TAMBUA NAMNA YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO
Mwezi Huu wa October, Nimekua na kazi kubwa ya kuhimiza mashirika, makampuni pamoja na Taifa kwa ujumla kuutumia vizuri kutokana na kua ni mwezi maalum uliotengwa na wanausalama mtandao kote duniani wa kukuza uelewa wa matumizi salama ya mitandao ili kuweza kupunguza wimbi kubwa la uhalifu mtandao duniani kote.
Nategemea kuandikia yaliyo jiri Nchini kwetu hapo baadae ili kuweza kujua namna mwezi huu tulifanikiwa kukuza uelewa kupitia mashirika mbali mbali na taifa kwa ujumla wake. Kitu...
Habari Zinazoendana
9 years ago
YkileoZIFAHAMU NJIA MADHUBUTI YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO
Leo nitaangazia njia ambayo imeshika nafasi ya juu na imeonekana na uwezo mkubwa wa kuhimili uhalifu mtandao...
9 years ago
MichuziIFAHAMU NJIA MADHUBUTI YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO
Naimani Mwaka huu Tanzania ita uchukulia mwezi huu...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_rTWukMf3YQ/U4JmetZkxaI/AAAAAAAAAjo/ZigL8QHZZss/s72-c/YKL.jpg)
POLISI WAUNGANISHA NGUVU KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO
![](http://2.bp.blogspot.com/-_rTWukMf3YQ/U4JmetZkxaI/AAAAAAAAAjo/ZigL8QHZZss/s320/YKL.jpg)
Kupitia program ya mpango uliopewa jina la “Cyber safety pasifika” uliopangwa kuwasaidia watoto,...
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Namna ya kukabiliana na changamoto za biashara
Wataalamu mbalimbali wa uchumi duniani wamefanya utafiti na kubaini kuwa biashara zinazoanza zinakabiliana na changamoto mbalimbali kwani takriban asilimia 64 ya biashara hushindwa kuendelea ndani ya miaka mitano tangu zimeanzishwa.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wK8M-PehC7M/XnL_UacmGYI/AAAAAAALkYA/sOyMD2cxfo0DJOyF5AOMO66gu6yHmgIPACLcBGAsYHQ/s72-c/SIROO1.jpg)
IGP SIRRO TUMEJIPANGA KUKABILIANA NA UHALIFU
![](https://1.bp.blogspot.com/-wK8M-PehC7M/XnL_UacmGYI/AAAAAAALkYA/sOyMD2cxfo0DJOyF5AOMO66gu6yHmgIPACLcBGAsYHQ/s640/SIROO1.jpg)
IGP Sirro amesema hayo wakati akikamilisha ziara yake ya ukaguzi katika Kanda Maalum ya Polisi...
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Namna ya kukabiliana na tatizo la moyo kushindwa kufanya kazi
>Magonjwa ya moyo yameshika kasi hapa nchini kiasi cha kutishia uhai wa watu wengi.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uF8-yKfvx8M/default.jpg)
DK. MANDAI AKIELEZEA TATIZO LA KUKOSA CHOO NA NAMNA YA KUKABILIANA NALO
![](http://2.bp.blogspot.com/-Hsh-X_L4qn4/VXg863x6vjI/AAAAAAAAEZQ/KIQdic8sq3M/s640/dokta.jpg)
Lakini hapa Dk Mandai anakupa fursa ya kufahamu kuhusu tatizo hilo la kukosa choo ambalo wenzetu wazungu huliita 'consumption'. Karibu utazame kipindi hiki hapo chini ujifunze mengi pia kuhusu tiba asilia zitokanazo na mimea, matunda, nafaka na mitishamba.
11 years ago
YkileoMJADALA: UHALIFU MTANDAO
Nikiwa na Mtangazaji maduhu mara baada ya mahojiano 2013
Kumekua na muendelezo wa mijadala mbali mbali situ nchini bali katika kila pande ya dunia kutokana na hali ya usalama mtandao inavyozidi kuingia dosari kila kukicha. Mijadala hiyo nchini Tanzania pia imeendelea kushika kasi.
Mwishoni mwa mwaka jana 2013, nilipata mualiko wakuzungumzia kirefu maswala ya usalama mtandao ambapo pia nilipata kuweka mahojiano hayo kupitia moja ya maandiko niliyo andika kupita blog hii kama...
Mwishoni mwa mwaka jana 2013, nilipata mualiko wakuzungumzia kirefu maswala ya usalama mtandao ambapo pia nilipata kuweka mahojiano hayo kupitia moja ya maandiko niliyo andika kupita blog hii kama...
11 years ago
Ykileo![](http://3.bp.blogspot.com/-sQKlfytkjiI/U4pb2_66XgI/AAAAAAAAAl4/ekQZzaDGaOQ/s72-c/1234567890.jpg)
MAPAMBANO YA UHALIFU MTANDAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-sQKlfytkjiI/U4pb2_66XgI/AAAAAAAAAl4/ekQZzaDGaOQ/s1600/1234567890.jpg)
Hili pia limeonekana kwa nchi ya Afrika ya kusini kupitia mpango wa mafunzo ya mwezi...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania