UHALIFU MTANDAO NI TISHIO KWA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-Mn90_vz5ax8/VSYxOQK9ZgI/AAAAAAAABZA/QiVqj9X2chI/s72-c/connect.jpg)
Mkutano wa “Connect East Africa” uliofanyika Diani Nchini Kenya umekamilika huku ukibaini yakua Uchumi wanchi za Afrika mashariki umeathiriwa sana na uhalifu mtandao kiasi ambacho mambo matano ya juu yanayo athiri uchumi wa nchi za afrika mashariki ni pamoja na Uhalifu mtandao.
Akitolea Ufafanuzi kauli hiyo Meneja wa PwC bwana. John Kamau alieleza uhalifu mtandao umeendelea kutengeneza vichwa vya habari nabado utaendelea kufanya hivyo kwa muda. Na kwa sasa tayari uhalifu huu umeingia katika...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-LATWxs9b4cU/U2OfvST36uI/AAAAAAAAAdw/AOxZAcvEEkQ/s72-c/2.jpg)
UHALIFU MTANDAO NI TISHIO - NINI KIFANYIKE?
![](http://4.bp.blogspot.com/-LATWxs9b4cU/U2OfvST36uI/AAAAAAAAAdw/AOxZAcvEEkQ/s1600/2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Yw-mW_JhpIM/VAhcis0-yrI/AAAAAAAAA44/Fj9Qe5KIeF8/s72-c/1.jpg)
NCHI ZAUNGANISHA NGUVU KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Yw-mW_JhpIM/VAhcis0-yrI/AAAAAAAAA44/Fj9Qe5KIeF8/s320/1.jpg)
Kundi jipya lenye makao yake barani ulaya linalounganisha pamoja nchi wanachama wa bara ulaya...
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2325184/highRes/751505/-/maxw/600/-/12ccvmt/-/awepa.jpg)
Umaskini, ajira tishio la usalama Afrika Mashariki
10 years ago
Habarileo25 Aug
Tanzania nchi ya pili Afrika kutoa leseni kwa mtandao
TANZANIA inatarajia kuwa nchi ya pili Afrika itakayokuwa ikitoa leseni za uchimbaji madini kwa njia ya mtandao. Kamishina wa Madini Tanzania, Paul Masanja alisema wanasubiri Sheria ya Madini ifanyiwe marekebisho na Bunge kuruhusu utolewaji wa leseni hizo.
11 years ago
Mwananchi11 May
Mvua zatarajiwa kuleta neema ya mavuno kwa nchi za Afrika Mashariki
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-a_-1JhApuJc/VCCIQiTDVWI/AAAAAAAAA6k/-q_bRya6_LU/s72-c/123.jpg)
NCHI ZA ME ZAWEKEZA ZAIDI KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-a_-1JhApuJc/VCCIQiTDVWI/AAAAAAAAA6k/-q_bRya6_LU/s1600/123.jpg)
Mengi yalizungumzwa kuhusiana na tishio jipya katika nchi za kiarabu huku kampuni...
11 years ago
MichuziHEIFER INTERNATIONAL TANZANIA YAZINDUA MRADI MKUBWA WA KUENDELEZA SEKTA YA MAZIWA KWA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
VijimamboMAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA BIASHARA YA KILIMO KWA NCHI ZA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI