MBUNGE WA JIMBO LA UBUNGO, SAID KUBENEA AFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR LEO.
Mbunge wa jimbo Ubungo,(Chadema) Saed Kubenea amefikishwa mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam mapema hii leo akielekea katika chumba cha kusomewa shtaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
Mbunge wa jimbo Ubungo,(Chadema) Said Kubenea akiwa na wanachama wa chama cha Demokrasia na Maendeleo, leo mara baada ya kusomewa shitaka lililokuwa likimkabiri katika mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam leo.
Mbunge wa jimbo Ubungo,(Chadema) Saed Kubenea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboASKOFU GWAJIMA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://2.bp.blogspot.com/-puGFmGKl0rU/VTE1aFCIl_I/AAAAAAABXSQ/PmMycj947Nw/s1600/Gwajima%2Bna%2BBehagaza.jpg)
10 years ago
Michuzimtuhumiwa wa mauaji nchini uingereza apandishwa kizimbani mahakama ya kisutu jijini Dar es salaam leo
10 years ago
VijimamboLIPUMBA AFIKISHWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU
10 years ago
CloudsFM31 Dec
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Mbunge wa Ubungo Said Kubenea awatembelea wananchi wake kuwashukuru!
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-QYpp5ZYx7l8/Vm_wzz7So3I/AAAAAAAAXc8/PCWJGTLEaTU/s72-c/8-chadema.jpg)
CHADEMA yalaani kukamatwa kwa Mbunge wa Ubungo Kubenea
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Masha afikishwa mahakamani Kisutu leo
9 years ago
Mwananchi25 Aug
Masha afikishwa mahakamni Kisutu leo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aOA0EiUkKFQ/XoXYZmUSAKI/AAAAAAALl14/PDD_qhaVlrwFXIqJIQfNYT_wMAeMQdPOwCLcBGAsYHQ/s72-c/KUBENEA%2BHOJA.jpg)
MBUNGE WA UBUNGO SAID KUBENEA ASHAURI MISIKITI, MAKANISA IFUNGWE KUEPUKA CORONA
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam Said Kubenea ameshauri ni kwanini misikiti na makanisa yasifungwe ili kuepusha waumini wa dini hizo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 (Corona).
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Kubenea amesema pamoja na hatua mbalimbali ambazo zinachukuliwa na Serikali na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto lakini iko haja ya kuchukua hatua zaidi ya zilizopo sasa.
Kubenea amesema kwa mujibu wa Shirika la Afya...