ZIFAHAMU NJIA MADHUBUTI YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO
Inaaminika kama ilivyo katika uhalifu mwingine wowote ni vigumu kumaliza kabisa tatizo ila kuna njia kadhaa ambazo kwa umoja wake zikifanyiwa kazi vizuri zinaweza kabisa kupunguza kwa kiasi kikubwa sana tatizo la uhalifu mtandao. Tatizo kubwa kubwa ni kua njia hizi zimekua zikiishia katika maandishi baada ya kujadiliwa na wanausalama mitandao ambapo mimi binafsi nilikua miongoni mwao.
Leo nitaangazia njia ambayo imeshika nafasi ya juu na imeonekana na uwezo mkubwa wa kuhimili uhalifu mtandao...
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziIFAHAMU NJIA MADHUBUTI YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO
Naimani Mwaka huu Tanzania ita uchukulia mwezi huu...
10 years ago
YkileoTAMBUA NAMNA YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO
Nategemea kuandikia yaliyo jiri Nchini kwetu hapo baadae ili kuweza kujua namna mwezi huu tulifanikiwa kukuza uelewa kupitia mashirika mbali mbali na taifa kwa ujumla wake. Kitu...
11 years ago
Michuzi
POLISI WAUNGANISHA NGUVU KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO

Kupitia program ya mpango uliopewa jina la “Cyber safety pasifika” uliopangwa kuwasaidia watoto,...
11 years ago
Ykileo
UCHAMBUZI: NJIA ZA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO

Jibu ni kwamba hivi sasa uhalifu mtandao umeendelea kukua huku...
5 years ago
Michuzi
IGP SIRRO TUMEJIPANGA KUKABILIANA NA UHALIFU

IGP Sirro amesema hayo wakati akikamilisha ziara yake ya ukaguzi katika Kanda Maalum ya Polisi...
11 years ago
YkileoMJADALA: UHALIFU MTANDAO
Mwishoni mwa mwaka jana 2013, nilipata mualiko wakuzungumzia kirefu maswala ya usalama mtandao ambapo pia nilipata kuweka mahojiano hayo kupitia moja ya maandiko niliyo andika kupita blog hii kama...
11 years ago
Ykileo
MAPAMBANO YA UHALIFU MTANDAO

Hili pia limeonekana kwa nchi ya Afrika ya kusini kupitia mpango wa mafunzo ya mwezi...
11 years ago
Ykileo
TANZANIA NA UHALIFU MTANDAO - MJADALA

Kipindi kilihusisha wageni walio alikwa Katika studio pamoja na mjumuisho...