Mawakili 6 wa Kubenea kumkabili Makonda
Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam
JOPO la mawakili sita wamejitokeza kumtetea Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), baada ya kupandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam na kusomewa shtaka moja la kutoa lugha chafu dhidi ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda.
Mawakili hao, wakiongozwa na Peter Kibatala, walijitokeza katika mahakama hiyo jana na kudai dhamana baada ya kusomewa mashtaka hayo kwa madai kuwa shtaka la mteja wao linadhaminika.
Akisoma...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania07 Dec
Mawakili watano kutetea ubunge wa Kubenea
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MWANASHERIA Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu anatarajiwa kuongoza jopo la mawakili watano watakaomtetea Mbunge wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) katika kesi ya kupinga ubunge wake.
Kesi hiyo ilifunguliwa na aliyekuwa mgombea wa jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Didas Massaburi.
Kubenea aliyasema hayo Dar es Salaam jana alipozungumza na MTANZANIA baada ya Massaburi kufungua shauri la madai namba 8 la mwaka huu...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-hzG4MF2uolM/VnDBbZfJb2I/AAAAAAAAXdY/o4O9sGlfNCQ/s72-c/Kube-620x308.jpg)
Kesi ya Kubenea, Makonda yaahirishwa
9 years ago
Mtanzania15 Dec
Makonda, kubenea nusura wazichape
Na Shabani Matutu, Dar es salaam
MBUNGE wa Ubungo, Saed Kubenea (Chadema), nusura azichape kavu kavu na Mkuu wa Wilaya ya Kinodnoni, Paul Makonda baada ya kutokea kutoelewana.
Kutokana na hali hiyo Makonda aliwaagiza askari wa Jeshi la Polisi kumtia mbaroni Kubenea kwa kile kilichoelezwa kuwa mbunge huyo ameshindwa kutii agizo la mkuu huyo wa wilaya.
Tukio hilo lilitokea jana, jijini Dar es Salaam, baada ya viongozi hao kukutana katika mgomo wa wafanyakazi wa Kiwanda cha nguo cha Tooku...
9 years ago
Mwananchi15 Dec
Kubenea akamatwa kwa agizo la DC Makonda
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
9 years ago
Mtanzania19 Aug
Vigogo 32 CCM kumkabili Lowassa
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeteua vigogo 32 kuunda kamati ya kampeni za mgombea urais wa chama hicho, Dk. John Magufuli katika kuhakikisha kinashinda Uchaguzi Mkuu uliopangwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Hatua ya kuteuliwa kwa kamati hiyo ambayo itakuwa chini ya uenyekiti wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, inaelezwa kuwa ni njia ya kukabiliana na nguvu za mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia mwamvuli wa Umoja wa...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Francis cheka kumkabili Singwancha
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Mashahidi wanne kumkabili Mbasha
KESI ya kubaka inayomkabili mume wa mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha, Emmanuel Mbasha (32), inatarajiwa kusikilizwa Agosti 22, mwaka huu, baada ya upelelezi kukamilika.. Hatua hiyo inakuja baada ya mshitakiwa...
9 years ago
Mwananchi19 Aug
Fimbo ya Lowassa: Wajumbe 32 kumkabili