa moja kutoka kwa wakala wa mtandao wao bila kuwa na ulazima tena wa mteja kutafuta wakala wa mtandao wa mtu aliyemtumia pesa.

3

Mkurugenzi wa Huduma za Kutuma na Kupokea Fedha wa Tigo Andrew Hodgson akitoa maelezo kwa waandishi...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI YA KUELIMISHA JAMII DHIDI YA MAKOSA MTANDAO YASHIKA KASI

Kufuatia mpango kabambe wa kuelimisha jamii dhidi ya makosa mtandao tayari kumekua na video za katuni, Mchezo wa komputa “Computer gane”, majarida ya katuni pamoja na machapisho mengine yote yakiwa na lengo la kutoa elimu kwa jamii juu ya jinsi ya kujilinda dhidi ya makosa mtandao kuanzia ngazi ya mtu binafsi hadi kufikia ngazi ya kitaifa. Picha: Mfano wa Vijarida vinavyo toa elimu dhidi ya usalama mtandao. Aidha, Bwana. Yusuph Kileo ametoa wito kwa vyombo vya habari nchini kuangalia kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tigo yazindua mtandao wenye kasi zaidi wa 4G LTE jijini Tanga.

2kZxVbUbMAXNvi9ShJcQh799zxPA5nPVZnWdsnn_LlI,kCddjQy91QbZidWHsDIOoNLjD2VmVVQMcgJSuW0UFwwMkuu wa kitengo cha biashara (B2B) katika kampuni ya simu za mkononi ya Tigo Rene Bascope, akihutubia hadhira iliyohudhuria uzinduzi wa mfumo wa intaneti wenye kasi zaidi (4G LTE) uliozinduliwa jana jijini Tanga.

z9Uy83c8tTzlfFNhBmesVTXqkXTmtLiciIi5A7t3eQ8,y5qSqowWf8pt-_v_CDtCfGOTFDlyp0z_4GMLfrxAd9kKamanda wa kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Tanga, Nassor Sisiwaya (wa pili kushoto) akibadilishana mawazo na Meneja Mawasiliano ya Umma wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo John Wanyancha (wa kwanza kulia) wakati wa uzinduzi huo.

C5IWFoWZuafemZP_-Y2o_9VQm-8UKOY0oiMYsxqiXbc,jLL1w5SjVm_HNg0L702zDn9OlWDIU5fHDET71oDgw9A,aDA1jn2APCsB_QxjQtUmLue63tVVXj2qNsABrdDTma8Mkuu wa wilaya ya Tanga, Abdullah Lutavi...

 

11 years ago

Ykileo

TAHADHARI: AINA MPYA YA UHALIFU MTANDAO INAYO ENDELEA KUKUA KWA KASI.


Wahalifu mtandao wameendelea kubuni aina mpya za kufanikisha uhalifu wa mitandao hasa katika makampuni. Hili limeonekana kushika kasi katika maeneo mbali mbali na limeingia katika mijadala na kuwa ni moja ya maswala yaliyo hamasishwa kufikiswhwa kwa jamii ili kuendelea kukuza uelewa wa makosa mtandao.


Kwanza kabisa, Faili lolote ambalo linasomeka na kiambatanishi .exe mfano: umoja.exe nifaili ambalo limedhamiriwa kuingizwa kuwa ni moja ya program za komputa hivyo kabla ya kubonyeza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani