ASKOFU GWAJIMA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima akiwa ameshikana mkono na mshtakiwa mwenzake askofu msaidizi, Yekamia Behagaza wakati wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, walipofikishwa mahakamani hapo kwa kosa la kutoa lugha za matusi na kukutwa na silaha kinyume cha sheria.(Picha na Francis Dande wa Habari Mseto Blog)
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima akiwa ameshikana mkono na mshtakiwa mwenzake askofu msaidizi,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboLIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-YrtQDIlRVJU/Xs-COYu25UI/AAAAAAALr00/7Qi37PD-jSY-Z7uDznoOpzh-FHoZuStGgCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
MBUNGE WA KAWE ANAKESI YA KUJIBU-MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU
![](https://1.bp.blogspot.com/-YrtQDIlRVJU/Xs-COYu25UI/AAAAAAALr00/7Qi37PD-jSY-Z7uDznoOpzh-FHoZuStGgCLcBGAsYHQ/s400/images.jpg)
Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba ametoa uamuzi huo leo Mei 28, 2010 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutolewa uamuzi.
Hatua hiyo imekuja baada ya Februari 20, mwaka huu upanda wa mashtaka kufunga ushahidi wao kufuatia mashahidi watatu waliofika mahakamani hapo kutoa ushahidi ambao...
9 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA UBUNGO, SAID KUBENEA AFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR LEO.
10 years ago
Dewji Blog17 Apr
Exclusive: Mahakama ya Kisutu yamwachia huru Askofu Gwajima na wachungaji wake watatu leo
Taarifa zilizotufikia chumba cha habari cha modewjiblog zimeeleza kuwa Askofu Josephat Gwajima aliyejisalimisha Polisi Central na hatimaye kupelekwa Mahakama ya Kisutu wameachiwa huru kwa dhamana yeye pamoja na wachungaji wake watatu, jijini Dar es Salaam jioni ya leo.
Askofu Gwajima aliwataja Maaskofu hao kuwa ni Askofu Geofrey Andrew, Mchungaji George Mzava na Askofu Yeconia Bihagaze.
Hiyo ni kufuatia kushitakiwa kwa mashitaka mawili yanayowakabili likiwemo kumkashifu Askofu Pengo...
10 years ago
Michuzimtuhumiwa wa mauaji nchini uingereza apandishwa kizimbani mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam leo
10 years ago
GPLGWAJIMA ASHITAKIWA MAHAKAMA YA KISUTU DAR
9 years ago
MichuziWALIOSAMBAZA MATOKEO YA URAIS KINYUME CHA SHERIA WAPANDISHWA KIZIMBANI MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aSLvHd*D*Q6WpBSd-rF7FnmiyldKT3LEsMaUWuya-VzYgQ9AgdaHnaAQFi6cjsXKZQbCeUTSzYoRmLMWyWA03JX/breakingnews.gif)
GWAJIMA MBARONI, APELEKWA MAHAKAMA YA KISUTU DAR
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aQUTsfI6ZENSWyuohLTfSr5vmubC-M*KghSMIvsSi0GzcnFG07xTekGv4CJ31PiFoO1cU7ygHSgM8kmj-GsjdID/gwajima.jpg?width=650)
GWAJIMA APATA DHAMANA MAHAKAMA YA KISUTU, DAR