MJADALA: UHALIFU MTANDAO
Nikiwa na Mtangazaji maduhu mara baada ya mahojiano 2013
Kumekua na muendelezo wa mijadala mbali mbali situ nchini bali katika kila pande ya dunia kutokana na hali ya usalama mtandao inavyozidi kuingia dosari kila kukicha. Mijadala hiyo nchini Tanzania pia imeendelea kushika kasi.
Mwishoni mwa mwaka jana 2013, nilipata mualiko wakuzungumzia kirefu maswala ya usalama mtandao ambapo pia nilipata kuweka mahojiano hayo kupitia moja ya maandiko niliyo andika kupita blog hii kama...
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-7fnV9Bf3juI/U7rdIg2eqSI/AAAAAAAAA0Y/zYSdg-XXPPw/s72-c/1.jpg)
TANZANIA NA UHALIFU MTANDAO - MJADALA
![](http://4.bp.blogspot.com/-7fnV9Bf3juI/U7rdIg2eqSI/AAAAAAAAA0Y/zYSdg-XXPPw/s1600/1.jpg)
Kipindi kilihusisha wageni walio alikwa Katika studio pamoja na mjumuisho...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-sQKlfytkjiI/U4pb2_66XgI/AAAAAAAAAl4/ekQZzaDGaOQ/s72-c/1234567890.jpg)
MAPAMBANO YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-sQKlfytkjiI/U4pb2_66XgI/AAAAAAAAAl4/ekQZzaDGaOQ/s1600/1234567890.jpg)
Hili pia limeonekana kwa nchi ya Afrika ya kusini kupitia mpango wa mafunzo ya mwezi...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-wfkczx8Q6E0/U328MCKca_I/AAAAAAAAAio/rXocvruFyYE/s72-c/KILEO+BLOG+-+2.jpg)
JE WAJUA? : KESHO YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-wfkczx8Q6E0/U328MCKca_I/AAAAAAAAAio/rXocvruFyYE/s1600/KILEO+BLOG+-+2.jpg)
Mijadala, maazimio mbali mbali pamoja na kupitishwa maamuzi yakua mwaka huu wa 2014 kua mwaka wa vitendo kukabiliana na uhalifu vimeenda sambamba na ukuwaji wa kasi wa uhalifu mtandao hivi...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-q0-IndEQziU/U_ZWwpntxrI/AAAAAAAAA34/qU8zWRWkQUU/s72-c/1.jpg)
UCHAMBUZI: NJIA ZA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-q0-IndEQziU/U_ZWwpntxrI/AAAAAAAAA34/qU8zWRWkQUU/s1600/1.jpg)
Jibu ni kwamba hivi sasa uhalifu mtandao umeendelea kukua huku...
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-LATWxs9b4cU/U2OfvST36uI/AAAAAAAAAdw/AOxZAcvEEkQ/s72-c/2.jpg)
UHALIFU MTANDAO NI TISHIO - NINI KIFANYIKE?
![](http://4.bp.blogspot.com/-LATWxs9b4cU/U2OfvST36uI/AAAAAAAAAdw/AOxZAcvEEkQ/s1600/2.jpg)
10 years ago
Ykileo![](http://1.bp.blogspot.com/-P-DtSue7v2I/VYamCVE-hhI/AAAAAAAABdg/QutWLIzIyTM/s72-c/1.jpg)
UHALIFU MTANDAO KUELEKEA UCHAGUZI 2015
![](http://1.bp.blogspot.com/-P-DtSue7v2I/VYamCVE-hhI/AAAAAAAABdg/QutWLIzIyTM/s200/1.jpg)
Aidha, Jitihada kama vile kupatikana kwa sharia mtandao, kupatikana kwa...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-7LIcM_6nDjk/U4TS43PDGCI/AAAAAAAAAks/BIrHngYgCx8/s72-c/BLOG+1.jpg)
KESHO YA UHALIFU MTANDAO SEHEMU YA PILI - 2
![](http://3.bp.blogspot.com/-7LIcM_6nDjk/U4TS43PDGCI/AAAAAAAAAks/BIrHngYgCx8/s1600/BLOG+1.jpg)
Aidha katika sehemu hii ya pili nitajikita katika mifano zaidi ya Uhalifu mtandao hapo kesho , kugusia mapambano yanayoendelea katika kukabiliana na uhalifu mtandao kwa mifano nikianzia na huu unaosomeka...
9 years ago
YkileoTAMBUA NAMNA YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO
Nategemea kuandikia yaliyo jiri Nchini kwetu hapo baadae ili kuweza kujua namna mwezi huu tulifanikiwa kukuza uelewa kupitia mashirika mbali mbali na taifa kwa ujumla wake. Kitu...
10 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-CM8TW_cEJI0/VZkFeNx4uCI/AAAAAAAABgo/1BKFCz9Q_A4/s72-c/1.jpg)
GHANA YAJIPANGA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-CM8TW_cEJI0/VZkFeNx4uCI/AAAAAAAABgo/1BKFCz9Q_A4/s200/1.jpg)
Mwaka huu baada ya Nchi ya Ghana kua miongoni mwa waathirika wa uhalifu mtandao ambapo mtandao mkuu wa serikali ya nchi hiyo inao hudumia tovuti 58 za serikali ulidukuliwa na kusababisha tovuti 11 kuingiliwa na...