JOHARI ADAIWA KUNASWA KWA MGANGA!
![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK4ORLCU0*V34zT3PqmnbKQsRgxBMoUqScDQ9YnEiTmOwOwfRK0PjkfPy2TbrYdjjnAAy1wOl3Zz*r3unZ95V7Ou/JOHARI.jpg)
Stori: Hamida hassan na Gladness Mallya STAA wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula (pichani) maarufu kama Johari, hivi karibuni alidaiwa kuonekana akiingia nyumbani kwa mganga wa kienyeji (jina linahifadhiwa) katika Kijiji cha Kibeta, mjini Bukoba mkoani Kagera. Staa wa filamu za Kibongo, Blandina Chagula. Chanzo chetu cha habari kimedai kuwa Johari akiwa katika bodaboda, aliingia kwa mganga huyo wa kike anayefahamika sana...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Mwingine adaiwa kunaswa amemeza dawa za kulevya
11 years ago
GPL![](http://english.cri.cn/mmsource/images/2013/12/21/a3853fb3862d450baca5a4282c0c0d81.jpg?width=640)
JACK PATRICK ADAIWA KUNASWA NA PIPI 66 ZA DAWA ZA KULEVYA ZENYE THAMANI YA MIL 215.5 CHINA
11 years ago
Habarileo06 Mar
Mganga wa kienyeji adaiwa kuiba gari
MGANGA wa kienyeji, Yahaya Michael (34) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya wizi wa gari.
11 years ago
Habarileo20 Feb
Afa kwa kunaswa na umeme kazini
MFANYAKAZI wa kiwanda cha MCL kilichopo Temeke, Joseph Fedolini (40), amekufa papo hapo baada ya kunaswa na umeme wakati akiwa kazini. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo alisema kifo hicho kilitokea jana usiku katika kiwanda hicho kilichopo maeneo ya Chang'ombe Viwandani.
11 years ago
Habarileo07 Jan
Mchina kortini kwa tuhuma ya kunaswa na meno ya tembo
WATU wawili akiwemo raia wa China waliokamatwa na meno ya tembo Bandari ya Dar es Salaam, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kukutwa na nyara hizo bila kibali.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vlz-VcMBEukNamAtGYS9w2rTlfCKYtrXWfdLDrMLj3pGJ01Abol*4Vu-1a2gMxvA6MSo38-erEi1YPfZTUi6nKeWgMN8GIdX/IOOYOYUYUO.jpg)
ETI MPENZI WAKO HAWEZI KUNASWA NA WAJANJA, KWA KIPI?
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
Ndoa ya Ustazi Juma na Johari yanukia. Asema Johari atakuwa mke wake wa pili
PENZI limekolea na kinachoonekana sasa kwa Ostaz Juma Namusoma ni kukazia penzi lake kwa mwanadada Blandina Chagula ‘Johari’ anayesumbua kwenye Bongo movies.
Kwa mujibu wa mtandao wa GPL zinasema kwamba Ostaz alifunga safari kwenda nchini Afrika Kusini kwa mapumziko mafupi lakini pia kumnunulia mpenzi wake huyo zawadi mbalimbali kwa lengo la kupalilia uchumba wao.
“Jamaa alikuwa Sauzi (Afika Kusini), aliondoka hapa tarehe 17 (Machi) na amerudi tarehe 21. Kamletea zawadi kibao lakini...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKXXoBBzJewILeB0j3TxB33hT6GZwV8vKT5x4rE*HboIW7JeFnfG8IBWcUyOzxoGol*CByAhOoCByL87EOyVb7Qv/BACKJmooo001.jpg)
AIBU KUBWA! MUUZA GENGE ACHEZEA KICHAPO KWA KUNASWA NA MKE WA MTU