NCHI ZA ME ZAWEKEZA ZAIDI KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-a_-1JhApuJc/VCCIQiTDVWI/AAAAAAAAA6k/-q_bRya6_LU/s72-c/123.jpg)
Ukipitia takwimu za mwaka huu na mwaka jana inaonyesha Nchi za Ulaya na Marekani zimeendelea kuathirika zaidi na uhalifu mtandao, Huku Nchi za mashariki ya kati kuonekana kunyemelewa na wahalifu mtandao. Wakati huo huo takwimu zilitabiria Nchi za Afrika kuwa katika hali mbaya baadae kutokana na ukuaji wa kasi wa matumizi ya mitandao ambao hauendani sanjari na maandalizi madhubuti ya usalama wa mitandao.
Mengi yalizungumzwa kuhusiana na tishio jipya katika nchi za kiarabu huku kampuni...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://2.bp.blogspot.com/-_rTWukMf3YQ/U4JmetZkxaI/AAAAAAAAAjo/ZigL8QHZZss/s72-c/YKL.jpg)
POLISI WA UNGANISHA NGUVU KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_rTWukMf3YQ/U4JmetZkxaI/AAAAAAAAAjo/ZigL8QHZZss/s1600/YKL.jpg)
Kupitia program ya mpango uliopewa jina la “Cyber safety pasifika” uliopangwa kuwasaidia watoto,...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-UB_mmfa1YG8/VVHbtw0zv8I/AAAAAAAABbU/wEx_3eq1i84/s72-c/2014_internal_audit_survey_report.jpg)
UMUHIMU WA USHIRIKIANO KWENYE VITA DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-UB_mmfa1YG8/VVHbtw0zv8I/AAAAAAAABbU/wEx_3eq1i84/s200/2014_internal_audit_survey_report.jpg)
Kume kua na hoja nyingi kutoka mataifa mbali mbali juu ya kusua sua katika ushirikiano unao vuka mipaka huku uhalifu mtandao kutotambua mipaka...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-sQKlfytkjiI/U4pb2_66XgI/AAAAAAAAAl4/ekQZzaDGaOQ/s72-c/1234567890.jpg)
MAPAMBANO YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-sQKlfytkjiI/U4pb2_66XgI/AAAAAAAAAl4/ekQZzaDGaOQ/s1600/1234567890.jpg)
Hili pia limeonekana kwa nchi ya Afrika ya kusini kupitia mpango wa mafunzo ya mwezi...
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-Yw-mW_JhpIM/VAhcis0-yrI/AAAAAAAAA44/Fj9Qe5KIeF8/s72-c/1.jpg)
MAREKANI YAJIUNGA NA MUUNGANIKO WA KIMATAIFA WA MAPAMBANO NDHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yw-mW_JhpIM/VAhcis0-yrI/AAAAAAAAA44/Fj9Qe5KIeF8/s1600/1.jpg)
Kundi jipya lenye makao yake barani ulaya linalounganisha pamoja nchi wanachama wa bara ulaya pamoja...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-IE698k5KzZs/VW6zwKYSUiI/AAAAAAAABcQ/Mecx-OAURbU/s72-c/M74A1496.jpg)
TANZANIA KUATHIRIKA ZAIDI NA UHALIFU MTANDAO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-IE698k5KzZs/VW6zwKYSUiI/AAAAAAAABcQ/Mecx-OAURbU/s200/M74A1496.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Yw-mW_JhpIM/VAhcis0-yrI/AAAAAAAAA44/Fj9Qe5KIeF8/s72-c/1.jpg)
NCHI ZAUNGANISHA NGUVU KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yw-mW_JhpIM/VAhcis0-yrI/AAAAAAAAA44/Fj9Qe5KIeF8/s320/1.jpg)
Kundi jipya lenye makao yake barani ulaya linalounganisha pamoja nchi wanachama wa bara ulaya...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s72-c/connect.jpg)
UHALIFU MTANDAO NI TISHIO KWA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s1600/connect.jpg)
Akitolea Ufafanuzi kauli hiyo Meneja wa PwC bwana. John Kamau alieleza uhalifu mtandao umeendelea kutengeneza vichwa vya habari nabado utaendelea kufanya hivyo kwa muda. Na kwa sasa tayari uhalifu huu umeingia katika...
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-NTlPHcDOST0/U5lZMi2QwmI/AAAAAAAAAsM/vDWtwSq5TY8/s72-c/James-A.-Lewis-of-CSIS.jpg)
ZAIDI YA DOLA BIL. 400 ZAPOTEA KUTOKANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://4.bp.blogspot.com/-NTlPHcDOST0/U5lZMi2QwmI/AAAAAAAAAsM/vDWtwSq5TY8/s1600/James-A.-Lewis-of-CSIS.jpg)
Ripoti ndogo za awali tayari zimesha anza kutoka , hadi hivi sasa mbili kutoka MacAfee na pricewaterhousecoopers (PWC) zi mesha wekwa mitandaoni ilikutoa ruhusa kupitiwa na jamii mbali mbali huku ripoti nyingine zikiendelea...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania