Masogange adaiwa kutumia tunguri kunasa vigogo!
Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’.
Stori: Brighton Masalu na Mayasa Mariwata
Ulozi? Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ anadaiwa kutumia ‘tunguri’ kujiongezea mvuto ili kuwanasa vigogo.
Habari kutoka kwa chanzo kilicho karibu na Masogange zilieleza kwamba kuna waganga wawili wanaompa jeuri mrembo huyo, mmoja akiwa anaishi maeneo ya Mwenge, Dar na mwingine Bagamoyo.
Alipotafutwa Masogange alikuwa na haya ya kusema: “Sijaanza kusikia tuhuma hizo leo lakini mimi si mtu...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili01 Nov
Mwanariadha wa kenya adaiwa kutumia dawa
11 years ago
Habarileo28 Apr
JK azuia vigogo kutumia vibaya wodi za Moyo
RAIS Jakaya Kikwete ameuonya Uongozi wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), kutowafumbia macho na kuwaruhusu watu maarufu nchini, kutumia vibaya wodi za kisasa za Kituo kipya cha Upasuaji wa Moyo, Matibabu na Mafunzo cha hospitali hiyo.
11 years ago
Mtanzania30 Jul
Sitta adaiwa kutumia Bunge la Katiba kusaka urais
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
NA ELIZABETH HOMBO
MBUNGE wa Mkanyageni, Habib Mnyaa (CUF) amesema Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, anataka kulitumia Bunge la Katiba kwa nia ya kufanikisha dhamira yake ya kutaka urais.
Mnyaa alisema ni jambo la kushangaza kuona Sitta akihangaika kusaka suluhu na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Akizungumza na MTANZANIA Jumatano, Mnyaa alisema ni jambo lisiloingia...
10 years ago
Mtanzania05 Nov
Ukawa wadai kunasa waraka wa Ikulu
SHABANI MATUTU NA PATRICIA KIMELEMETA
UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umedai kunasa waraka wa Ofisi ya Rais Ikulu unaoonyesha Serikali imetenga Sh bilioni 2.5 kwa ajili ya kampeni ya kuwezesha Katiba inayopendekezwa ipitishwe kwa kupigiwa kura ya ndiyo katika kura ya maoni.
Katibu Mkuu wa Ukawa ambaye pia ni Katibu wa Chadema, Dk. Willibrod Slaa, alidai Dar es Salaam jana kuwa kampeni hiyo itafanywa kupitia vyombo vya habari kuwahamasisha wananchi waweze kupiga kura ya ndiyo na...
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Chadema yadai kunasa kadi 36 za kupigia kura
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAh92Nn5-xKrvxXM6tMarG-Ir8P0aMBGPKaDy-wi*t5y6baPFzM*MbAEuK3R52VnM3XmSvt-zl16hn7tu1LURJkY/3.jpg?width=650)
SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Wagombea Chadema wadai kunasa kadi feki za mpigakura
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CszwxK6BXcY/VJWy_HvzfAI/AAAAAAADSS4/xuGtB63i3yM/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Chadema chadai kunasa ujumbe wa Rugemalira kwenda kwa JK
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Slaa-20Dec2014.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CszwxK6BXcY/VJWy_HvzfAI/AAAAAAADSS4/xuGtB63i3yM/s1600/unnamed%2B(7).jpg)
Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk. Wilbroad Slaa,...
9 years ago
Bongo504 Dec
TCRA: App ya Softbox Tanzania inayosemekana kunasa mazungumzo ya simu za watu ni ya kitapeli
![phone-hacking](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/phone-hacking-300x194.jpg)
Hii ni taarifa kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania, TCRA:
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na taarifa za kuwepo kwa Programu (Application) ya simu ikijulikana kama SOFTBOX TANZANIA iliyosemekana iko kwenye Google PLAYSTORE.
Ilidaiwa kuwa program (Application) hiyo ya SOFTBOX TANZANIA ilikuwa na uwezo wa kunasa au kuingilia mazungumzo ya simu, ujumbe mfupi pamoja na mawasiliano ya WhatsApp kutoka kwenye simu ya mtu binafsi.
Kwa yeyote aliyekuwa na nia hiyo ya kunasa au kuingilia...