TU UFUNGE MWAKA KWA KUJIHADHARI NA UHALIFU MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-WfXVkxNTHho/VKPitkKClrI/AAAAAAAABHU/M8yGakofKDA/s72-c/12345678.jpg)
Mwaka 2014 Umekua Wenye changamoto nyingi sana kwenye upade wa mitandao ambapo wahalifu mtandao walifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kuitikisa anga ya usalama mitandao duniani kote ambapo walifikia kutamba kuwa wameshinda mapambano na wanausalama mitandao.
Kubwa zaidi ni uelewa mdogo wa watumiaji mtandao juu ya kujiweka salama kimtandao iliyo ambatana na wana usalama mitandao kuwa wachache sana katika ngazi ya kidunia huku baadhi ya mataifa kutotoa kipaumbele katika maswala ya usalama...
Habari Zinazoendana
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s72-c/connect.jpg)
UHALIFU MTANDAO NI TISHIO KWA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s1600/connect.jpg)
Akitolea Ufafanuzi kauli hiyo Meneja wa PwC bwana. John Kamau alieleza uhalifu mtandao umeendelea kutengeneza vichwa vya habari nabado utaendelea kufanya hivyo kwa muda. Na kwa sasa tayari uhalifu huu umeingia katika...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EDeuIA4Sre8/UySxBcBSzzI/AAAAAAAFT5Y/BP88Po8hoB0/s72-c/unnamed+(17).jpg)
MKUTANO WA MASWALA YA ULINZI MTANDAO WAKAMILIKA KWA KUPIGILIA MSUMARI KAULI MBIU “MWAKA 2014 NI MWAKA WA VITENDO”
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-u4EdETzm6pA/U1dzWf929qI/AAAAAAAAAW8/Lu95EFJmGHs/s72-c/Aina+nyingine.jpg)
TAHADHARI: AINA MPYA YA UHALIFU MTANDAO INAYO ENDELEA KUKUA KWA KASI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-u4EdETzm6pA/U1dzWf929qI/AAAAAAAAAW8/Lu95EFJmGHs/s1600/Aina+nyingine.jpg)
Kwanza kabisa, Faili lolote ambalo linasomeka na kiambatanishi .exe mfano: umoja.exe nifaili ambalo limedhamiriwa kuingizwa kuwa ni moja ya program za komputa hivyo kabla ya kubonyeza...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oD_9VyU3lZA/U09kAxxFXZI/AAAAAAAFbbc/K5gnLQTqPtc/s72-c/unnamed+(72).jpg)
TAHADHARI: AINA MPYA YA UHALIFU MTANDAO INAYO ENDELEA KUKUA KWA KASI HIVI SASA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-oD_9VyU3lZA/U09kAxxFXZI/AAAAAAAFbbc/K5gnLQTqPtc/s1600/unnamed+(72).jpg)
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Wagiriki watatu mbaroni Dar kwa uhalifu wa mtandao ‘Cyber Crime’ wakutwa na ATM Card zaidi ya 10
Pichani ni picha ya Mtanndao ni namna ya wahalifu wa kimtadao wanavyoingilia mfumo wa computer yako na kuchukua vitu muhimu.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa watatu raia wa kigeni kwa makosa yanayohusiana na wizi wa mtandao kwa lengo la kuiba katika vyombo vya fedha kama mabenki, maduka ya kubadilishia fedha (Bureau de Change) au kuingilia miamala ya fedha zinazosafirishwa na wateja kutoka nje na ndani ya nchi.
Polisi wa kikosi Maalum cha...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-QlrwZacNU1E/U0CSp2g9YuI/AAAAAAAAALU/b9tgaU-k2n0/s72-c/blg.jpg)
MCHANGO WA "HOLLYWOOD" KATIKA KUTOA ELIMU KWA JAMII KUHUSIANA NA UHALIFU MTANDAO.
Unapozungumzia vyombo vya habari ikiwa ni pamoja na wacheza Filamu Televishen na Redio Hollywood imekua mstari wa mbele katika kutoa elimu ya kina kuhusiana na makosa mtandao jinsi yanavyo tendwa na namna ya kutambua na kujikinga.
Kumekua na kampeni endelevu Kupitia tamthilia mbali mbali pamoja na muvi zinazotengenezwa marekani kuhakiki jamii inatambua aina mpya ya makosa mtandao yanaingizwa katika vipengele mbali mbali ndani ya Filamu zinazotengenezwa.
Baadhi ya Mifano hai ni kutoka katika...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-sQKlfytkjiI/U4pb2_66XgI/AAAAAAAAAl4/ekQZzaDGaOQ/s72-c/1234567890.jpg)
MAPAMBANO YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-sQKlfytkjiI/U4pb2_66XgI/AAAAAAAAAl4/ekQZzaDGaOQ/s1600/1234567890.jpg)
Hili pia limeonekana kwa nchi ya Afrika ya kusini kupitia mpango wa mafunzo ya mwezi...
11 years ago
YkileoMJADALA: UHALIFU MTANDAO
Mwishoni mwa mwaka jana 2013, nilipata mualiko wakuzungumzia kirefu maswala ya usalama mtandao ambapo pia nilipata kuweka mahojiano hayo kupitia moja ya maandiko niliyo andika kupita blog hii kama...