Afa kwa kunaswa na umeme kazini
MFANYAKAZI wa kiwanda cha MCL kilichopo Temeke, Joseph Fedolini (40), amekufa papo hapo baada ya kunaswa na umeme wakati akiwa kazini. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo alisema kifo hicho kilitokea jana usiku katika kiwanda hicho kilichopo maeneo ya Chang'ombe Viwandani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
Fundi afa kwa shoti ya umeme
FUNDI magari, Mohamed Athuman (52), mkazi wa maeneo ya Wandengereko, Mtoni-Mtongani, Dar es Salaam, amefariki dunia juzi kutokana na hitilafu ya umeme katika waya wa chaji ya simu. Kamanda wa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mlinzi afa akiwa kazini
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Mzibua vyoo afa kazini
MZIBUA vyoo aliyefahamika kwa jina moja la Michael au ‘Babu Sele’ anayekadiriwa kuwa na miaka kati ya 40 hadi 45, mkazi wa Mwenge, jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada...
11 years ago
Habarileo15 Jan
Mlinzi wa Ubalozi afa kazini
MLINZI wa Ubalozi wa Iran nchini, Ramadhan Rajab (55), mkazi wa Tabata amekufa ghafla baada ya kuanguka akiwa kazini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK4ORLCU0*V34zT3PqmnbKQsRgxBMoUqScDQ9YnEiTmOwOwfRK0PjkfPy2TbrYdjjnAAy1wOl3Zz*r3unZ95V7Ou/JOHARI.jpg)
JOHARI ADAIWA KUNASWA KWA MGANGA!
11 years ago
Habarileo07 Jan
Mchina kortini kwa tuhuma ya kunaswa na meno ya tembo
WATU wawili akiwemo raia wa China waliokamatwa na meno ya tembo Bandari ya Dar es Salaam, wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kukutwa na nyara hizo bila kibali.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Vlz-VcMBEukNamAtGYS9w2rTlfCKYtrXWfdLDrMLj3pGJ01Abol*4Vu-1a2gMxvA6MSo38-erEi1YPfZTUi6nKeWgMN8GIdX/IOOYOYUYUO.jpg)
ETI MPENZI WAKO HAWEZI KUNASWA NA WAJANJA, KWA KIPI?
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i41PO2l4KKXXoBBzJewILeB0j3TxB33hT6GZwV8vKT5x4rE*HboIW7JeFnfG8IBWcUyOzxoGol*CByAhOoCByL87EOyVb7Qv/BACKJmooo001.jpg)
AIBU KUBWA! MUUZA GENGE ACHEZEA KICHAPO KWA KUNASWA NA MKE WA MTU
10 years ago
GPLKIBAKA WA BODABODA AFA KWA KUCHOMWA MOTO DAR KWA KUIBA MKOBA