Wagiriki watatu mbaroni Dar kwa uhalifu wa mtandao ‘Cyber Crime’ wakutwa na ATM Card zaidi ya 10
Pichani ni picha ya Mtanndao ni namna ya wahalifu wa kimtadao wanavyoingilia mfumo wa computer yako na kuchukua vitu muhimu.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa watatu raia wa kigeni kwa makosa yanayohusiana na wizi wa mtandao kwa lengo la kuiba katika vyombo vya fedha kama mabenki, maduka ya kubadilishia fedha (Bureau de Change) au kuingilia miamala ya fedha zinazosafirishwa na wateja kutoka nje na ndani ya nchi.
Polisi wa kikosi Maalum cha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Fr74s4q3MTw/U6Q-fMjaMKI/AAAAAAAFr9U/n4fWQpvvhbM/s72-c/unnamed+(16).jpg)
WATU WATATU WATIWA MBARONI MKOANI PWANI,WAKUTWA NA BASTOLA NA SARE ZA JESHI
![](http://4.bp.blogspot.com/-Fr74s4q3MTw/U6Q-fMjaMKI/AAAAAAAFr9U/n4fWQpvvhbM/s1600/unnamed+(16).jpg)
JESHI la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kuwakamata watu watatu akiwemo mtu Daniel Mtalisi mkazi wa Kisemvule wilaya ya Mkuranga ambaye alipitia mafunzo ya kijeshi kwa tuhuma za kufanya tukio la uhalifu wa kupora silaha na vitu mbalimbali.
Mtuhumiwa huyo ambayealiwahi kupata mafunzo ya kijeshi kwenye Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kikosi namba 833 Oljoro Arusha na namba yake ni MT. 95150.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kwa waandishi wa habari mjini Kibaha,...
11 years ago
CloudsFM31 Jul
MAJAMBAZI 10 WANAOUNDA MTANDAO HATARI WA UHALIFU NCHINI WAMETIWA MBARONI
Silaha hizo ni bunduki tisa zikiwemo SMG tatu, bastola mbili, short gun nne na risasi 15 zilikamatwa.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, aliyasema hayo ofisini kwake kwenye mkutano na waandishi wa habari.
Majambazi hao wamekamatwa katika msako mkali unaoendelea jijini Dar es Salaam katika harakati za kuhakikisha...
9 years ago
Daily News | The National Newspaper (Press Release) (Blog)26 Oct
One more cyber crime act 'victim' arraigned in Dar court
Daily News | The National Newspaper (press release) (blog)
THE number of accused persons in the case of violation of the Cyber Crime Act 2015 has increased following the arraignment of an Arusha resident, George Aloyce Kimaryo (34). View Comments. Kimaryo, a hotelier, is accused of publishing inaccurate ...
11 years ago
GPLMAJAMBAZI 10 WANAOUNDA MTANDAO HATARI WA UHALIFU NCHINI WAMETIWA MBARONI, SILAHA MBALIMBALI ZAKAMATWA
11 years ago
Michuzi31 Jul
Majambazi 10 wanaounda mtandao hatari wa uhalifu nchini wametiwa mbaroni, silaha mbalimbali zakamatwa.
Silaha hizo ni bunduki tisa zikiwemo SMG tatu, bastola mbili, short gun nne na risasi 15 zilikamatwa.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, aliyasema hayo...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-IE698k5KzZs/VW6zwKYSUiI/AAAAAAAABcQ/Mecx-OAURbU/s72-c/M74A1496.jpg)
TANZANIA KUATHIRIKA ZAIDI NA UHALIFU MTANDAO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-IE698k5KzZs/VW6zwKYSUiI/AAAAAAAABcQ/Mecx-OAURbU/s200/M74A1496.jpg)
5 years ago
Ykileo![](https://1.bp.blogspot.com/-l-cJ7O7LxNw/WnP_HYJj43I/AAAAAAAACKg/egjLg6wvg4c1HQ_CvIx-xl0ewyP86IWmgCLcBGAs/s72-c/TUMIA.jpg)
ANGALIZO KWA MABENKI DHIDI YA UHALIFU WA ATM JACKPOTING
![](https://1.bp.blogspot.com/-l-cJ7O7LxNw/WnP_HYJj43I/AAAAAAAACKg/egjLg6wvg4c1HQ_CvIx-xl0ewyP86IWmgCLcBGAs/s640/TUMIA.jpg)
KWA UFUPI: ATM jackpotting imgonga Hodi Nchini Marekani ambapo imesababisha upotevu mkubwa wa fedha zinazo kadiriwa kuzidi kiasi cha Dola milioni moja hadi sasa.----------Kumekua na aina nyingi za uhalifu mtandao unaolenga mashine za ATM ambao umekua ukiathiri mabenki mengi maeneo mengi duniani.
Mataifa ya Afrika yamesha kumbwa na changamoto za uhalifu katika mashine za ATM kama vile “card skimming” ambapo wahalifu mtandao mara kadhaa wamekua wakiripotiwa kughushi kadi za ATM zilizopelekea...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lTzV_oHerZc/VZGnnfjFFOI/AAAAAAAHlwk/4dx55ce0HCY/s72-c/image061%2B%25281%2529.jpg)
WATATU WATIWA MBARONI JIJII DAR ES SALAAM KWA TUHUMA ZA MAUAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-lTzV_oHerZc/VZGnnfjFFOI/AAAAAAAHlwk/4dx55ce0HCY/s400/image061%2B%25281%2529.jpg)
Mnamo tarehe 02/02/2015 majira ya saa za mchana mtoa taarifa alifika kituo cha Polisi na kueleza kwamba marehemu ANNA D/O MIZINGI aliondoka tangu tarehe 26/12/2014 majira ya saa 1:00hrs...