Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masogange adaiwa kutumia tunguri kunasa vigogo!

Aggy31Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’.

Stori: Brighton Masalu na Mayasa Mariwata

Ulozi? Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ anadaiwa kutumia ‘tunguri’ kujiongezea mvuto ili kuwanasa vigogo.

Habari kutoka kwa chanzo kilicho karibu na Masogange zilieleza kwamba kuna waganga wawili wanaompa jeuri mrembo huyo, mmoja akiwa anaishi maeneo ya Mwenge, Dar na mwingine Bagamoyo.

Alipotafutwa Masogange alikuwa na haya ya kusema: “Sijaanza kusikia tuhuma hizo leo lakini mimi si mtu...

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mwanariadha wa kenya adaiwa kutumia dawa

Mwanariadha wa mbio za marathon kutoka kenya Rita Jeptoo amepatikana kuwa alitumia dawa za kusisimua misuli zilizopigwa marufuku

 

11 years ago

Habarileo

JK azuia vigogo kutumia vibaya wodi za Moyo

RAIS Jakaya Kikwete ameuonya Uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), kutowafumbia macho na kuwaruhusu watu maarufu nchini, kutumia vibaya wodi za kisasa za Kituo kipya cha Upasuaji wa Moyo, Matibabu na Mafunzo cha hospitali hiyo.

 

11 years ago

Mtanzania

Sitta adaiwa kutumia Bunge la Katiba kusaka urais

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA ELIZABETH HOMBO

MBUNGE wa Mkanyageni, Habib Mnyaa (CUF) amesema Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, anataka kulitumia Bunge la Katiba kwa nia ya kufanikisha dhamira yake ya kutaka urais.

Mnyaa alisema ni jambo la kushangaza kuona Sitta akihangaika kusaka suluhu na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).

Akizungumza na MTANZANIA Jumatano, Mnyaa alisema ni jambo lisiloingia...

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa wadai kunasa waraka wa Ikulu

ukawa hawaSHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA

UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umedai kunasa waraka wa Ofisi ya Rais Ikulu unaoonyesha Serikali imetenga Sh bilioni 2.5 kwa ajili ya kampeni ya kuwezesha Katiba inayopendekezwa ipitishwe   kwa kupigiwa kura ya ndiyo katika kura ya maoni.

Katibu Mkuu wa Ukawa ambaye pia ni Katibu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa, alidai Dar es Salaam jana  kuwa kampeni hiyo itafanywa kupitia vyombo vya habari  kuwahamasisha wananchi waweze kupiga kura ya ndiyo na...

 

9 years ago

Mwananchi

Chadema yadai kunasa kadi 36 za kupigia kura

Chadema Wilaya ya Bariadi kimedai kunasa kadi 36 za kupigia kura zilizokuwa zimetupwa kwenye gofu la nyumba moja mjini Bariadi.

 

10 years ago

GPL

SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA

HAMIDA HASSAN
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini, kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo. Staa wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Wagombea Chadema wadai kunasa kadi feki za mpigakura

Dar es Salaam. Wagombea ubunge wa majimbo ya Kawe na Ubungo kwa tiketi ya Chadema, wamedai kubaini kadi 100 za wapigakura ambazo hazina taarifa.

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema chadai kunasa ujumbe wa Rugemalira kwenda kwa JK

Katibu Mkuu wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo, Dk. Wilbroad Slaa.Rogemalila na Mhe. Jakaya Kikwete katika picha miaka ya nyumaChama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimedai kimenasa ujumbe mwingine wa barua pepe ulioandikwa na mmiliki wa Kampuni ya VIP Engeering, James Rugemalira, kwenda kwa Rais Jakaya Kikwete ukimtaka asitekeleze maazimio yaliyofikiwa na Bunge kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow, mpaka uamuzi wa mahakama utakapotolewa.

Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa,...

 

9 years ago

Bongo5

TCRA: App ya Softbox Tanzania inayosemekana kunasa mazungumzo ya simu za watu ni ya kitapeli

phone-hacking

Hii ni taarifa kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania, TCRA:

Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za kuwepo kwa Programu (Application) ya simu ikijulikana kama SOFTBOX TANZANIA iliyosemekana iko kwenye Google PLAYSTORE.

Ilidaiwa kuwa program (Application) hiyo ya SOFTBOX TANZANIA ilikuwa na uwezo wa kunasa au kuingilia mazungumzo ya simu, ujumbe mfupi pamoja na mawasiliano ya WhatsApp kutoka kwenye simu ya mtu binafsi.

Kwa yeyote aliyekuwa na nia hiyo ya kunasa au kuingilia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani