Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mawakili 6 wa Kubenea kumkabili Makonda

Pg 3Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

JOPO la mawakili sita wamejitokeza kumtetea Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), baada ya kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa shtaka moja la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.

Mawakili hao, wakiongozwa na Peter Kibatala, walijitokeza katika mahakama hiyo jana na kudai dhamana baada ya kusomewa mashtaka hayo kwa madai kuwa shtaka la mteja wao linadhaminika.

Akisoma...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mawakili watano kutetea ubunge wa Kubenea

said1NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MWANASHERIA Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu anatarajiwa kuongoza jopo la mawakili watano watakaomtetea Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) katika kesi ya kupinga ubunge wake.

Kesi hiyo ilifunguliwa na aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Massaburi.

Kubenea aliyasema hayo Dar es Salaam jana alipozungumza na MTANZANIA baada ya Massaburi kufungua shauri la madai namba 8 la mwaka huu...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Kesi ya Kubenea, Makonda yaahirishwa

KESI iliyofunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda dhidi ya Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea katika Mahakama ya Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo, imeahirishwa. Anaandiaka Yusuph Katimba … (endelea).Akiahirisha kesi hiyo, hakimu anayesimamia kesi hiyo Thomas Simba amesema uchunguzi umekamilika na kwamba upande wa mashitaka na kwamba imepangwa kuanza kusikilizwa tarehe 29 Desemba

 

9 years ago

Mtanzania

Makonda, kubenea nusura wazichape

1Na Shabani Matutu, Dar es salaam

MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), nusura azichape kavu kavu na Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni, Paul Makonda baada ya kutokea kutoelewana.

Kutokana na hali hiyo Makonda aliwaagiza askari wa Jeshi la Polisi kumtia mbaroni Kubenea kwa kile kilichoelezwa kuwa mbunge huyo ameshindwa kutii agizo la mkuu huyo wa wilaya.

Tukio hilo lilitokea jana, jijini Dar es Salaam, baada ya viongozi hao kukutana katika mgomo wa wafanyakazi wa Kiwanda cha nguo cha Tooku...

 

9 years ago

Mwananchi

Kubenea akamatwa kwa agizo la DC Makonda

Mbunge wa Ubungo (Chadema), Said Kubenea amekamatwa na polisi kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni mkoani Dar es Salam, Paul Makonda baada ya kudaiwa kurushiana maneno wakati wakitatua mgogoro wa wafanyakazi wa Kiwanda cha ushonaji na usafirishaji wa nguo, Tooku.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari juu ya  kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao watapitia mikataba yote ya miradi mbalimbali iliyosainiwa mkoa wa Dar es salaam.(Picha na Emmanuel Massaka wa globu ya jamii)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...

 

9 years ago

Mtanzania

Vigogo 32 CCM kumkabili Lowassa

KatuniNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeteua vigogo 32 kuunda kamati ya kampeni za mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli katika kuhakikisha kinashinda Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.

Hatua ya kuteuliwa kwa kamati hiyo ambayo itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, inaelezwa kuwa ni njia ya kukabiliana na nguvu za mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia mwamvuli wa Umoja wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Francis cheka kumkabili Singwancha

Bondia wa Tanzania Fransic Cheka anatarajia kupanda ulingoni na bondia Kiatchai Singwancha kutoka Thailand

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mashahidi wanne kumkabili Mbasha

KESI ya kubaka inayomkabili mume wa mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32), inatarajiwa kusikilizwa Agosti 22, mwaka huu, baada ya upelelezi kukamilika.. Hatua hiyo inakuja baada ya mshitakiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Fimbo ya Lowassa: Wajumbe 32 kumkabili

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza Kamati ya Kampeni yenye wajumbe 32, wengi wao wakiwa ni wale waliowahi kuvaana na mgombea wa Chadema, Edward Lowassa katika masuala tofauti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani