JK azuia vigogo kutumia vibaya wodi za Moyo
RAIS Jakaya Kikwete ameuonya Uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), kutowafumbia macho na kuwaruhusu watu maarufu nchini, kutumia vibaya wodi za kisasa za Kituo kipya cha Upasuaji wa Moyo, Matibabu na Mafunzo cha hospitali hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo10 Oct
Kinana azuia vigogo kuomba vibali vya magogo
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amewataka viongozi wa CCM na wale wa Serikali Kuu na mitaa kutojihusisha na uombaji wa vibali vya kuvuna magogo katika shamba la Serikali la Sao Hill, iwapo wanataka kutenda haki kwa wananchi wanyonge.
9 years ago
Habarileo28 Sep
Bulembo azuia Ukawa kutumia uwanja wa CCM
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa, Abdallah Bulembo amepiga marufuku uwanja wa jumuiya hiyo uliopo eneo la Milango Kumi wilayani Kahama mkoani Shinyanga kutumika kwa mikutano ya kampeni za siasa kwa vyama vinavyounda umoja wa Ukawa kwani uwanja huo ni rasilimali ya wanaCCM.
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Tatizo la mapigo ya moyo kwenda vibaya
11 years ago
Habarileo20 Feb
Wanaotukana, kutumia vibaya mitandao kukiona
WIZARA ya Mawasiliano Sayansi na Teknolojia imeamua kudhibiti wanaotumia vibaya mitandao kwa kuweka picha zisizo na maadili kwa jamii, wanaotumia lugha ya matusi na wanaoiba kupitia mitandao.
9 years ago
Mwananchi21 Oct
NEC: Wanasiasa acheni kutumia majukwaa vibaya
10 years ago
Bongo521 Aug
Steve Nyerere azungumzia tuhuma za kutumia cheo vibaya kuwanyonya wasanii wenzake
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Masogange adaiwa kutumia tunguri kunasa vigogo!
Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’.
Stori: Brighton Masalu na Mayasa Mariwata
Ulozi? Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ anadaiwa kutumia ‘tunguri’ kujiongezea mvuto ili kuwanasa vigogo.
Habari kutoka kwa chanzo kilicho karibu na Masogange zilieleza kwamba kuna waganga wawili wanaompa jeuri mrembo huyo, mmoja akiwa anaishi maeneo ya Mwenge, Dar na mwingine Bagamoyo.
Alipotafutwa Masogange alikuwa na haya ya kusema: “Sijaanza kusikia tuhuma hizo leo lakini mimi si mtu...
9 years ago
Michuzi05 Jan
Serikali yataka hospitali binafsi kuacha kutumia vibaya fedha za Mfuko wa Taifa wa Bima za Afya.
Serikali imepiga marufuku tabia ya baadhi ya hospitali au taasisi binafsi za afya kuwapima wagonjwa wanaotoka hospitali za Serikali vipimo ambavyo hawakuagizwa kuvipima na madaktari kutoka hospitali hizo kwani kufanya hivyo ni kuiongezea Serikali gharama zisizo la lazima.
Tamko hilo limetolewa na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangala wakati alipofanya ziara ya kutembelea leo kwenye Taasisi ya Saratani ya Ocean...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8OwwPQAVC2w/Vl7i3U7elBI/AAAAAAAIJxg/QnlHQDoAOT8/s72-c/mbando-august22-2014.jpg)
SERIKALI KUTUMIA TSH. BILIONI 5 KUHUDUMIA KAMBI ZA MADAKTARI BINGWA WA MOYO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8OwwPQAVC2w/Vl7i3U7elBI/AAAAAAAIJxg/QnlHQDoAOT8/s320/mbando-august22-2014.jpg)
Lengo la mkakati huo ni kuhakikisha Wagonjwa wengi wanahudumiwa katika kipindi kifupi pamoja na kupunguza gharama za kusafirisha wagonjwa nje ya nchi, ambao wengi wao husafiri kwa ajili ya matibabu ya magonjwa ya moyo, figo na...