Ubungo MP Kubenea charged
 Ubungo MP Saed Kubenea, 44, was yesterday charged with using abusive language against Kinondoni District Commissioner Paul Makonda.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen02 Aug
Kubenea heads for Chadema nomination in Ubungo
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-QYpp5ZYx7l8/Vm_wzz7So3I/AAAAAAAAXc8/PCWJGTLEaTU/s72-c/8-chadema.jpg)
CHADEMA yalaani kukamatwa kwa Mbunge wa Ubungo Kubenea
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Mbunge wa Ubungo Said Kubenea awatembelea wananchi wake kuwashukuru!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-aOA0EiUkKFQ/XoXYZmUSAKI/AAAAAAALl14/PDD_qhaVlrwFXIqJIQfNYT_wMAeMQdPOwCLcBGAsYHQ/s72-c/KUBENEA%2BHOJA.jpg)
MBUNGE WA UBUNGO SAID KUBENEA ASHAURI MISIKITI, MAKANISA IFUNGWE KUEPUKA CORONA
MBUNGE wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam Said Kubenea ameshauri ni kwanini misikiti na makanisa yasifungwe ili kuepusha waumini wa dini hizo dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 (Corona).
Akizungumza leo jijini Dar es Salaam, Kubenea amesema pamoja na hatua mbalimbali ambazo zinachukuliwa na Serikali na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto lakini iko haja ya kuchukua hatua zaidi ya zilizopo sasa.
Kubenea amesema kwa mujibu wa Shirika la Afya...
9 years ago
MichuziMBUNGE WA JIMBO LA UBUNGO, SAID KUBENEA AFIKISHWA MAHAKAMA YA KISUTU JIJINI DAR LEO.
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
JUST IN: Saed Kubenea achukua fomu ya kuwania ubunge kwa tiketi ya Chadema jimbo la Ubungo
Mwanahabari mkongwe Saed Kubenea (pichani) achukua fomu kuomba ridhaa ya kuwania ubunge kupitia Chadema jimbo la Ubungo.
Saed Kubenea ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Hali Halisi Publishers Ltd., inayochapisha magazeti ya MwanaHALISI; MSETO; MwanaHALISI Online na MwanaHALISI Forum na ndiye mmiliki wa kampuni hiyo.
9 years ago
TheCitizen17 Sep
Ubungo councillor charged with assault of journalist
9 years ago
Mwananchi11 Sep
Kubenea awashukia NEC
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Makonda, kubenea nusura wazichape
Na Shabani Matutu, Dar es salaam
MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), nusura azichape kavu kavu na Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni, Paul Makonda baada ya kutokea kutoelewana.
Kutokana na hali hiyo Makonda aliwaagiza askari wa Jeshi la Polisi kumtia mbaroni Kubenea kwa kile kilichoelezwa kuwa mbunge huyo ameshindwa kutii agizo la mkuu huyo wa wilaya.
Tukio hilo lilitokea jana, jijini Dar es Salaam, baada ya viongozi hao kukutana katika mgomo wa wafanyakazi wa Kiwanda cha nguo cha Tooku...