Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK azuia vigogo kutumia vibaya wodi za Moyo

RAIS Jakaya Kikwete ameuonya Uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), kutowafumbia macho na kuwaruhusu watu maarufu nchini, kutumia vibaya wodi za kisasa za Kituo kipya cha Upasuaji wa Moyo, Matibabu na Mafunzo cha hospitali hiyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kinana azuia vigogo kuomba vibali vya magogo

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka viongozi wa CCM na wale wa Serikali Kuu na mitaa kutojihusisha na uombaji wa vibali vya kuvuna magogo katika shamba la Serikali la Sao Hill, iwapo wanataka kutenda haki kwa wananchi wanyonge.

 

9 years ago

Habarileo

Bulembo azuia Ukawa kutumia uwanja wa CCM

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Abdallah Bulembo amepiga marufuku uwanja wa jumuiya hiyo uliopo eneo la Milango Kumi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kutumika kwa mikutano ya kampeni za siasa kwa vyama vinavyounda umoja wa Ukawa kwani uwanja huo ni rasilimali ya wanaCCM.

 

9 years ago

Mwananchi

Tatizo la mapigo ya moyo kwenda vibaya

Mwili una mfumo asili wa umeme unaosaidia moyo kufanya kazi. Mfumo huu husababisha moyo kutanuka na kusinyaa ambapo husababisha damu kuingia na kutoka kwenye moyo. Umeme kwa kawaida hufuata mkondo na mapigo ya moyo kwa kasi ya kawaida.

 

11 years ago

Habarileo

Wanaotukana, kutumia vibaya mitandao kukiona

WIZARA ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia imeamua kudhibiti wanaotumia vibaya mitandao kwa kuweka picha zisizo na maadili kwa jamii, wanaotumia lugha ya matusi na wanaoiba kupitia mitandao.

 

9 years ago

Mwananchi

NEC: Wanasiasa acheni kutumia majukwaa vibaya

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imewataka viongozi wa vyama vya siasa kuacha kutumia majukwaa vibaya katika muda uliobaki badala yake wanadi sera zao.

 

10 years ago

Bongo5

Steve Nyerere azungumzia tuhuma za kutumia cheo vibaya kuwanyonya wasanii wenzake

Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steve Nyerere amezungumzia madai ya kuwa anatumia vibaya madaraka na kuwanyonya wasanii wenzie sababu iliyofanya aliyekuwa katibu mkuu, William Mtitu ajiuzulu wadhifa wake. Akizungumza na Bongo5 leo, Steve amesema kuwa kuna baadhi ya wasanii wa umoja huo wamekuwa wakimuonea wivu. “Kwenye akaunti ya bongo movie kuna hela? Kwamba kiongozi aliyepita […]

 

9 years ago

Global Publishers

Masogange adaiwa kutumia tunguri kunasa vigogo!

Aggy31Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’.

Stori: Brighton Masalu na Mayasa Mariwata

Ulozi? Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ anadaiwa kutumia ‘tunguri’ kujiongezea mvuto ili kuwanasa vigogo.

Habari kutoka kwa chanzo kilicho karibu na Masogange zilieleza kwamba kuna waganga wawili wanaompa jeuri mrembo huyo, mmoja akiwa anaishi maeneo ya Mwenge, Dar na mwingine Bagamoyo.

Alipotafutwa Masogange alikuwa na haya ya kusema: “Sijaanza kusikia tuhuma hizo leo lakini mimi si mtu...

 

9 years ago

Michuzi

Serikali yataka hospitali binafsi kuacha kutumia vibaya fedha za Mfuko wa Taifa wa Bima za Afya.

Na Magreth Kinabo- MAELEZO
Serikali imepiga marufuku tabia ya baadhi ya hospitali au taasisi binafsi za afya kuwapima wagonjwa wanaotoka hospitali za Serikali vipimo ambavyo hawakuagizwa kuvipima na madaktari kutoka hospitali hizo kwani kufanya hivyo ni kuiongezea Serikali gharama  zisizo la lazima.
Tamko hilo limetolewa na Naibu  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi  Kigwangala wakati alipofanya ziara ya kutembelea leo kwenye Taasisi ya Saratani ya Ocean...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI KUTUMIA TSH. BILIONI 5 KUHUDUMIA KAMBI ZA MADAKTARI BINGWA WA MOYO

SERIKALI kupitia Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imetenga kiasi cha Tsh. Bilioni 5 katika mwaka 2015/16 kwa ajili ya kuhudumia kambi za Madaktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za matibabu ya magonjwa hayo kwa Watanzania.
Lengo la mkakati huo ni kuhakikisha Wagonjwa wengi wanahudumiwa katika kipindi kifupi pamoja na kupunguza gharama za kusafirisha wagonjwa nje ya nchi, ambao wengi wao husafiri kwa ajili ya matibabu ya magonjwa ya moyo, figo na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani