TAHADHARI: AINA MPYA YA UHALIFU MTANDAO INAYO ENDELEA KUKUA KWA KASI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-u4EdETzm6pA/U1dzWf929qI/AAAAAAAAAW8/Lu95EFJmGHs/s72-c/Aina+nyingine.jpg)
Wahalifu mtandao wameendelea kubuni aina mpya za kufanikisha uhalifu wa mitandao hasa katika makampuni. Hili limeonekana kushika kasi katika maeneo mbali mbali na limeingia katika mijadala na kuwa ni moja ya maswala yaliyo hamasishwa kufikiswhwa kwa jamii ili kuendelea kukuza uelewa wa makosa mtandao.
Kwanza kabisa, Faili lolote ambalo linasomeka na kiambatanishi .exe mfano: umoja.exe nifaili ambalo limedhamiriwa kuingizwa kuwa ni moja ya program za komputa hivyo kabla ya kubonyeza...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oD_9VyU3lZA/U09kAxxFXZI/AAAAAAAFbbc/K5gnLQTqPtc/s72-c/unnamed+(72).jpg)
TAHADHARI: AINA MPYA YA UHALIFU MTANDAO INAYO ENDELEA KUKUA KWA KASI HIVI SASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-oD_9VyU3lZA/U09kAxxFXZI/AAAAAAAFbbc/K5gnLQTqPtc/s1600/unnamed+(72).jpg)
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-819jipYGHhU/U6aPQ3OG7BI/AAAAAAAAAv8/kfDh-tMH3qU/s72-c/1.jpg)
AINA MPYA YA UHALIFU UNAOKUJA KWA KASI NCHINI TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-819jipYGHhU/U6aPQ3OG7BI/AAAAAAAAAv8/kfDh-tMH3qU/s1600/1.jpg)
Nchi mbali mbali zimechukulia uhalifu huu kua ni hatari kwani unaweza kuwa na madhara makubwa kwa mtendewa ikiwa ni pamoja na kupelekea kufilisi mtu, kupata taarifa za watu kinyume na sheria/ makubaliano na hata wakati mwingine kupelekea kuleta madhara mengine kama kutumika...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ji91JCZDQgk/U7PNIQ_UktI/AAAAAAAFuMI/-TRZxgMsJyM/s72-c/New+Picture+(1).png)
KUKUA KWA KASI KWA BIMA INAYOFUATA MAADILI YA KI-ISLAMU
![](http://2.bp.blogspot.com/-ji91JCZDQgk/U7PNIQ_UktI/AAAAAAAFuMI/-TRZxgMsJyM/s1600/New+Picture+(1).png)
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
UJAUZITO WIKI YA TISA: Mtoto anaanza kukua kwa kasi
INAPOINGIA wiki hii, mtoto anakuwa amekua na kufikia urefu wa kama inchi moja hivi. Anakuwa ameshazidi ukubwa wa haragwe ambao alikuwa nao wiki iliyopita. Wakati huu anakuwa ameshaanza kuonyesha viungo...
10 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-WfXVkxNTHho/VKPitkKClrI/AAAAAAAABHU/M8yGakofKDA/s72-c/12345678.jpg)
TU UFUNGE MWAKA KWA KUJIHADHARI NA UHALIFU MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-WfXVkxNTHho/VKPitkKClrI/AAAAAAAABHU/M8yGakofKDA/s1600/12345678.jpg)
Kubwa zaidi ni uelewa mdogo wa watumiaji mtandao juu ya kujiweka salama kimtandao iliyo ambatana na wana usalama mitandao kuwa wachache sana katika ngazi ya kidunia huku baadhi ya mataifa kutotoa kipaumbele katika maswala ya usalama...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s72-c/connect.jpg)
UHALIFU MTANDAO NI TISHIO KWA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s1600/connect.jpg)
Akitolea Ufafanuzi kauli hiyo Meneja wa PwC bwana. John Kamau alieleza uhalifu mtandao umeendelea kutengeneza vichwa vya habari nabado utaendelea kufanya hivyo kwa muda. Na kwa sasa tayari uhalifu huu umeingia katika...
9 years ago
MichuziHoja ya haja: Kasi ya “HAPA NI KAZI TU†ni nzuri, ila itekelezwe kwa tahadhari kubwa
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Wagiriki watatu mbaroni Dar kwa uhalifu wa mtandao ‘Cyber Crime’ wakutwa na ATM Card zaidi ya 10
Pichani ni picha ya Mtanndao ni namna ya wahalifu wa kimtadao wanavyoingilia mfumo wa computer yako na kuchukua vitu muhimu.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa watatu raia wa kigeni kwa makosa yanayohusiana na wizi wa mtandao kwa lengo la kuiba katika vyombo vya fedha kama mabenki, maduka ya kubadilishia fedha (Bureau de Change) au kuingilia miamala ya fedha zinazosafirishwa na wateja kutoka nje na ndani ya nchi.
Polisi wa kikosi Maalum cha...