Mwanariadha wa kenya adaiwa kutumia dawa
Mwanariadha wa mbio za marathon kutoka kenya Rita Jeptoo amepatikana kuwa alitumia dawa za kusisimua misuli zilizopigwa marufuku
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Dec
Mwanariadha wa Kenya alitumia dawa
10 years ago
Mwananchi23 Feb
Maajabu ya mwanariadha Hyvon Ngetich wa Kenya
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Masogange adaiwa kutumia tunguri kunasa vigogo!
Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’.
Stori: Brighton Masalu na Mayasa Mariwata
Ulozi? Video Queen wa Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ anadaiwa kutumia ‘tunguri’ kujiongezea mvuto ili kuwanasa vigogo.
Habari kutoka kwa chanzo kilicho karibu na Masogange zilieleza kwamba kuna waganga wawili wanaompa jeuri mrembo huyo, mmoja akiwa anaishi maeneo ya Mwenge, Dar na mwingine Bagamoyo.
Alipotafutwa Masogange alikuwa na haya ya kusema: “Sijaanza kusikia tuhuma hizo leo lakini mimi si mtu...
11 years ago
Mtanzania30 Jul
Sitta adaiwa kutumia Bunge la Katiba kusaka urais
![Samuel Sitta](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Samuel-Sitta.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta
NA ELIZABETH HOMBO
MBUNGE wa Mkanyageni, Habib Mnyaa (CUF) amesema Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta, anataka kulitumia Bunge la Katiba kwa nia ya kufanikisha dhamira yake ya kutaka urais.
Mnyaa alisema ni jambo la kushangaza kuona Sitta akihangaika kusaka suluhu na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Akizungumza na MTANZANIA Jumatano, Mnyaa alisema ni jambo lisiloingia...
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mtumishi adaiwa kuiba dawa hospitalini
5 years ago
BBCSwahili03 Apr
Virusi vya corona: Mwanariadha wa Kenya Wilson Kipsang akamatwa kwa kulewa wakati wa amri ya kutotoka nje
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mwingine adaiwa kunaswa amemeza dawa za kulevya
11 years ago
BBCSwahili12 Aug
WHO:Ni sawa kutumia dawa za 'Zmapp'