Mlinzi wa shamba ajinyonga
MKAZI wa Mbezi Msakuzi, Dar es Salaam, Hassan Ngoso (48), ambaye ni mlinzi wa ahamba, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema tukio...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Dec
SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO
Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Shamba apatikana na zao la ‘shamba’
SHAMBA Malela (20) mkazi wa Nianjema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na kete 136 za dawa aina ya heroin.
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Mlinzi wa Lowassa atimuliwa
*Ni ofisa usalama mwandamizi aliyepigana Vita ya Uganda
*Alikuwa ‘bodyguard’ wa Nyerere aliyemfia mikononi
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA mlinzi wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ofisa usalama mwandamizi, Aloyce Tendewa, amefukuzwa kazi.
Taarifa zilizolifikia MTANZANIA Jumamosi kutoka vyanzo vyake vya uhakika vilivyo serikalini, zimedai kuwa Tendewa amefukuzwa kazi na mwajiri wake ambaye ni Idara ya Usalama wa Taifa (TIS) kwa kosa la kushindwa kutekeleza majukumu yake ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-5bpIq0OwpzFCEN7z53*v7tfUR7NGFFbOgDIgFeHT0mW9axe1z1vNzZ0Fldw4weCkz3X2MRX7zemD4zBIrdiPXu/AJINYONGA.jpg?width=650)
MWANAUME AJINYONGA...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxCNhCb0vXUiTY31yeVSavssk6mMbn9gKq0Ovejs4lWSr7TddeIX4WlwuivVRXbLyA-bjbj0lVDXVsN7ZMKPsQ9LeWzq3WB0/hausgel.jpg)
HAUSIGELI AJINYONGA!
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Mlinzi wa Dk. Slaa atoboa siri
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
TUHUMA za mauaji ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, zimeendelea kutikisa pembe za nchi huku mlinzi wake binafsi, Khalid Kagenzi, akitoboa siri za mkasa huo.
Hatua hiyo imekuja siku chache baada ya Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Mabere Marando, kudai mlinzi huyo alikuwa akitumiwa na vyombo vya usalama kwa lengo la kumuua Dk. Slaa.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Kagenzi alisema...
11 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Mlinzi afa akiwa kazini
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Mlinzi wa Liverpool apigwa marufuku
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Mlinzi wa Gwajima kortini Kisutu