Majambazi 10 wanaounda mtandao hatari wa uhalifu nchini wametiwa mbaroni, silaha mbalimbali zakamatwa.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam Suleiman Kova akiongea na Waandishi wa Habari Huku akionyesha baada ya Silaha Kituo cha Polisi cha Kati Dar es salaam.--MAJAMBAZI 10 wanaounda mtandao hatari wa uhalifu nchini, wametiwa mbaroni wakati wa msako mkali uliofanikisha pia kukamatwa kwa silaha mbalimbali.
Silaha hizo ni bunduki tisa zikiwemo SMG tatu, bastola mbili, short gun nne na risasi 15 zilikamatwa.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, aliyasema hayo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMAJAMBAZI 10 WANAOUNDA MTANDAO HATARI WA UHALIFU NCHINI WAMETIWA MBARONI, SILAHA MBALIMBALI ZAKAMATWA
11 years ago
CloudsFM31 Jul
MAJAMBAZI 10 WANAOUNDA MTANDAO HATARI WA UHALIFU NCHINI WAMETIWA MBARONI
Silaha hizo ni bunduki tisa zikiwemo SMG tatu, bastola mbili, short gun nne na risasi 15 zilikamatwa.
Kamishna wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, aliyasema hayo ofisini kwake kwenye mkutano na waandishi wa habari.
Majambazi hao wamekamatwa katika msako mkali unaoendelea jijini Dar es Salaam katika harakati za kuhakikisha...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CiRgicMenYI/UzxMTRDCI4I/AAAAAAAFX6k/tredpX-mT6k/s72-c/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
NANE (8) MBARONI KWA MAKOSA MBALIMBALI YA UHALIFU MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-CiRgicMenYI/UzxMTRDCI4I/AAAAAAAFX6k/tredpX-mT6k/s1600/POLISI+LOGO+-+Copy.jpg)
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu nane kwa makosa mbalimbali ya uhalifu kufuatia msako uliofanyika tarehe 01/04/2014 maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amesema tukio la kwanza alikamatwa SIMON S/O MTUNDU, miaka 51, Kabila Mhehe, mkulima na mkazi wa kijiji cha Kisisi Kata ya Kimagiyi Tarafa na Wilaya ya Mpwapwa, akimiliki silaha aina...
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Wagiriki watatu mbaroni Dar kwa uhalifu wa mtandao ‘Cyber Crime’ wakutwa na ATM Card zaidi ya 10
Pichani ni picha ya Mtanndao ni namna ya wahalifu wa kimtadao wanavyoingilia mfumo wa computer yako na kuchukua vitu muhimu.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa watatu raia wa kigeni kwa makosa yanayohusiana na wizi wa mtandao kwa lengo la kuiba katika vyombo vya fedha kama mabenki, maduka ya kubadilishia fedha (Bureau de Change) au kuingilia miamala ya fedha zinazosafirishwa na wateja kutoka nje na ndani ya nchi.
Polisi wa kikosi Maalum cha...
10 years ago
GPLAFISA USALAMA FEKI, SILAHA ZAKAMATWA NA POLISI
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-XC_vQ8G9wjM/VQ_jXOLq5-I/AAAAAAAHMWY/3efrdar_WNQ/s72-c/Bhangi%2Bikiteketezwa%2Bbaada%2Bya%2Bkukamatwa%2Bkatika%2Bshamba%2Bla%2Bmahindi..jpg)
SITA MBARONI KWA KUMILIKI SILAHA KINYUME CHA SHERIA, KULIMA BHANGI NA KUINGIA NCHINI BILA KIBALI MKOANI DODOMA
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linawashikilia watu sita (6) kwa makosa mbalimbali yakiwemo ya kumiliki silaha kinyume cha sheria, kulima na kukutwa na bhangi pamoja na kuingia nchini bila kibali, kufuatia operesheni inayoendelea Mkoani Dodoma kusaka watuwanaojihusisha na uhalifu wa aina mbalimbali.
Akithibitisha matukio hayo kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME - SACP amewataja watu wanaoshikiliwa...
9 years ago
Mwananchi15 Nov
Majambazi yenye silaha watikisa mji wa Moshi
11 years ago
Habarileo12 Jun
Majambazi waua Polisi kituoni, wapora silaha
MAJAMBAZI wamevamia Kituo cha Polisi Kimanzichana mkoani Pwani, na kuua askari mmoja, D.9887 Koplo Joseph Ngonyani, na kupora silaha tano zenye risasi.
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Majambazi waua polisi, wapora silaha za kivita
WATU sita wanaodhaniwa kuwa majambazi, wamemuua askari polisi wa Kituo kidogo cha Polisi kilichopo Mkamba, Wilaya ya Mkuranga, mkoani Pwani na kuwajeruhi askari mgambo wawili baada ya kuvamia kituo hicho....