Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Namna ya kukabiliana na tatizo la moyo kushindwa kufanya kazi

>Magonjwa ya moyo yameshika kasi hapa nchini kiasi cha kutishia uhai wa watu wengi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

DK. MANDAI AKIELEZEA TATIZO LA KUKOSA CHOO NA NAMNA YA KUKABILIANA NALO



Mkurugenzi Mkuu wa Mandai Herbalist Clinic, Dk. Abdallah MandaiKuna wakati huenda huwa ukawa unajikuta ukipitisha siku mbili au tatu bila kwenda msalani kupata haja kubwa, huenda ukawa haufahamu ni kwanini hali hiyo inakutokea au ilikutokea.
Lakini hapa Dk Mandai anakupa fursa ya kufahamu kuhusu tatizo hilo la kukosa choo ambalo wenzetu wazungu huliita 'consumption'. Karibu utazame kipindi hiki hapo chini ujifunze mengi pia kuhusu tiba asilia zitokanazo na mimea, matunda, nafaka na mitishamba.

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo letu ni kufanya kazi kwa mazoea

Ninakumbuka nilisema wiki jana kuwa tatizo letu kubwa linalotusumbua Watanzania  ni  kupenda zaidi kusema, lakini siyo watendaji.

 

10 years ago

Michuzi

NAMNA YA KUOKOA NYUMBA ISIUZWE KWA KUSHINDWA KULIPA MKOPO

Na   Bashir  Yakub.

Wakopaji  nao  wana  haki  zao.  Yapo  mambo  ya  msingi  ambayo  wanapaswa  kuyajua    ili  yawalinde  iwapo  mambo  yamewaendea    vibaya.  Ukweli  ni  kuwa    ni  busara  unapokopa  kulipa deni    lakini    iwapo sababu   za  kibinadamu  zimejitokeza  ambazo  ziko  nje  ya uwezo  wa mkopaji  na  ambazo  kwa  namna  yoyote  hawezi  kuzizuia  basi   ni  vema  mkopaji  awe  na  njia ya  kujiokoa  yeye  pamoja  na  mali  yake.


 Uwepo  wa  sababu  za  kibinadamu  zinazoweza ...

 

9 years ago

Mwananchi

Namna ya kukabili maradhi ya moyo

Maradhi ya moyo yanajumuisha kupanda kwa shinikizo la damu, kuziba kwa mishipa ya moyo, mshtuko wa moyo, kupungua uwezo wa utendaji wa moyo na moyo kushindwa kusukuma damu ya kutosha.

 

11 years ago

Mwananchi

Namna ya kukabiliana na changamoto za biashara

Wataalamu mbalimbali wa uchumi duniani wamefanya utafiti na kubaini kuwa biashara zinazoanza zinakabiliana na changamoto mbalimbali kwani takriban asilimia 64 ya biashara hushindwa kuendelea ndani ya miaka mitano tangu zimeanzishwa.

 

10 years ago

Ykileo

TAMBUA NAMNA YA KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO

Mwezi Huu wa October, Nimekua na kazi kubwa ya kuhimiza mashirika, makampuni pamoja na Taifa kwa ujumla kuutumia vizuri kutokana na kua ni mwezi maalum uliotengwa na wanausalama mtandao kote duniani wa kukuza uelewa wa matumizi salama ya mitandao ili kuweza kupunguza wimbi kubwa la uhalifu mtandao duniani kote.


Nategemea kuandikia yaliyo jiri Nchini kwetu hapo baadae ili kuweza kujua namna mwezi huu tulifanikiwa kukuza uelewa kupitia mashirika mbali mbali na taifa kwa ujumla wake. Kitu...

 

10 years ago

Mwananchi

Tatizo la mapigo ya moyo kwenda vibaya

Mwili una mfumo asili wa umeme unaosaidia moyo kufanya kazi. Mfumo huu husababisha moyo kutanuka na kusinyaa ambapo husababisha damu kuingia na kutoka kwenye moyo. Umeme kwa kawaida hufuata mkondo na mapigo ya moyo kwa kasi ya kawaida.

 

5 years ago

Michuzi

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile awapongeza wataalamu wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa kufanya upasuaji wa kupandikiza mishipa ya damu kwenye moyo (Coronary Artery Bypass Grafting-CABG)

Dkt. Ndugulile: Endeleeni kutibu watu wenye magonjwa mengine na si wa Covid -19 tu
Na John Stephen, WAMJW – Dar es Salaam

07/05/2020 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imewataka wataalamu wa afya kuendelea kutibu watu wenye magonjwa mengine kama vile matatizo ya moyo na figo katika kipindi hiki cha ugonjwa wa Covid-19.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Faustine Ndugulile baada ya kuitembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) na kuwaona wagonjwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani