Misikiti, makanisa, shule sasa kukatiwa bima za majanga
Dar es Salaam. Serikali imeanza mchakato wa kutengeneza sera mpya ya bima na kupitia sera hiyo, majengo yote makubwa, zikiwamo shule za bweni, misikiti na makanisa yatatakiwa kukatiwa bima, ili litakapojitokeza janga lolote waathirika waweze kulipwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Dar yaongoza kesi za misikiti, makanisa
Na Kulwa Karedia, Dar es Salaam
SERIKALI imesema kuna fukuto kubwa la kesi za misikiti na makanisa ambalo linaweza kusababisha uvunjivu wa amani kama hatua za haraka hazitachukuliwa na mamlaka zinazohusika hasa Mkoa wa Dar es Saalam.
Akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili,Ufisili na Udhamini(RITA),Philip Saliboko alisema migogoro iliyopo sasa inatisha.
“Kuna fukuto kubwa kwenye kesi za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aOA0EiUkKFQ/XoXYZmUSAKI/AAAAAAALl14/PDD_qhaVlrwFXIqJIQfNYT_wMAeMQdPOwCLcBGAsYHQ/s72-c/KUBENEA%2BHOJA.jpg)
MBUNGE WA UBUNGO SAID KUBENEA ASHAURI MISIKITI, MAKANISA IFUNGWE KUEPUKA CORONA
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam Said Kubenea ameshauri ni kwanini misikiti na makanisa yasifungwe ili kuepusha waumini wa dini hizo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 (Corona).
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Kubenea amesema pamoja na hatua mbalimbali ambazo zinachukuliwa na Serikali na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto lakini iko haja ya kuchukua hatua zaidi ya zilizopo sasa.
Kubenea amesema kwa mujibu wa Shirika la Afya...
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Mvua, upepo sasa vyaleta majanga
9 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARI AZANIA WAJIFUNZA KUKABILIANA NA MAJANGA YA MOTO
‘’Tayari tumeuzima’’ walisikika wanafunzi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-MGWkSjAe1pE/Xk5pASOuEWI/AAAAAAAEFHU/ZQ1tODTJrlYGLi8X1xMBHtB0mb6xhUiBwCLcBGAsYHQ/s72-c/5AA-2-1024x682.jpg)
HUDUMA ZA BIMA SASA KUPATIKANA KATIKA MATAWI YOTE YA BENKI YA NMB
![](https://1.bp.blogspot.com/-MGWkSjAe1pE/Xk5pASOuEWI/AAAAAAAEFHU/ZQ1tODTJrlYGLi8X1xMBHtB0mb6xhUiBwCLcBGAsYHQ/s640/5AA-2-1024x682.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/2AA-8-1024x682.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Igunga walalamika kukatiwa umeme
WAFANYABIASHARA wa Wilaya ya Igunga, mkoani Tabora wamesema kukatika kwa umeme mara kwa mara kunasababisha kushindwa kuendesha biashara zao kwa ufanisi. Wakizungumza na Tanzania Daima kwa njia ya simu jana,...
11 years ago
Mwananchi31 May
Bima Lee: Bendi ya Shirika la Bima iliyotamba kwa mtindo wa Magnet Tingisha
9 years ago
Mwananchi24 Aug
Nsumba: Shule kongwe iliyoelimisha vigogo, sasa ipo taaban
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-La41N1-X7dQ/VA9SR3yw5fI/AAAAAAAGiS0/8_L8HcIxKn4/s72-c/0357907fd1bfa42c1e2ce3e2a4f82297.jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: MOTO WATEKETEZA BWENI SHULE YA AFRICAN MUSLIM MJINI MOSHI HIVI SASA
![](http://2.bp.blogspot.com/-La41N1-X7dQ/VA9SR3yw5fI/AAAAAAAGiS0/8_L8HcIxKn4/s1600/0357907fd1bfa42c1e2ce3e2a4f82297.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4Lt3B0nTw5Y/VA9SXQWMI9I/AAAAAAAGiS8/vjbl-Y6zsMM/s1600/a3f86ce2ed63ec889a14571fff980ce5.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-T6k6T4lDp8w/VA9SvRNqK8I/AAAAAAAGiTE/pWcjnbonMCI/s1600/fcf976d2d749d0c95cd0acfbf3b1a19f%2B(1).jpg)