Mlinzi wa Ubalozi afa kazini
MLINZI wa Ubalozi wa Iran nchini, Ramadhan Rajab (55), mkazi wa Tabata amekufa ghafla baada ya kuanguka akiwa kazini.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mlinzi afa akiwa kazini
11 years ago
Habarileo10 Aug
RPC anusurika kifo, mlinzi wake afa
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe, Fulgence Ngonyani na dereva wake, Nuaka Seme wamelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Njombe ya Kibena baada ya kupata ajali ya gari iliyomuua mlinzi wa kamanda huyo, usiku wa kuamkia jana, eneo la kiwanda cha miwati (TANWAT).
11 years ago
Tanzania Daima25 Feb
Mzibua vyoo afa kazini
MZIBUA vyoo aliyefahamika kwa jina moja la Michael au ‘Babu Sele’ anayekadiriwa kuwa na miaka kati ya 40 hadi 45, mkazi wa Mwenge, jijini Dar es Salaam, amefariki dunia baada...
11 years ago
Habarileo20 Feb
Afa kwa kunaswa na umeme kazini
MFANYAKAZI wa kiwanda cha MCL kilichopo Temeke, Joseph Fedolini (40), amekufa papo hapo baada ya kunaswa na umeme wakati akiwa kazini. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke, Engelbert Kiondo alisema kifo hicho kilitokea jana usiku katika kiwanda hicho kilichopo maeneo ya Chang'ombe Viwandani.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--MKnvQDGD5s/U2wUGxigTQI/AAAAAAAFgXs/JpU81yvrk7k/s72-c/unnamed+(4).jpg)
ujumbe wa ubalozi mdogo wa malawi Dubai watembelea ubalozi mdogo wa tanzania Dubai
![](http://4.bp.blogspot.com/--MKnvQDGD5s/U2wUGxigTQI/AAAAAAAFgXs/JpU81yvrk7k/s1600/unnamed+(4).jpg)
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Mlinzi wa Lowassa atimuliwa
*Ni ofisa usalama mwandamizi aliyepigana Vita ya Uganda
*Alikuwa ‘bodyguard’ wa Nyerere aliyemfia mikononi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA mlinzi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ofisa usalama mwandamizi, Aloyce Tendewa, amefukuzwa kazi.
Taarifa zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka vyanzo vyake vya uhakika vilivyo serikalini, zimedai kuwa Tendewa amefukuzwa kazi na mwajiri wake ambaye ni Idara ya Usalama wa Taifa (TIS) kwa kosa la kushindwa kutekeleza majukumu yake ya...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mlinzi wa shamba ajinyonga
MKAZI wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, Hassan Ngoso (48), ambaye ni mlinzi wa ahamba, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema tukio...
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Mlinzi acharangwa mapanga Kilwa
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Mlinzi wa Dk. Slaa atoboa siri
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TUHUMA za mauaji ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, zimeendelea kutikisa pembe za nchi huku mlinzi wake binafsi, Khalid Kagenzi, akitoboa siri za mkasa huo.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, kudai mlinzi huyo alikuwa akitumiwa na vyombo vya usalama kwa lengo la kumuua Dk. Slaa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kagenzi alisema...