DK. MANDAI AKIELEZEA TATIZO LA KUKOSA CHOO NA NAMNA YA KUKABILIANA NALO

Mkurugenzi Mkuu wa Mandai Herbalist Clinic, Dk. Abdallah MandaiKuna wakati huenda huwa ukawa unajikuta ukipitisha siku mbili au tatu bila kwenda msalani kupata haja kubwa, huenda ukawa haufahamu ni kwanini hali hiyo inakutokea au ilikutokea.
Lakini hapa Dk Mandai anakupa fursa ya kufahamu kuhusu tatizo hilo la kukosa choo ambalo wenzetu wazungu huliita 'consumption'. Karibu utazame kipindi hiki hapo chini ujifunze mengi pia kuhusu tiba asilia zitokanazo na mimea, matunda, nafaka na mitishamba.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Kukosa Choo: Tatizo sugu linalowatesa wengi
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Namna ya kukabiliana na tatizo la moyo kushindwa kufanya kazi
11 years ago
Tanzania Daima31 Jan
Shule yafungwa kwa kukosa choo
SHULE ya Msingi Bugarama ambayo ipo katika eneo linalozunguka Mgodi wa dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya African Barrick Gold Mines Ltd imefungwa baada ya kukosa vyoo. Mkaguzi Mkuu...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Wajisaidia vichakani kwa kukosa choo
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Kufungwa shule kwa kukosa choo ni aibu
11 years ago
Mwananchi25 Aug
Shule Mara yafungwa kwa kukosa choo
11 years ago
Bongo506 Oct
Noorah, asimulia tatizo alilokuwa nalo ambalo madaktari walishangaa iweje awe hai!
11 years ago
Bongo525 Oct
Ray C: Pole kaka yangu Chidi Benz, naumia kuona tatizo ulilokuwa nalo bado haujalitafutia jibu
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Namna ya kukabiliana na changamoto za biashara