Tatizo la mapigo ya moyo kwenda vibaya
Mwili una mfumo asili wa umeme unaosaidia moyo kufanya kazi. Mfumo huu husababisha moyo kutanuka na kusinyaa ambapo husababisha damu kuingia na kutoka kwenye moyo. Umeme kwa kawaida hufuata mkondo na mapigo ya moyo kwa kasi ya kawaida.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Oct
Mapigo ya moyo yasiyo ya kawaida yanahatarisha uhai
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-bDID1Gw0OuA/VgM4tvhkTdI/AAAAAAAH6_w/4TDkiG2ytWM/s72-c/unnamed%2B%252826%2529.jpg)
Muhimbili yakabidhiwa msaada wa mashine za kufuatilia mapigo ya moyo na tasisi ya Human Welfare Trust
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/mCqPlNtihao/default.jpg)
SIKILIZA MAPIGO YA "DUNDIKA" NDANI YA ALBAMU YA "PIGA MOYO KONDE" KUTOKA KWA MSAANI ERICA
Msaani Erica Lulakwa ambaye kwa hivi sasa anaishi na kufanya shughuli za muziki nchini Marekani ameweza kutoa Albamu yake ya kwanza inayo kwenda kwa jina la “PIGA MOYO KONDE.” Album ya Piga Moyo Konde ilianza kupatikana rasmi mwezi wa Juni 30, 2015 na kuanza kupatika katika vianzo vya miziki kama Google Play na Itune. Baadhi ya nyimbo ambazo zimeshaanza kusikilizwa kwa wingi duniani ni kibao cha “DUNDIKA” ambacho kina midundo ambayo inaendana na jina la wimbo wenyewe na utamu usio na...
11 years ago
Habarileo28 Apr
JK azuia vigogo kutumia vibaya wodi za Moyo
RAIS Jakaya Kikwete ameuonya Uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), kutowafumbia macho na kuwaruhusu watu maarufu nchini, kutumia vibaya wodi za kisasa za Kituo kipya cha Upasuaji wa Moyo, Matibabu na Mafunzo cha hospitali hiyo.
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
10 years ago
Bongo511 Nov
Shetta: Sina tatizo na Hemedy, itakuwa alinielewa vibaya
11 years ago
Mwananchi31 Jan
Namna ya kukabiliana na tatizo la moyo kushindwa kufanya kazi
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vp13-KTbEwg/VJ1Xa7NGjgI/AAAAAAAG55E/OMxlomwBPZQ/s72-c/04.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AWAAGA WATOTO WENYE MATATIZO YA MOYO KWENDA KUTIBIWA INDIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-vp13-KTbEwg/VJ1Xa7NGjgI/AAAAAAAG55E/OMxlomwBPZQ/s1600/04.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-WxaQK24V3Fc/VJ1XLNusR3I/AAAAAAAG540/U-KAebIquYU/s1600/03.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gnu15B5vIXk/Xsi8cA-mCuI/AAAAAAALrWs/bQo8Q3AAXn05OO83EWUDAvASW9M6HRWcQCLcBGAsYHQ/s72-c/ccd860f0-7cbb-49e9-b709-d640bb5227c8.jpg)
WANAWAKE WENYE TATIZO LA FISTULA WATAKIWA KWENDA KUPATA MATIBABU MAPEMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-gnu15B5vIXk/Xsi8cA-mCuI/AAAAAAALrWs/bQo8Q3AAXn05OO83EWUDAvASW9M6HRWcQCLcBGAsYHQ/s400/ccd860f0-7cbb-49e9-b709-d640bb5227c8.jpg)
Wanawake wenye matatizo ya Fistula nchini wametakiwa kuacha tabia ya kujifungia ndani na badala yake wametakiwa kwenda kupata matibabu katika Hospitali zilizoainishwa na Serikali bila gharama yeyote.
Hayo yamesemwa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akiongea na Waandishi wa Habari katika kuadhimisha siku ya Fistula duniani inayoadhimishwa tarehe 23 Mwezi Mei kila Mwaka, yenye kauli mbiu mwaka huu inayosema “Tokomeza...