Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ZIFAHAMU NJIA MADHUBUTI YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO

Inaaminika kama ilivyo katika uhalifu mwingine wowote ni vigumu kumaliza kabisa tatizo ila kuna njia kadhaa ambazo kwa umoja wake zikifanyiwa kazi vizuri zinaweza kabisa kupunguza kwa kiasi kikubwa sana tatizo la uhalifu mtandao. Tatizo kubwa kubwa ni kua njia hizi zimekua zikiishia katika maandishi baada ya kujadiliwa na wanausalama mitandao ambapo mimi binafsi nilikua miongoni mwao.
Leo nitaangazia njia ambayo imeshika nafasi ya juu na imeonekana na uwezo mkubwa wa kuhimili uhalifu mtandao...





Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

IFAHAMU NJIA MADHUBUTI YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO

Naanza Andiko hili kwa kutambua na kuhamasisha Tukio la kipekee katika anga ya usalama mitandao ambalo limekua liki azimishwa kila mwaka katika mwezi wa October ambapo mataifa yanaadhimisha siku ya uelewa wa maswala ya usalama mitandao duniani kote. Kwa mwaka jana katika kuukaribisha mwezi huu Nilipata kuandika katika andiko linalosomeka kwa "KUBOFYA HAPA" na baadae kutoa tathmini ya mwezi katika andiko linalosomeka kwa "KUBOFYA HAPA".
Naimani Mwaka huu Tanzania ita uchukulia mwezi huu...

 

9 years ago

Ykileo

TAMBUA NAMNA YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO

Mwezi Huu wa October, Nimekua na kazi kubwa ya kuhimiza mashirika, makampuni pamoja na Taifa kwa ujumla kuutumia vizuri kutokana na kua ni mwezi maalum uliotengwa na wanausalama mtandao kote duniani wa kukuza uelewa wa matumizi salama ya mitandao ili kuweza kupunguza wimbi kubwa la uhalifu mtandao duniani kote.


Nategemea kuandikia yaliyo jiri Nchini kwetu hapo baadae ili kuweza kujua namna mwezi huu tulifanikiwa kukuza uelewa kupitia mashirika mbali mbali na taifa kwa ujumla wake. Kitu...

 

11 years ago

Michuzi

POLISI WAUNGANISHA NGUVU KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO

Polisi wa visiwa vya kifalme vya Solomon vilivyopo pasifiki ya kusini wameunganisha nguvu katika mapambano dhidi ya uhalifu mtandao na kuelezwa ya kwamba nguvu kubwa itasogezwa mashuleni ili kukuza uelewa wa maswala ya uhalifu mtandao (Awareness) na kusisitizwa hiyo ndio itakua shabaha yao ya awali. Haya yamebainishwa na Bradford Theonomi katika taarifa yake ya kingereza inayosomeka   "HAPA" .
Kupitia program ya mpango uliopewa jina la “Cyber safety pasifika” uliopangwa kuwasaidia watoto,...

 

10 years ago

Ykileo

UCHAMBUZI: NJIA ZA KUPAMBANA NA UHALIFU MTANDAO

Suala la hivi karibuni la nchini Israel la kiusalama mitandao linaloweza kusomeka "HAPA", Polisi wanchi ya Botswana kuonyesha wasi wasi wao juu ya maswala ya usalama mtandao kama inavyoweza kusomeka "HAPA" pamoja na matukio mengine kadhaa ya uhalifu mitandao ambayo yamekua yakigonga vichwa vya habari hivi sasa yameibua swali, je kuna uwezekano mapambano dhidi ya uhalifu kufikiwa malengo kwa kupunguzwa walau kwa kiasi Fulani?


Jibu ni kwamba hivi sasa uhalifu mtandao umeendelea kukua huku...

 

5 years ago

Michuzi

IGP SIRRO TUMEJIPANGA KUKABILIANA NA UHALIFU

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, amesema Jeshi la Polisi limejipanga vizuri katika kuhakikisha linakabiliana vyema na matukio ya uhalifu yanayojitokeza nchini na kwamba Jeshi lipo imara hasa kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu.
IGP Sirro amesema hayo wakati akikamilisha ziara yake ya ukaguzi katika Kanda Maalum ya Polisi...

 

11 years ago

Ykileo

MJADALA: UHALIFU MTANDAO

Nikiwa na Mtangazaji maduhu mara baada ya mahojiano 2013 Kumekua na muendelezo wa mijadala mbali mbali situ nchini bali katika kila pande ya dunia kutokana na hali ya usalama mtandao inavyozidi kuingia dosari kila kukicha. Mijadala hiyo nchini Tanzania pia imeendelea kushika kasi.

 Mwishoni mwa mwaka jana 2013, nilipata mualiko wakuzungumzia kirefu maswala ya usalama mtandao ambapo pia nilipata kuweka mahojiano hayo kupitia moja ya maandiko niliyo andika kupita blog hii kama...

 

11 years ago

Ykileo

MAPAMBANO YA UHALIFU MTANDAO

Mbali na midahalo, hatua mbali mbali za kukabiliana na uhalifu huu wa kimtandao kwa sasa kumekuja na kasi ya kukuza nguvu watu ili kuongeza nguvu ya kukabiliana na uhalifu huu wa mitandao kwenye taarifa ya "NSA-YA MAREKANI"  imeweza kubainisha jinsi taifa hilo linavyo ongeza mafunzo kwa vijana wapya na kuanzishwa program maalum katika vyuo ambapo gharama za mafunzo hayo kwa vijana zinakua ni za serikali.


Hili pia limeonekana kwa nchi ya Afrika ya kusini kupitia mpango wa mafunzo ya mwezi...

 

11 years ago

Ykileo

TANZANIA NA UHALIFU MTANDAO - MJADALA

Mijadala ihusuyo maswala ya usalama mtandao imeendelea katka ngazi mbali mbali. July 6 ya Mwaka huu wa 2014 Yusuph Kileo alipata kushiriki na wataalam wengine wa ndani kujadili maswala mbali mbali yahusuyo usalama mtandao nchini. Mjadala ulihusisha mkusanyiko wa taarifa mbali mbali za kiusalama mitandao kutoka katika mataifa mengine pamoja na mwelekeo wa kukabiliana na uhalifu mtandao katika mataifa mbali mbali Duniani.


Kipindi kilihusisha wageni walio alikwa Katika studio pamoja na mjumuisho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani