UMUHIMU WA USHIRIKIANO KWENYE VITA DHIDI YA UHALIFU MTANDAO

Nianze mada hii kwa kurudia pongezi kwa rafiki yangu Bwana Joe, Kwa kuongezewa nguvu na Nchi yake ya Marekani. Tayari taarifa rasmi ya hili nimeiandikia, na inaweza kusomeka zaidi kwa “KUBOFYA HAPA”. Bwana Joe amekua na imani inayofanana sana na yangu kwa muda mrefu ya kua uhalifu mtandao ni mbio za sakafuni endapo hapatakua na ushirikiano thabiti.
Kume kua na hoja nyingi kutoka mataifa mbali mbali juu ya kusua sua katika ushirikiano unao vuka mipaka huku uhalifu mtandao kutotambua mipaka...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo
POLISI WA UNGANISHA NGUVU KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO

Kupitia program ya mpango uliopewa jina la “Cyber safety pasifika” uliopangwa kuwasaidia watoto,...
11 years ago
Ykileo
NCHI ZA ME ZAWEKEZA ZAIDI KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO

Mengi yalizungumzwa kuhusiana na tishio jipya katika nchi za kiarabu huku kampuni...
10 years ago
Michuzi
USHIRIKIANO NI MUHIMU KATIKA UTHIBITI WA UHALIFU MTANDAO

Baada ya kulizungumza hili laushirikiano wazungumzaji wengine wote walionekana kuniunga...
10 years ago
Habarileo22 Feb
JK asisitiza umuhimu wa ushirikiano wa kikanda
TANZANIA inaunga mkono kwa dhati ushirikiano wa kikanda na ni muumini mkubwa wa Umoja wa Afrika na Ushirikiano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).
11 years ago
Mwananchi08 Oct
Vita dhidi ya ebola ni mapambano dhidi ya adui asiyeonekana
10 years ago
Ykileo
USHIRIKIANO NI MUHIMU KATIKA UTHIBITI WA UHALIFU MTNDAO

Baada ya kulizungumza hili laushirikiano wazungumzaji wengine wote walionekana kuniunga...
11 years ago
Ykileo
MAPAMBANO YA UHALIFU MTANDAO

Hili pia limeonekana kwa nchi ya Afrika ya kusini kupitia mpango wa mafunzo ya mwezi...
11 years ago
YkileoMJADALA: UHALIFU MTANDAO
Mwishoni mwa mwaka jana 2013, nilipata mualiko wakuzungumzia kirefu maswala ya usalama mtandao ambapo pia nilipata kuweka mahojiano hayo kupitia moja ya maandiko niliyo andika kupita blog hii kama...
11 years ago
Ykileo
TANZANIA NA UHALIFU MTANDAO - MJADALA

Kipindi kilihusisha wageni walio alikwa Katika studio pamoja na mjumuisho...