MBUNGE WA UBUNGO SAID KUBENEA ASHAURI MISIKITI, MAKANISA IFUNGWE KUEPUKA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-aOA0EiUkKFQ/XoXYZmUSAKI/AAAAAAALl14/PDD_qhaVlrwFXIqJIQfNYT_wMAeMQdPOwCLcBGAsYHQ/s72-c/KUBENEA%2BHOJA.jpg)
Na Said Mwishehe, Michuzi TV
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam Said Kubenea ameshauri ni kwanini misikiti na makanisa yasifungwe ili kuepusha waumini wa dini hizo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 (Corona).
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Kubenea amesema pamoja na hatua mbalimbali ambazo zinachukuliwa na Serikali na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto lakini iko haja ya kuchukua hatua zaidi ya zilizopo sasa.
Kubenea amesema kwa mujibu wa Shirika la Afya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-QYpp5ZYx7l8/Vm_wzz7So3I/AAAAAAAAXc8/PCWJGTLEaTU/s72-c/8-chadema.jpg)
CHADEMA yalaani kukamatwa kwa Mbunge wa Ubungo Kubenea
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Mbunge wa Ubungo Said Kubenea awatembelea wananchi wake kuwashukuru!
9 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA UBUNGO, SAID KUBENEA AFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR LEO.
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Dar yaongoza kesi za misikiti, makanisa
Na Kulwa Karedia, Dar es Salaam
SERIKALI imesema kuna fukuto kubwa la kesi za misikiti na makanisa ambalo linaweza kusababisha uvunjivu wa amani kama hatua za haraka hazitachukuliwa na mamlaka zinazohusika hasa Mkoa wa Dar es Saalam.
Akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili,Ufisili na Udhamini(RITA),Philip Saliboko alisema migogoro iliyopo sasa inatisha.
“Kuna fukuto kubwa kwenye kesi za...
11 years ago
Dewji Blog28 Jun
Balozi Seif ashauri kamati za misikiti nchini
Balozi Seif akizungumza na waumini wa Dini ya Kiislamu wa Kijiji cha Kiboje Mamboleo mara baada kuufungua msikiti wao wa Ijumaa uliofanyiwa matengenezo makubwa.(Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ).
Mwandishi Wetu Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amezikumbusha Kamati za Misikiti hapa nchini kuendelea kuwa imara kwa kutowaruhusu watu wanaopenda kujipenyeza ndani ya kamati hizo kwa nia ya kuanza kutoa madarasa ya uchochezi na kuwagawa waumini kimadhehebu. Alisema...
10 years ago
Mwananchi09 May
Misikiti, makanisa, shule sasa kukatiwa bima za majanga
9 years ago
TheCitizen16 Dec
Ubungo MP Kubenea charged
10 years ago
TheCitizen02 Aug
Kubenea heads for Chadema nomination in Ubungo
5 years ago
BBCSwahili12 May
Virusi vya Corona: Iran yaamua kufungua misikiti licha masharti ya kukabiliana na corona