ANGALIZO KWA MABENKI DHIDI YA UHALIFU WA ATM JACKPOTING
![](https://1.bp.blogspot.com/-l-cJ7O7LxNw/WnP_HYJj43I/AAAAAAAACKg/egjLg6wvg4c1HQ_CvIx-xl0ewyP86IWmgCLcBGAs/s72-c/TUMIA.jpg)
KWA UFUPI: ATM jackpotting imgonga Hodi Nchini Marekani ambapo imesababisha upotevu mkubwa wa fedha zinazo kadiriwa kuzidi kiasi cha Dola milioni moja hadi sasa.
Mataifa ya Afrika yamesha kumbwa na changamoto za uhalifu katika mashine za ATM kama vile “card skimming” ambapo wahalifu mtandao mara kadhaa wamekua wakiripotiwa kughushi kadi za ATM zilizopelekea...
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog27 Apr
Wagiriki watatu mbaroni Dar kwa uhalifu wa mtandao ‘Cyber Crime’ wakutwa na ATM Card zaidi ya 10
Pichani ni picha ya Mtanndao ni namna ya wahalifu wa kimtadao wanavyoingilia mfumo wa computer yako na kuchukua vitu muhimu.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watuhumiwa watatu raia wa kigeni kwa makosa yanayohusiana na wizi wa mtandao kwa lengo la kuiba katika vyombo vya fedha kama mabenki, maduka ya kubadilishia fedha (Bureau de Change) au kuingilia miamala ya fedha zinazosafirishwa na wateja kutoka nje na ndani ya nchi.
Polisi wa kikosi Maalum cha...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB03 May
Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani Shilingi inahujumiwa na Mabenki?
Yaliyojificha kuporomoka kwa shilingi dhidi ya Dola ya Marekani
Shilingi inahujumiwa na Mabenki? – Zitto Kabwe[1]
Katika ukurasa wangu wa facebook mnamo tarehe 25 Aprili 2015 niliandika kuhusu sababu za shilingi kuporomoka thamani na majawabu ya namna ya kurejesha thamani halisi ya sarafu yetu. Nilieleza “Shilingi kuporomoka dhidi ya dola na kuvuka 1$/2000TS kunasababishwa na sababu kadhaa 1) Woga wa uchaguzi na hivyo Dola nyingi kutoingia nchini (FDI etc) kusikilizia Serikali ijayo...
5 years ago
BBCSwahili24 Mar
Coronavirus: Shirika la Afya la Duniani latoa angalizo dhidi ya kasi ya maambukizi
11 years ago
BBCSwahili08 May
Uhalifu dhidi ya binadamu Sudan Kusini
10 years ago
Mwananchi01 Apr
MAONI: Uhalifu dhidi ya polisi usiachwe uzoeleke
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-UB_mmfa1YG8/VVHbtw0zv8I/AAAAAAAABbU/wEx_3eq1i84/s72-c/2014_internal_audit_survey_report.jpg)
UMUHIMU WA USHIRIKIANO KWENYE VITA DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UB_mmfa1YG8/VVHbtw0zv8I/AAAAAAAABbU/wEx_3eq1i84/s200/2014_internal_audit_survey_report.jpg)
Kume kua na hoja nyingi kutoka mataifa mbali mbali juu ya kusua sua katika ushirikiano unao vuka mipaka huku uhalifu mtandao kutotambua mipaka...
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-_rTWukMf3YQ/U4JmetZkxaI/AAAAAAAAAjo/ZigL8QHZZss/s72-c/YKL.jpg)
POLISI WA UNGANISHA NGUVU KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_rTWukMf3YQ/U4JmetZkxaI/AAAAAAAAAjo/ZigL8QHZZss/s1600/YKL.jpg)
Kupitia program ya mpango uliopewa jina la “Cyber safety pasifika” uliopangwa kuwasaidia watoto,...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-a_-1JhApuJc/VCCIQiTDVWI/AAAAAAAAA6k/-q_bRya6_LU/s72-c/123.jpg)
NCHI ZA ME ZAWEKEZA ZAIDI KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-a_-1JhApuJc/VCCIQiTDVWI/AAAAAAAAA6k/-q_bRya6_LU/s1600/123.jpg)
Mengi yalizungumzwa kuhusiana na tishio jipya katika nchi za kiarabu huku kampuni...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s72-c/MALINZI.jpg)
MALINZI AFUNGA KOZI YA MAKOCHA LESENI C’ATOA ANGALIZO KWA WAHITIMU KUYATUMIA MAFUNZO KWA VITENDO
![](http://4.bp.blogspot.com/-MxTtU2TR6YM/VgFVyO8V6MI/AAAAAAABIT4/ZByST_qwwsM/s640/MALINZI.jpg)
RAIS wa Shirikisho la soka nchini (TFF), Jamal Malinzi, amefunga kozi ya wiki mbili ya makocha lesseni C inayotambuliwa na Shirikisho la soka barani Afrika (CAF) na kuwataka wahitimu hao kufanyia kazi mafunzo waliyoyapata.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo hayo, Malinzi amesema kuwa anasikitika kuona makocha wanapata mafunzo kama hayo lakini wanaenda kuweka vyeti vyao ‘makabatini’ na kuacha kufanyia kazi walichojifunza.
“Hiki mlichokipata kwenye mafunzo haya mnatakiwa...