Mwingine adaiwa kunaswa amemeza dawa za kulevya
Mkazi mwingine wa Tabata Liwiti, Maulid Sarahani (39) amenaswa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), akidaiwa kumeza zaidi ya kete 83 za dawa za kulevya aina ya Heroie zenye thamani ya zaidi ya Sh70 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://english.cri.cn/mmsource/images/2013/12/21/a3853fb3862d450baca5a4282c0c0d81.jpg?width=640)
JACK PATRICK ADAIWA KUNASWA NA PIPI 66 ZA DAWA ZA KULEVYA ZENYE THAMANI YA MIL 215.5 CHINA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s72-c/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
Tanzania yashiriki Mkutano wa Kamisheni ya 63 ya Dawa za Kulevya ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Dawa za Kulevya na Jinai (UNODC) jijini Vienna, Austria
![](https://1.bp.blogspot.com/-79P9KSNEENE/XmDwZ8VeUJI/AAAAAAALhMU/NvKXOpdcLAgvkQBJYaxvfPiBW1NobOvDwCLcBGAsYHQ/s1600/PHOTO-2020-03-05-13-34-29.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK4ORLCU0*V34zT3PqmnbKQsRgxBMoUqScDQ9YnEiTmOwOwfRK0PjkfPy2TbrYdjjnAAy1wOl3Zz*r3unZ95V7Ou/JOHARI.jpg)
JOHARI ADAIWA KUNASWA KWA MGANGA!
10 years ago
Dewji Blog22 Jan
Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya yajadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia mambo ya Bunge, Sera na Uratibu Mhe. William Lukuvi akifungua kikao cha Kamati ya Masuala ya Ukimwi na Madawa ya Kulevya kujadili Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Dawa za Kulevya ya mwaka 2014 kilichofanyika 22/01/2015 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wadau toka Taasisi mbalimbali zisizo za Kiserikali wakichangia mada kupitia vifungu mbalimbali vya Muswada wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa...
10 years ago
BBCSwahili30 Oct
Adhabu kali si dawa ya dawa za kulevya
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Polisi mwingine adaiwa kuua kwa fimbo
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
ASKARI wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, PC Joel Francis (41) mwenye namba F.4965 anadaiwa kumpiga Donald Magalata (30) kwa fimbo na kumsababishia kifo.
Tukio hilo limetokea ikiwa ni wiki moja imepita,baada ya askari mwingine mkoani hapa Dau Elisha mwenye namba H 852 PC wa kituo cha Nyamagana kumuua askari mwenzake PC Petro Matiko wenye namba H 5950 kwa risasi na baadaye kujipiga risasi kichwani na kufariki dunia papo hapo.
Akizungumza na...
10 years ago
Mwananchi20 May
Biashara ya dawa za kulevya
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Mtumishi adaiwa kuiba dawa hospitalini