Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlinzi wa shamba ajinyonga

MKAZI wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, Hassan Ngoso (48), ambaye ni mlinzi wa ahamba, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema tukio...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO

Diaspora tunachangamoto nyingi zinazo tukabili ukiachia mbali swala la uraia pacha ambalo sasa tumewekwa kama raia wa kigeni kwenye nchi yako ya kuzaliwa na kinachoangaliwa zaidi ni kitu gani umeifanyia nchi yako japo ughaibuni umekuja kutafuta sawa na Mtanzania yeyote aliyetoka mkoani na kuelekea Dar es Salaam kwa lengo lilelile analofanya mwanaDiaspora anapokuja ughaibuni.

Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...

 

10 years ago

Habarileo

Shamba apatikana na zao la ‘shamba’

SHAMBA Malela (20) mkazi wa Nianjema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na kete 136 za dawa aina ya heroin.

 

9 years ago

Mtanzania

Mlinzi wa Lowassa atimuliwa

MTZ jmosi new 24 Nov 2015.indd*Ni ofisa usalama mwandamizi aliyepigana Vita ya Uganda

*Alikuwa ‘bodyguard’ wa Nyerere aliyemfia mikononi

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

ALIYEKUWA mlinzi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ofisa usalama mwandamizi, Aloyce Tendewa, amefukuzwa kazi.

Taarifa zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka vyanzo vyake vya uhakika vilivyo serikalini, zimedai kuwa Tendewa amefukuzwa kazi na mwajiri wake ambaye ni Idara ya Usalama wa Taifa (TIS) kwa kosa la kushindwa kutekeleza majukumu yake ya...

 

11 years ago

GPL

MWANAUME AJINYONGA...

Na Waandishi Wetu
NI simulizi ya majonzi! Fundi seremala Samuel Masanja,  mkazi wa Ilala jijini Dar amechukua ‘maamuzi’ magumu ya kujinyonga hadi kufa kwa kile kinachodaiwa kuwa ni msongo wa mawazo kwa sababu ya madeni yaliyosababishwa na kuwepo kwa uhusiano wake na kimada mmoja. Kwa mujibu wa mtu wa karibu na marehemu aliyejitambulisha kwa jina la Stany, kipindi cha uhai wake Samuel hakuwa na maelewano mazuri na...

 

9 years ago

GPL

HAUSIGELI AJINYONGA!

Dustan Shekidele, Moro Mfanyakazi wa ndani ‘hausigeli’ mmoja mkoani hapa aliyefahamika kwa jina moja la Rehema (16) ambaye alifanya kazi hiyo kwa wiki moja, akimshikia mwenzake aliyekwenda kijijini kwao lfakara wilayani Kilombero kumuuguza mama yake, amejifungia chumbani kisha kujinyonga kwa kutumia kanga....Soma zaidi===>http://goo.gl/CN1Ati ...

 

10 years ago

Mtanzania

Mlinzi wa Dk. Slaa atoboa siri

NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TUHUMA za mauaji ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, zimeendelea kutikisa pembe za nchi huku mlinzi wake binafsi, Khalid Kagenzi, akitoboa siri za mkasa huo.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, kudai mlinzi huyo alikuwa akitumiwa na vyombo vya usalama kwa lengo la kumuua Dk. Slaa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kagenzi alisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mlinzi afa akiwa kazini

p>WATU wawili wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwemo la mlinzi aliyekuwa ameketi lindoni pake. Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mlinzi wa Liverpool apigwa marufuku

Mlinzi wa Liverpool Martin Skrtel atahudumia marufuku ya mechi tatu baada ya shirikisho la soka nchini Uingereza FA kumpata na hatia.

 

10 years ago

Mwananchi

Mlinzi wa Gwajima kortini Kisutu

Mlinzi wa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alijisalimisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka mawili ya kukutwa na bastola aina ya Berretta pamoja na risasi 20 kinyume na sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani