Mlinzi wa Gwajima kortini Kisutu
Mlinzi wa Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alijisalimisha katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashtaka mawili ya kukutwa na bastola aina ya Berretta pamoja na risasi 20 kinyume na sheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Apr
Gwajima apanda kizimbani Kisutu
HATIMAYE Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima (45), amepanda katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na mashitaka mawili, ikiwemo la kutumia lugha ya matusi dhidi ya Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la Kanisa Katoliki, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
10 years ago
GPLGWAJIMA ASHITAKIWA MAHAKAMA YA KISUTU DAR
10 years ago
IPPmedia04 Jul
Kisutu Court adjourns Bishop Gwajima case
IPPmedia
The Kisutu Resident Magistrate Court yesterday failed to read the preliminary hearing in a criminal case facing a leader of the Glory of Christ Tanzania Church, Bishop Josephat Gwajima and three others because the magistrate who presides over the case ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aSLvHd*D*Q6WpBSd-rF7FnmiyldKT3LEsMaUWuya-VzYgQ9AgdaHnaAQFi6cjsXKZQbCeUTSzYoRmLMWyWA03JX/breakingnews.gif)
GWAJIMA MBARONI, APELEKWA MAHAKAMA YA KISUTU DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aQUTsfI6ZENSWyuohLTfSr5vmubC-M*KghSMIvsSi0GzcnFG07xTekGv4CJ31PiFoO1cU7ygHSgM8kmj-GsjdID/gwajima.jpg?width=650)
GWAJIMA APATA DHAMANA MAHAKAMA YA KISUTU, DAR
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Maalim Seif ‘abadili taratibu’ kortini Kisutu
10 years ago
VijimamboASKOFU GWAJIMA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-puGFmGKl0rU/VTE1aFCIl_I/AAAAAAABXSQ/PmMycj947Nw/s1600/Gwajima%2Bna%2BBehagaza.jpg)
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Exclusive: Mahakama ya Kisutu yamwachia huru Askofu Gwajima na wachungaji wake watatu leo
Taarifa zilizotufikia chumba cha habari cha modewjiblog zimeeleza kuwa Askofu Josephat Gwajima aliyejisalimisha Polisi Central na hatimaye kupelekwa Mahakama ya Kisutu wameachiwa huru kwa dhamana yeye pamoja na wachungaji wake watatu, jijini Dar es Salaam jioni ya leo.
Askofu Gwajima aliwataja Maaskofu hao kuwa ni Askofu Geofrey Andrew, Mchungaji George Mzava na Askofu Yeconia Bihagaze.
Hiyo ni kufuatia kushitakiwa kwa mashitaka mawili yanayowakabili likiwemo kumkashifu Askofu Pengo...
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Apr
Msaidizi wa Gwajima kortini
NA FURAHA OMARY
MSAIDIZI wa Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima, George Mzava, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
Mzava (43), mfanyabiashara na mkazi wa Ilala, Dar es Salaam, alifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashitaka ya kukutwa na bastola ya kiongozi huyo na risasi kinyume cha sheria.
Wakili wa Serikali Mwandamizi, Tumaini Kweka, alimsomea Mzava mashitaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi, Wilfred Dyansobera, baada ya mshitakiwa huyo...