Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kubenea awashukia NEC

Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Saed Kubenea amefichua mbinu za Tume ya uchaguzi (NEC) kukutana na mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Ukumbi wa Kilimanjaro Hoteli.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

TheCitizen

Ubungo MP Kubenea charged

 Ubungo MP Saed Kubenea, 44, was yesterday charged with using abusive language against Kinondoni District Commissioner Paul Makonda.

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta amshambulia Kubenea bungeni

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amemshambulia Mkurugenzi Mtendaji wa HaliHalisi Publishers, Saed Kubenea kwa kitendo chake cha kufungua shauri mahakamani kupinga Bunge hilo.

 

9 years ago

Mtanzania

Mawakili 6 wa Kubenea kumkabili Makonda

Pg 3Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

JOPO la mawakili sita wamejitokeza kumtetea Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), baada ya kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa shtaka moja la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.

Mawakili hao, wakiongozwa na Peter Kibatala, walijitokeza katika mahakama hiyo jana na kudai dhamana baada ya kusomewa mashtaka hayo kwa madai kuwa shtaka la mteja wao linadhaminika.

Akisoma...

 

10 years ago

Mwananchi

Mahakama yatupa ombi la Kubenea

>Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeyakataa maombi ya kusimamisha vikao vya Bunge la Katiba vinavyoendelea mjini Dodoma.

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Kesi ya Kubenea, Makonda yaahirishwa

KESI iliyofunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda dhidi ya Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea katika Mahakama ya Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, imeahirishwa. Anaandiaka Yusuph Katimba … (endelea).Akiahirisha kesi hiyo, hakimu anayesimamia kesi hiyo Thomas Simba amesema uchunguzi umekamilika na kwamba upande wa mashitaka na kwamba imepangwa kuanza kusikilizwa tarehe 29 Desemba

 

10 years ago

Habarileo

'Kesi ya Kubenea ya kisiasa zaidi'

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imesema haina mamlaka ya kuamua kiwango cha mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba kufanya maboresho au marekebisho katika rasimu ya katiba iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

10 years ago

TheCitizen

Kubenea: Werema misled President

Hali Halisi managing editor Saed Kubenea has accused the Attorney General, Judge (retired) Frederick Werema, of misleading President Jakaya Kikwete with regard to the latter’s powers over the Constituent Assembly (CA).

 

9 years ago

Global Publishers

Kubenea apandishwa Mahakamani leo

said1Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea.

Baada ya taflani iliyotokea jana Jumatatu kati ya mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea wa Chadema na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda eneo la viwanda (EPZA) Mabibo jijini Dar hali iliyopelekea DC Makonda kuwaamuru polisi wamuweke chini ya ulinzi Saed Kubenea na kumpeleka Kituo cha Polisi. Leo Saed Kubenea amepandishwa kizimbani kwenye mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam na kusomewa shtaka la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa wilaya ya...

 

10 years ago

Mwananchi

AG, Kubenea sasa waitwa mahakamani

Hatimaye Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana imetoa hati ya wito kwa pande zote, mlalamikaji na mlalamikiwa katika kesi ya mamlaka ya Bunge la Katiba ikiwataka kufika mahakamani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani