Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya Kubenea, Makonda yaahirishwa

KESI iliyofunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda dhidi ya Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea katika Mahakama ya Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, imeahirishwa. Anaandiaka Yusuph Katimba … (endelea).Akiahirisha kesi hiyo, hakimu anayesimamia kesi hiyo Thomas Simba amesema uchunguzi umekamilika na kwamba upande wa mashitaka na kwamba imepangwa kuanza kusikilizwa tarehe 29 Desemba

CHADEMA Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mawakili 6 wa Kubenea kumkabili Makonda

Pg 3Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

JOPO la mawakili sita wamejitokeza kumtetea Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), baada ya kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa shtaka moja la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.

Mawakili hao, wakiongozwa na Peter Kibatala, walijitokeza katika mahakama hiyo jana na kudai dhamana baada ya kusomewa mashtaka hayo kwa madai kuwa shtaka la mteja wao linadhaminika.

Akisoma...

 

9 years ago

Mtanzania

Makonda, kubenea nusura wazichape

1Na Shabani Matutu, Dar es salaam

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), nusura azichape kavu kavu na Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni, Paul Makonda baada ya kutokea kutoelewana.

Kutokana na hali hiyo Makonda aliwaagiza askari wa Jeshi la Polisi kumtia mbaroni Kubenea kwa kile kilichoelezwa kuwa mbunge huyo ameshindwa kutii agizo la mkuu huyo wa wilaya.

Tukio hilo lilitokea jana, jijini Dar es Salaam, baada ya viongozi hao kukutana katika mgomo wa wafanyakazi wa Kiwanda cha nguo cha Tooku...

 

9 years ago

Mwananchi

Kubenea akamatwa kwa agizo la DC Makonda

Mbunge wa Ubungo (Chadema), Said Kubenea amekamatwa na polisi kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salam, Paul Makonda baada ya kudaiwa kurushiana maneno wakati wakitatua mgogoro wa wafanyakazi wa Kiwanda cha ushonaji na usafirishaji wa nguo, Tooku.

 

10 years ago

Habarileo

'Kesi ya Kubenea ya kisiasa zaidi'

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imesema haina mamlaka ya kuamua kiwango cha mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba kufanya maboresho au marekebisho katika rasimu ya katiba iliyowasilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi ya ghorofa yaahirishwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, jana imeahirisha kesi ya mauaji ya watu 27 kutokana na kuporomoka jengo la ghorofa 16, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Manispaa ya...

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya Gwajima yaahirishwa

Josephat GwajimaMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana imeshindwa kumsomea maelezo ya awali Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya kutumia lugha ya matusi na kushindwa kuhifadhi silaha.

 

9 years ago

Mtanzania

Masaburi afuta kesi dhidi ya Kubenea

Pg 2Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta kesi ya madai ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa Ubungo.

Kesi hiyo ilifunguliwa na aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Masaburi dhidi ya mbunge wa jimbo hilo, Saed Kubenea (Chadema).

Uamuzi wa maombi ya kufuta kesi hiyo uliwasilishwa mahakamani hapo jana na wakili wa Dk. Masaburi, Clement Kihoko mbele ya Jaji Lugano Mwandambo.

Wakili Kihoko alisema kuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Utata kesi ya Kubenea kupinga Bunge Maalum

KESI ya kikatiba iliyofunguliwa na Mwandishi wa Habari, Said Kubenea akihoji mamlaka ya Bunge la Katiba, jana imeibua utata baada ya majaji kubaini maana mbili tofauti ya kifungu cha 25(2) cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba Namba 83 ya mwaka 2011.

 

10 years ago

Habarileo

Kesi ya Kazembe na wenzake yaahirishwa

KESI ya mauaji inayomkabili Ofisa Usalama wa Taifa, Mohammed Kazembe na wenzake watatu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirishwa hadi Septemba 16 mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani