MBUNGE WA KAWE ANAKESI YA KUJIBU-MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU
![](https://1.bp.blogspot.com/-YrtQDIlRVJU/Xs-COYu25UI/AAAAAAALr00/7Qi37PD-jSY-Z7uDznoOpzh-FHoZuStGgCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpg)
Na Karama Kenyunko Michuzi TV MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imesema Mbunge wa Kawe, Halima Mdee anayekabiliwa na kesi ya uchochezi kwa kutoa maneno ya kuudhi dhidi ya Rais John Magufu anayo kesi ya kujibu.
Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba ametoa uamuzi huo leo Mei 28, 2010 wakati kesi hiyo ilipokuja kwa ajili ya kutolewa uamuzi.
Hatua hiyo imekuja baada ya Februari 20, mwaka huu upanda wa mashtaka kufunga ushahidi wao kufuatia mashahidi watatu waliofika mahakamani hapo kutoa ushahidi ambao...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboLIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU
10 years ago
VijimamboASKOFU GWAJIMA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-puGFmGKl0rU/VTE1aFCIl_I/AAAAAAABXSQ/PmMycj947Nw/s1600/Gwajima%2Bna%2BBehagaza.jpg)
10 years ago
Mwananchi28 May
Kesi za madai katika Mahakama ya Hakimu Mkazi
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qwjdQuP_SQs/VGtnXe79S5I/AAAAAAABNFw/slaYHdZmJPg/s72-c/macha.jpg)
Mahakama ya Kisutu yasema Hans Macha ana kesi ya kujibu
![](http://4.bp.blogspot.com/-qwjdQuP_SQs/VGtnXe79S5I/AAAAAAABNFw/slaYHdZmJPg/s1600/macha.jpg)
Uamuzi huo, umetolewa na Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo, Devotha Kisoka katika kesi inayomkabili mfanyabiashara huyo ya kugushi hati ya kiwanja cha Ramadhan Balenga chenye namba 183 kilichopo Kigogo, mkataba wa mauziano na hati ya uhamishaji miliki.
Akitoa uamuzi huo jana, Hakimu Devotha alisema baada...
9 years ago
Dewji Blog18 Dec
Raia wanne wa China wahukumiwa miaka 20 jela kwa kosa la kuhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya
![](http://4.bp.blogspot.com/-1BIq66NTZYU/VnMFlIVetMI/AAAAAAAAVPM/RTUFVaP4vK4/s640/ndovu12.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZMk73Npq4JY/VnMFkHdt44I/AAAAAAAAVPE/6-HoGPr4IZA/s640/ndovu.jpg)
Na Ezekiel Kamanga, Mbeya.Jamiimojablog
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi mkoa wa Mbeya imewahukumu kifungo cha miaka 20 jela raia wanne wa China na kulipa faini baada ya kukutwa na hatia kwa makosa matatu ikiwemo uhujumu uchumi kwa kukutwa na pembe za faru.
Kabla ya kuanza kusoma hukumu Hakimu mfawidhi Michael Mteite alianza kuwashukuru Mawakili wa Serikali na...
9 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA UBUNGO, SAID KUBENEA AFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR LEO.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-d-_xzl9gHXU/XrwiQsB0r8I/AAAAAAALqIM/zIYv1r2cO2cCUiCzdgkwZAr40UJNvGUpQCLcBGAsYHQ/s72-c/501c590b-624b-460b-a8b9-a4793ea8e329.jpg)
JAJI MKUU WA TANZANIA PROF IBRAHIM JUMA AMUAPISHA HAKIMU MKAZI OLIVIA TOWILO JIJINI DAR
![](https://1.bp.blogspot.com/-d-_xzl9gHXU/XrwiQsB0r8I/AAAAAAALqIM/zIYv1r2cO2cCUiCzdgkwZAr40UJNvGUpQCLcBGAsYHQ/s640/501c590b-624b-460b-a8b9-a4793ea8e329.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/66a2b905-fe88-4e53-9723-82e5f152001d.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/2b312629-9cd4-49d9-8a9e-a5173a5498e1.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-XBDONJeYz_E/VToigWg1HHI/AAAAAAAHS5c/cXQYH7ajEpU/s72-c/001.IRENE%2BJAY.jpg)
MKAZI WA KAWE IRENE MREMA ACHOMOKA NA KITITA CHA SHILINGI MILIONI 100 ZA JAYMILLIONS
![](http://1.bp.blogspot.com/-XBDONJeYz_E/VToigWg1HHI/AAAAAAAHS5c/cXQYH7ajEpU/s1600/001.IRENE%2BJAY.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WhQWBqZ5_FI/VTN1F_GjPuI/AAAAAAAHR9w/rAilCeOPvgo/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
Mkazi wa Kawe jijini Dar ajishindia Kitita cha Tsh milioni 100 za Jaymillions