Dar yaongoza kesi za misikiti, makanisa
Na Kulwa Karedia, Dar es Salaam
SERIKALI imesema kuna fukuto kubwa la kesi za misikiti na makanisa ambalo linaweza kusababisha uvunjivu wa amani kama hatua za haraka hazitachukuliwa na mamlaka zinazohusika hasa Mkoa wa Dar es Saalam.
Akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari mjini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Usajili,Ufisili na Udhamini(RITA),Philip Saliboko alisema migogoro iliyopo sasa inatisha.
“Kuna fukuto kubwa kwenye kesi za...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 May
Misikiti, makanisa, shule sasa kukatiwa bima za majanga
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aOA0EiUkKFQ/XoXYZmUSAKI/AAAAAAALl14/PDD_qhaVlrwFXIqJIQfNYT_wMAeMQdPOwCLcBGAsYHQ/s72-c/KUBENEA%2BHOJA.jpg)
MBUNGE WA UBUNGO SAID KUBENEA ASHAURI MISIKITI, MAKANISA IFUNGWE KUEPUKA CORONA
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam Said Kubenea ameshauri ni kwanini misikiti na makanisa yasifungwe ili kuepusha waumini wa dini hizo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 (Corona).
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Kubenea amesema pamoja na hatua mbalimbali ambazo zinachukuliwa na Serikali na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto lakini iko haja ya kuchukua hatua zaidi ya zilizopo sasa.
Kubenea amesema kwa mujibu wa Shirika la Afya...
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Bomoabomoa Dar yakumba makanisa, nyumba 25
CHRISTINA GAULUHANGA NA RUTH MNKENI, DAR ES SALAAM
BOMOABOMOA ya nyumba na makazi zilizojengwa kinyume cha sheria iliendelea jana katika Wilaya ya Kinondoni, ambapo Kanisa la Anglikana pamoja na Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Mivumoni zimekumbwa na bomoabomoa hiyo.
Shughuli hiyo ya ubomoaji ilianza jana saa 12 asubuhi katika eneo la Mbezi Jogoo, ambapo nyumba 25, makanisa mawili, fremu mbili za biashara na sehemu ya kuoshea magari zilibomolewa.
Mbali na kanisa la Aglikana, kanisa jingine ni...
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Dar es Salaam yaongoza kwa kuvutia wawekezaji
10 years ago
Habarileo24 Mar
Dar yaongoza kwa kifua kifuu nchini
MKOA wa Dar es Salaam ni miongoni mwa mikoa minane inayoongoza nchini kwa miaka kumi mfululizo, kwa kuwa na wagonjwa wengi wa kifua kikuu.
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s72-c/MMG29815.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA MBEYA CITY UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 1-0
![](http://3.bp.blogspot.com/-Qq9TEu58N08/Uu5LYI5Ad9I/AAAAAAAFKU4/mLW7YfPig5g/s1600/MMG29815.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9hsgcHyJetE/Uu5LX_potSI/AAAAAAAFKVA/hw8mmxNyb4Y/s1600/MMG29823.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6FOZHdZEIv4/UvY45bmXDHI/AAAAAAAFLvg/pyVmNSzfsnE/s72-c/MMG20203.jpg)
MTANANGE WA YANGA NA KOMOROZINE YA NCHINI COMORO UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR HIVI SASA,YANGA YAONGOZA KWA BAO 2-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-6FOZHdZEIv4/UvY45bmXDHI/AAAAAAAFLvg/pyVmNSzfsnE/s1600/MMG20203.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Y_TcBJBhQDU/UvY47X4fZFI/AAAAAAAFLvo/2my7ZRqMF4w/s1600/MMG20165.jpg)
10 years ago
BBCSwahili21 Mar
IS yakiri kushambulia misikiti Yemen
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Ni misikiti 19 pekee iliosalia CAR