Kubenea awashukia NEC
Mgombea Ubunge Jimbo la Ubungo kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Saed Kubenea amefichua mbinu za Tume ya uchaguzi (NEC) kukutana na mgombea ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) katika Ukumbi wa Kilimanjaro Hoteli.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
TheCitizen16 Dec
Ubungo MP Kubenea charged
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Sitta amshambulia Kubenea bungeni
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Mawakili 6 wa Kubenea kumkabili Makonda
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
JOPO la mawakili sita wamejitokeza kumtetea Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), baada ya kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa shtaka moja la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
Mawakili hao, wakiongozwa na Peter Kibatala, walijitokeza katika mahakama hiyo jana na kudai dhamana baada ya kusomewa mashtaka hayo kwa madai kuwa shtaka la mteja wao linadhaminika.
Akisoma...
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Mahakama yatupa ombi la Kubenea
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-hzG4MF2uolM/VnDBbZfJb2I/AAAAAAAAXdY/o4O9sGlfNCQ/s72-c/Kube-620x308.jpg)
Kesi ya Kubenea, Makonda yaahirishwa
10 years ago
Habarileo26 Sep
'Kesi ya Kubenea ya kisiasa zaidi'
MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imesema haina mamlaka ya kuamua kiwango cha mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba kufanya maboresho au marekebisho katika rasimu ya katiba iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
10 years ago
TheCitizen31 Aug
Kubenea: Werema misled President
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Kubenea apandishwa Mahakamani leo
Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea.
10 years ago
Mwananchi30 Aug
AG, Kubenea sasa waitwa mahakamani