Dar es Salaam yaongoza kwa kuvutia wawekezaji
Dar es Salaam. Jiji la Dar es Salaam limetajwa kuwa la kwanza kati ya majiji 20 yenye fursa zaidi barani Afrika likiongoza katika kipengele cha kuvutia wawekezaji na kipengele kidogo cha ukuaji wa pato la taifa (GDP).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Tanzania yaongoza EAC kuvutia wawekezaji
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Tanzania yaongoza kuvutia mitaji A. Mashariki
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Tanzania yaongoza kuvutia mitaji ya nje ya uwekezaji
TANZANIA inaongoza kama nchi yenye mitaji mikubwa ya uwekezaji toka nje katika Afrika Mashariki. Kwa mujibu wa taarifa ya hivi karibuni ya Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Biashara na...
10 years ago
Tanzania Daima11 Nov
Machinga Complex kuboreshwa kuvutia wawekezaji
JENGO la kisasa la biashara lijulikanalo kama ‘Machinga Complex’, lililopo jijini Dar es Salaam muda wowote kuanzia sasa linatarajiwa kufanyiwa maboresho muhimu, ili kuleta mvuto zaidi wa kibiashara kwa bidhaa...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Watanzania wahimizwa kuvutia wawekezaji kwenye kilimo
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji) Dk. Mary Nagu, amewataka Watanzania kuvutia wawekezaji kutoka nje kuwekeza kwenye kilimo, ili uchumi uweze kukua kwa Watanzania wengi. Dk....
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Jamii yashauriwa kuendeleza miradi inayoanzishwa ili kuvutia wawekezaji
Dwani wa kata ya Ihanja (CCM) Ayubu Noah, akizungumza kwenye hafla ya kata hiyo ya Ihanja, kukabdhiwa ili wauendeleze mradi wa ushiriki wa wanaume katika afya ya uzazi ni chanzo cha mabadiliko katika afya ya mama na mtoto.Kulia ni Afisa tathimini na ufuatiliaji TMEP, George Mutasingwa John na kushoto ni Afisa wa shirika la HAPA, Joseph Mnyambi.
Na Nathaniel Limu, Ikungi
WAKAZI wa vijijini tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi mkoani Singida,wamehimizwa kujenga utamaduni wa kuendeleza miradi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-iMf9jpwq9YM/XnjAECgvm8I/AAAAAAACJK8/1Kcsu24on9QkrhkQkTCCoXIosW_HRPwBQCLcBGAsYHQ/s72-c/tbs.jpg)
TBS WATAKIWA KUEPUKA VISHAWISHI NA URASIMU NCHI IWE SALAMA NA KUVUTIA WAWEKEZAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-iMf9jpwq9YM/XnjAECgvm8I/AAAAAAACJK8/1Kcsu24on9QkrhkQkTCCoXIosW_HRPwBQCLcBGAsYHQ/s320/tbs.jpg)
Na Roida Andusamile-TBS
Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe...
11 years ago
Dewji Blog25 Jun
Dar Es Salaam kuwa kivutio kikubwa cha wawekezaji na utalii miaka michache ijayo
Pichani ni Jengo litakalojengwa jijini Dar es salaam na litagharimu Dola za kimarekani milioni 77,kutakuwa na hoteli ya hadhi ya Nyota Tano, Ofisi za Biashara, kutakuwa na Sehemu ya kuegesha magari, jengo hili litatakuwa kivutio kwa Wawekezaji na Utalii.(23 Juni 2014).
Baadhi Malori na Vifaa vingine vya kutendea kazi vikiwa tayari kuahiria ujenzi huu unaanza mara moja baada ya zoezi la uwekaji wa jiwe la msingi kukamilika.
Mama Maria Nyerere akiwasili kwenye sherehe ya uwekaji jiwe la...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-R22c7cs1vG8/VCw3GkX9ynI/AAAAAAAGnGk/tQJ6tTasGsQ/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI MAREKANI WATEMBEELEA WIZARA YA UCHUKUZI NA BANDARI YA DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-R22c7cs1vG8/VCw3GkX9ynI/AAAAAAAGnGk/tQJ6tTasGsQ/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CgKNCWI6mQ8/VCw3G4DJUPI/AAAAAAAGnGo/yBsSfZksSAk/s1600/unnamed%2B(20).jpg)